Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

SERIKALI KUKARABATI MAKAZI YA WAZEE MISUFINI TANGA,DK.CHAULA AFUNGUKA

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula, akikagua majengo na miundombinu ya makazi ya wazee ya Misufini, Wilaya ya Muheza wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani Tanga

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula, akizungumza na wazee wanaoishi kwenye makazi ya wazee ya Muheza yaliyopo eneo la Misufini alipotembelea makazi hayo kukagua utekelezaji wa majukumu katika makazi hayo.Kulia ni Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii Tullo Masanja, kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Issa Misumari.

Wazee wanaoishi katika makazi ya Mwanzange na Misufini kwa nyakati tofauti wakimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula, alipo zuru makazi hayo. 

Picha ya pamoja ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula na wazee wanaoishi katika makazi ya Misufini, Halmashauri ya Wilaya ya Muheza alipotembelea makazi hayo katika ziara yake mkoani Tanga.
 
(Picha na Habari zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini MJJWM)
……………………………………………
Na MJJWM, Tanga
 
Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imeazimia kukarabati makazi ya wazee ya Muheza mkoani Tanga hivi karibuni ili kuimarisha mazingira ya kuishi kwa wazee wanaolelewa katika makazi hayo.
 
Akizungumza na wazee hao alipotembelea makazi hayo Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula amesema wazee wana haki ya kupata huduma bora kwa ustawi wa afya zao.
 
Dkt. Chaula amewahakikishia wazee hao 20 wanaoishi kwenye makazi hayo kuwa muda si mrefu shughuli ya kukarabati majengo na miundombinu ya umeme, maji na barabara itaanza.
 
Ameongeza kuwa, Serikali haijawaacha wazee kwa kuhakikisha wanaishi vizuri katika makazi yote 14 yaliyopo nchini hivyo ziara yake ina lengo la kuona namna ya kuboresha makazi hayo ili yafanane na ustawi wa nchi.
 
“Tumekuja kuangalia ni namna gani  tutaboresha makazi haya yafanane na nyumba nzuri tunazopenda kuishi, kwa hiyo Serikali imetupa jukumu la kuhakikisha ustawi wenu unaimarika” amesema Dkt. Chaula.
 
Awali, Afisa mfawidhi wa makazi hayo Mwamvita Kilima amebainisha kuwa, changamoto za makazi hayo ni maji, umeme, uzio na uchakavu wa majengo.
 
Hata hivyo Mwamvita amesema, anapata ushirikiano mzuri wa Halmashauri katika kuwatunza wazee hao hususani huduma za afya.
 
“Namshukuru Mkurugenzi wa Halmshauri na timu yake, wakati wa mlipuko wa ugonjwa wa Uviko wazee wote walipatiwa elimu na wote wamechanja ameongeza Mwamvita.
 
Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Issa Misumari aliyekuwepo kwenye Ziara hiyo, aliwahakikishia wazee hao kuwa,  Halmashauri itaendelea kuwaangalia na kutoa ushirikiano kwa kuwawekea mazingira bora zaidi.
 
Akizungumza kwa niaba ya wazee wenzake Mzee Joseph Misigaro ameishukuru Serikali hususani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwajali wazee.

About the author

Alex Sonna