Featured Kitaifa

𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗛𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗦𝗜𝗕𝗔 𝗪𝗔 𝗔𝗕𝗕𝗔𝗦 𝗔𝗟𝗜 𝗛𝗔𝗦𝗦𝗔𝗡 𝗠𝗪𝗜𝗡𝗬𝗜

Written by Alex Sonna

𝙆𝙪𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙐𝙣𝙜𝙪𝙟𝙖 𝙫𝙞𝙨𝙞𝙬𝙖𝙣𝙞 𝙕𝙖𝙣𝙯𝙞𝙗𝙖𝙧

Mgombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 akisaini Kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo pamoja na kumfariji Mama Siti Mwinyi pamoja na familia ya hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi wakati alipofika Bweleo Wilaya ya Magharibi B, Mkoa wa Mjini Unguja kwaajili ya kuifariji familia hiyo kufuatia kifo cha Kaka yao Hayati Abass Ali Mwinyi, leo Ijumaa Septemba 26, 2025.     

About the author

Alex Sonna