marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

anadoluslot

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

https://letsrelaxspa.today/

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

Samsun Escort

jojobet giriş

grandpashabet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

holiganbet giriş

marsbahis

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

betpuan

bets10

betasus giriş

kingroyal

Featured Michezo

DODOMA JIJI FC WAJA NA “KANZU DAY”

Written by mzalendo

Na Gideon Gregory, Dodoma

Timu ya Dodoma Jiji imezindua wiki ya hamasa kwa mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wa mzunguko wa Tatu wa ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya Coastal Union utakao pigwa katika uwanja wa Jamhuri siku ya Jumamosi majira ya saa Moja usiku.

Akizungumza na vyombo vya habari leo Septemba 25,2025 Afisa habari wa timu hiyo Moses Mpunga amesema hatua hiyo inalenga kuhamasisha wakazi wa Dodoma kujitokeza kwa wingi kwenda kuiunga mkono timu yao huku ikipewa jina la KANZU DAY.

“Mashabiki wote ambao watakuja kwenye mechi yetu siku ya Jumamosi, wahakikishe wamevaa vazi la Kanzu ya rangi yoyote ile ila isiwe tu nyekundu au njano maana sidhani kama nimewahi kukutana na kanzu nyekundu au njano, usjie na kanzu ya rangi hiyo lakini ya rangi yoyote wewe vaa tu hiyo siku,”amesema.

Amesema hilo ndilo vazi mama kwa mashabiki wa timu hiyo katika mchezo huo huku kwa upande wa wakina mama akisema wao wanayo mavazi yao kama hijabu, nikabu, habaya, dera na vijora na kuongeza kuwa lengo la kuchagua vazi hilo kwanza ni mchezo wao wa kwanza kwenye ligi ya msimu huu wa 2025/26 kucheza katika uwanja wa Jamhuri.

Pia Mpunga amesema wiki hiyo ya hamasa itakwenda sambamba na mbio nyepesi maalum ziliizopewa jina la Jambo Dodoma Jiji Jogingi.

“Jogingi hii au marathoni hii fupi itakuwa ni bure kabisa haina kiingilio chochote lakini sisi sasa kama waandaaji Dodoma Jiji Football Club pamoja na Jambo Group tutakupatia tisheti ya bure kuweza kukimbia katika mbio hizi,”amesema.

Mpunga ameongeza kuwa mara baada ya mbio hizo kutamatika kutakuwa na mtanange mkali utakao wakutanisha Wanywa Bia dhidi ya Wanywa Soda ikiwa ni hatua ya kwenda kumaliza utata uliopo baina ya wao hao.

Kuhusu maandalizi ya timu yao kuelekea mtanange huo amesema maandalizi yamekamilika na wachezaji wako tayari kwenda kukabiliana nao.

Mchezo huo namba 18 kati Dodoma Jiji dhidi ya Coastal Union ni wa Wanne kukutana ambapo katika mchezo wao wa mwisho katika uwanja wa Jamhuri walitoka tasa huku Dodoma Jiji wakiwa na kumbukumbu ya kutokupata ushindi mbele ya miamba hiyo kutoka Jijini Tanga.

Timu zote zimecheza michezo miwili katika msimu huu wa mashindano ya ligi kuu soka Tanzania bara ambapo Walima Zabibu wanashika nafasi ya Kumi na alama Moja kibindoni huku Wanamangushi wakiwa nafasi Sita na alama Tatu.

Mwisho.

About the author

mzalendo