Featured Kitaifa

PROF.MAYAYA AZINDUA KOZI MPYA 10 CHUO CHA MIPANGO YA MAENDELEO VIJIJINI

Written by mzalendoeditor
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akizindua  Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Na.Alex Sonna-DODOMA
CHUO cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)  kimezindua kozi   mpya 10 na kufanya chuo hicho kuwa na kozi  57 kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada ya uzamili
Akizungumza wakati wa  uzinduzi  huo uliofanyika leo Mei 7,2025 katika  kampasi kuu Dodoma,  Mkuu wa Chuo hicho Prof. Hozen Mayaya amesema kuwa dhamira ya chuo ni kukidhi  mahitaji ya jamii na taifa kwa ujumla
Aidha ametaja kozi hizo mpya ni sheria, Uhasibu na fedha, Tehama, Upimaji ardhi, Mipango miji, Uchumi usimamizi wa ardhi na uthamini Kozi nyingine ni takwimu, mipango miji na usimamizi, Afya ya mazingira na usimamizi wa usafi wa mazingira.
Prof.Mayaya amesema  kuwa kozi hizo zinakidhi mahitaji ya soko la ajira kwani fani wanazotoa zipo kwenye muundo wa ajira.
“Hii ni sehemu  ya mpango mkubwa wa kitaaluma na utekekezaji wa dira ya maendeleo ya taifa ni kuchangia kwa vitendo ajenda ya maendeleo ya taifa ,”amesema Prof.Mayaya
Hata hivyo amesema kuwa Chuo kinamiliki ekari 700 eneo la Nala Dodoma na Chuo kitaendelea kukua kutokana na kuwa na ardhi ya uwekezaji
Kwa upande wake Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma,Utafiti na Ushauri Elekezi Prof.Provident  Dimoso amesema kuwa  walishirikisha wadau mbalimbali  kwenye mchakato wa uandaaji wa mitaala.
“Zoezi  la kwanza lilikuwa ni kuwashirikisha wadau ili kuandaa mitaala, watu mbalimbali walihojiwa, walitoa maoni yao, walitoa mahitaji ya soko, baada ya kuandaa walienda tena kwa wadau na walipitia hatua mbalimbali mpaka mchakato huo ulipokamilika”amesema Prof.Dimoso
Pia amesema kuwa kozi  hizo mpya ni fursa nyingine kwa wanafunzi kusoma ili kujiajiri au kuajiriwa.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya  wakati wa  uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya  wakati wa  uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya  wakati wa  uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya wakati wa  uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma,Utafiti na Ushauri Elekezi Prof.Provident  Dimoso,akizungumza  wakati wa  uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya (hayupo pichani)  wakati wa  uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya (hayupo pichani)  wakati wa  uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Sehemu ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya (hayupo pichani)  wakati wa  uzinduzi wa Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akizindua  Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akizindua  Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Makamu Mkuu wa Chuo Mipango,Fedha na Utawala Prof. Canute Hyandye,akitoa neno la shukrani kwa Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya (hayupo pichani) mara baada ya kuzindua  Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua   Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua   Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua   Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua   Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.
Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Prof. Hozen Mayaya,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua   Mitaala Mipya ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini hafla iliyofanyika leo Mei 7,2025 katika Chuo hicho jijini Dodoma.

About the author

mzalendoeditor