Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

ASHIRA GIRLS SEKONDARI :KUTOKA FOLENI ZA VYOO HADI DARASA LA KISASA

Written by Alex Sonna

 

Moja ya Majengo ya zamani katika Shule ya Wasichana ya Ashira iliyopo wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro ,miongoni mwa shule Kongwe zilizofanyiwa maboresho ya miundombinu ya Madarasa,Mabweni pamoja na Vyoo.

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Ashira Zainabu Shushue akizungumzia maboresho yaliyofanywa na Serikali kupitia Mbunge wa Jimbo la Vunjo Dkt Charlwes Kimei katika shule hiyo
 kongwe .
 
Dada Mkuu katika Shule ya Wasichana ya Ashira ,Prisca Baraka (Mwenye miwani) akizungumzia maboiresho yaliyofanyika shuleni hapo .
Muonekano wa baadhi ya Majengo ya Madarasa na Mabweni yaliyojengwa katika Shule ya Wasichana ya Ashira iliyopo wilaya ya Moshi mkoani Kilimannjaro 
Na huu ndio muonekano wa sasa wa Vyoo vilivyojengwa katika shule ya Wasichana ya Ashira iliyopo Marangu wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro .
Bwalo ambalo kwa sasa ujenzi wake unaendelea katika shule hiyo .
 

Ashira Girls Sekondari: Kutoka Foleni za Vyoo Hadi Darasa
la Kisasa

 – Miundombinu Mpya
Yafungua Fursa

Na Mwandishi wetu , Moshi

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Ashira, moja ya
shule kongwe katika Mkoa wa Kilimanjaro, sasa wanapumua kwa afueni baada ya
serikali kukamilisha ujenzi wa miundombinu mipya ikiwemo mabweni, madarasa na
vyoo.

Kwa miaka mingi, shule hiyo ilikuwa ikikumbwa na changamoto
ya msongamano katika mabweni na madarasa, hali iliyokuwa ikiathiri moja kwa
moja mazingira ya ujifunzaji.

Lakini hali hiyo imeanza kubadilika kwa kasi baada ya
serikali kutoa zaidi ya shilingi milioni 269.7 kwa ajili ya utekelezaji wa
mradi wa kuboresha miundombinu shuleni hapo inayoendelea kuboreshwa ndani ya
kipindi cha miaka minne.

Akizungumza na Wnahabari , Dada Mkuu wa shule hiyo, Prisca
Saimon Baraka, alisema kuwa ujio wa madarasa na mabweni mapya umeleta
mabadiliko chanya katika maisha ya kila siku ya wanafunzi.

“Wakati najiunga na Ashira, tulikuwa tunabanana sana
mabwenini na kwenye madarasa. Lakini sasa kila darasa lina wanafunzi wachache
na mazingira ni rafiki kwa kujifunza. Hii imerahisisha kazi kwa walimu na
imetuongezea morali ya kusoma,” alisema Prisca.

Naye Belinda Ndosi, mwanafunzi wa kidato cha sita, aliongeza
kuwa hali ya awali ya msongamano kwenye vyoo ilikuwa ya kusikitisha.

“Kabla ya ujenzi huu, kulikuwa na foleni ndefu
chooni. Lakini sasa kila mtu anaweza kutumia choo kwa wakati na kwa heshima.
Tunaishukuru serikali, na zaidi Mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujali
elimu ya mtoto wa kike,” alisema Belinda.

Kwa mujibu wa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Bi. Zainabu
Shushue, fedha zilizopokelewa zilitumika kujenga madarasa matano, choo chenye
matundu saba na bweni moja.

Miundombinu hiyo tayari imeanza kutumika na imeleta tija
kubwa katika kuboresha taaluma ya wanafunzi.

“Shule yetu ina jumla ya wanafunzi 820. Kupitia
mradi huu, tumeweza kupunguza msongamano na kurahisisha kazi ya ualimu, hasa
kwa wale wanafunzi wanaohitaji msaada wa ziada darasani,” alisema Bi.
Shushue.

Aliongeza kuwa shule inatarajia ongezeko la wanafunzi hadi
kufikia 900 mwaka 2025, hivyo ipo haja kwa serikali kuongeza mabweni zaidi ili
kukidhi mahitaji ya makazi ya wanafunzi wapya.

Wanafunzi wanasema miundombinu hiyo ni chachu ya mafanikio
na inaendana na dhamira ya taifa ya kumwezesha mtoto wa kike kupata elimu bora
katika mazingira salama.

Ashira Girls Sekondari imekuwa ni miongoni mwa shule
zinazofaidika na juhudi za serikali za kuboresha mazingira ya kufundishia na
kujifunzia nchini kupitia miradi ya maendeleo ya sekta ya elimu.

About the author

Alex Sonna