Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

DKT. NCHEMBA: HAKUNA SEKTA ITAKAYOKOSA FEDHA KUTOKANA NA MABALILIKO YA SERA

Written by Alex Sonna
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akijibu hoja za wabunge zilizojitokeza katika Bunge la Kumi na mbili, mkutano wa 19 katika kikao cha sita bungeni jijini Dodoma. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha)
Na. Peter Haule, WF, Dodoma
Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakutakuwa na sekta itakayokosa fedha kwa sababu ya mabadiliko ya sera ya baadhi ya mataifa zinazolenga kupunguza kuyasaidia mataifa yanayoendelea ikiwemo Tanzania.
Hayo yamebainishwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), wakati akijibu hoja za wabunge zilizojitokeza katika Bunge la Kumi na mbili, mkutano wa 19 katika kikao cha sita.
Alisema Serikali imefanya tathmini katika sekta zote kupitia Timu iliyochini ya Waziri Mkuu na kuanza kuchukua hatua baada ya baadhi ya mataifa kubadili sera zao ili kupunguza fedha kwa nchi zinazoendelea kama Tanzania.
“Tulikuwa na mahitaji ya takribani shilingi bilioni 220 kwenye sekta ya Afya ili kuziba pengo la fedha ambazo tulikuwa tunazitarajia kutoka kwa wadau wa maendeleo, Serikali tayari imetoa kiasi cha shilingi bilioni 98 kwenda kwenye sekta ya afya ili kufidia pengo lililojitokeza na tathmini hiyo inaendelea katika maeneo mengine na utoaji wa fedha utaendelea katika maeneo mengine ambayo yanahitaji fedha”, alisema Dkt. Nchemba.
Aidha, Dkt. Nchemba alimpongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi kubwa anayoifanya kwa kuwa ameweza kuivusha nchi kipindi ambacho dunia nzima imekuwa ikipita kwenye msukosuko ya kiuchumi ambayo imekuwa ikitokea mfululizo kwa kipindi cha miaka minne.
Alisema kuwa kulitokea changamoto ya Uviko 19, uhaba wa fedha za kigeni na sasa sera za nje za baadhi ya mataifa ambazo tayari Serikali imeanza kuchukua hatua na  kama taifa linaamini litavuka.
Dkt. Nchemba alisema kuwa sekta ya Afya ndiyo iliyoguswa zaidi ambapo Serikali itaendelea kuchukua hatua zaidi ikiwemo kuwekeza fedha kwenye uzalishaji ndani ya nchi wa madawa na vifaa tiba vilivyokuwa vinapatikana kupitia wabia.
Alisema kuwa Mpango wa Maendeleo na Bajeti itakayosomwa katika Bunge linaloendelea, sehemu ya fedha itaelekezwa kwenye viwanda vinavyozalisha madawa ndani ya nchi ili kuweza kujitegemea kama nchi katika eneo hilo.
“Nchi yetu na umri wake na uwezo wake na uwekezaji uliofanyika kwenye sekta ya afya tunaweza kujitegemea kumaliza ugonjwa wa Malaria, magonjwa ya TB, vitenganishi na madawa mengine”, alieleza Dkt. Nchemba.
Alisema kuwa fedha zingine zitaelekezwa kwenye Bima ya Afya kwa wote kama ambavyo Mhe. Rais alivyotoa maelekezo.
Dkt. Nchemba alisema Serikali itatengeneza mkakati wa kubana matumizi kwenye maeneo yenye uhitaji mdogo na kupeleka fedha kwenye maeneo yenye uhitaji mkubwa na ya lazima kama miundombinu, afya, elimu, maji, umeme na sekta zingine za uzalishaji.
Aidha, alibainisha kuwa Tanzania imeingia kwenye kumbukumbu ya kupanga jambo kubwa na kulitekeleza kama mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere, Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) ambao hata baadhi ya mataifa makubwa hawana mradi kama huo ambao kwa sasa zaidi ya kilomita 722 zinaonekana na sehemu kubwa imeanza kufanya kazi hususani kipande cha Dar es Salaam hadi Dodoma.
Alisema vipande vilivyosalia tayari vina Wakandarasi na upatikanaji wa fedha upo katika hatua za mwisho ambapo kuanzia mwaka wa fedha huu fedha katika vipande hivyo itapatikana ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika.
Aliitaja miradi mingine kuwa ni pamoja na Mradi wa Daraja la Kigongo Busisi ambao umekamilika na sasa upo tayari kwa matumizi na mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Tanga ambapo Tanzania imetekeleza wajibu wake kwa kiasi kikubwa.
Vilevile alisema kuwa tayari amefanya mazungumzo na mawaziri wa kisekta kwenye eneo la barabara, maji, kilimo na sekta nyingine na tayari fedha zimetolewa na na zitaendelea kutolewa
Amesema mambo yote hayo yanahitaji kuongeza mapato, hivyo Serikali imekubaliana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuongeza elimu kwa mlipa kodi ili kuweza kulipa kodi kwa hiari kama Mhe. Rais alivyoelekeza ambapo elimu itatolewa kwenye michezo, mashuleni na maeneo mengine.

About the author

Alex Sonna