Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

bets10

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

casibom

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

BARABARA YA ILOLO-NDOLEZI YAONDOA WALANGUZI WA MAZAO, MBOZI

Written by mzalendo

Na Mwandishi Wetu Mbozi, Songwe

Walanguzi wa mazao ya wakulima wa kahawa, mahindi, mbogamboga na karanga wameondoka baada ya kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya Ilolo-Ndolezi yenye urefu wa Km 11.01 kwa kiwango cha lami katika halmashauri ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe.

Wakiongea kwa nyakati tofauti baadhi ya wakazi wa kitongoji cha Isiniza kijiji cha Mbimba wamesema kuwa barabara hiyo imewarahisishia kusafirisha mazao yao kutoka mashambani hadi kwenye masoko, hivyo kuwaongezea kipato.

Bi. Salome Nzunda amesema wanaishukuru serikali kwa kuwajengea barabara hiyo ambapo zamani ilikuwa na changamoto sana kwani barabara haikuwa inapitika.

“Zamani tulikuwa tunapita barabara ya kutoka Vwawa kwenda Ndolezi, ilikuwa na changamoto sana hata mtu akiumwa kwenda hospitali ya wilaya ilikuwa kazi, barabara ilikuwa haipitiki hata vifo vya wajawazito na watoto vilikuwepo sana”

“Tulikuwa tunashindwa kupita kwenye barabara hii, ilikuwa tope haswa na tulikuwa tukitumia hadi saa mbili kwenda mjini, lakini sasa hivi tunatumia dakika 15 kufika mjini, tunaishukuru serikali wametutengenezea barabara hii tunaweza kufika hospitali ya wilaya hata ya mkoa na vifo sasa hivi vimepungua”, aliongeza.

Vile vile amesema kwamba, barabara hiyo imeondoa pia walanguzi wa mazao yao ambapo awali walanguzi hao walikuwa wakipita kwenye nyumba zao na kununua mazao kwa bei ya chini, lakini hivi sasa wanasafirisha wao wenyewe kwenda kuuza kwenye soko kuu la Vwawa mjini, hivyo kuwaongezea kipato na kuweza kuimarisha maisha yao kwa kujenga nyumba za bati tofauti na zamani walikuwa na nyumba za nyasi.

Naye, Bw. Heckson Mwambalo mkazi wa kijiji cha Mbimba amesema kuwa, wananchi wamefurahi sana kwani imewasaidia kusafirisha mazao yao kwa urahisi.

“Tunaishukuru serikali kwa kutuona na kutujengea barabara hii kwani njia hii kutoka Vwawa, Idiwili kwenda Ndolezi haikuwa inapitika, mvua ikinyesha hatukuwa tunafanya chochote tulikuwa tukisubiri jua litoke ndiyo twende kuchukua mazao kwa kweli wananchi wote tumefurahi.

Kaimu Meneja wa TARURA mkoa wa Songwe, Mhandisi Lugano Mwambingu amesema barabara ya Ilolo-Ndolezi imejengwa kupitia mradi wa Agri-Connect kwa thamani ya Shilingi Bilioni 6.46 na hadi sasa umekamilika kwa 100%.

Amesema barabara hiyo imejengwa kwa kiwango cha lami pia wamejenga safu za boksi kalavati (3), safu za zege 35 kuweka alama za barabarani 50, mfereji wa maji ya mvua Km 6.456 pamoja na kuweka taa za barabarani 40.

Aidha, Mhandisi Mwambingu ameongeza kusema kwamba barabara hiyo imesaidia kuongeza uzalishaji wa mazao ya biashara pamoja na mpango wa kurahisisha mawasiliano kwa wananchi wanaoishi katika Kata za Iyula, Idiwili na Mlangali.

“Barabara hii imekuwa na muhimu sana kwa wakulima wa vijiji hivi kwani imefungua fursa za kiuchumi katika bonde hilo kwani kila zao linakubali na kuinua kipato cha mwananchi mmoja mmoja.

Ameongeza kusema kwamba barabara hiyo imewarahisishia wakulima kupeleka kahawa yao kiwandani pia mazao mengine kwenye masoko pamoja na kupeleka katika maghala ya kuhifadhia mazao yaliyopo mjini.

Mkoa wa Songwe unahudumia mtandao wa barabara wa Km. 3,341.628 ambapo barabara za lami Km.36.38, changarawe Km. 1155.718, udongo Km. 2,149.53, madaraja 212 pamoja na makalavati 1,971.

About the author

mzalendo