Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

betper

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

holiganbet

betpark

maxwin

jojobet

jojobet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

betpark giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

BODI YA NBAA YATAKIWA KUFANYA MABORESHO YA MITAALA

Written by Alex Sonna
 

 

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno.

 

Na. Josephine Majura na Peter Haule, WF, Dar es Salaam

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) ameitaka Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kupitia upya mitaala iliyopo kwa ajili ya uboreshaji wa taaluma inayotolewa na Bodi kwa manufaa ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake.

Rai hiyo imetolewa katika ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam wakati akizindua Bodi mpya ya NBAA itakayofanya kazi kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2024 hadi 2027.

Mhe. Chande alisema kuwa kazi kubwa ya Bodi hiyo ni kusimamia na kukuza tasinia ya uhasibu nchini ili kuhakikisha inatoa mchango stahili katika kukuza Uchumi kupitia huduma za kihasibu na ukaguzi wa hesabu za ndani katika taasisi na mashirika mbalimbali.

Vilevile, Mhe. Chande amesisitiza kufanya kazi kwa uadilifu na uzalendo kwa nchi kwa kuwa nguzo kuu ya Wahasibu na Wakaguzi wa mahesabu ni kufanya kazi bila upendeleo na kwa kushirikiana.

Ameitaka Bodi ya NBAA kuendelea kufanyakazi kwa kuzingatia Sheria, taratibu na Kanuni zilizoiunda Bodi ili kusadifu malengo ya kuanzishwa kwa Bodi hiyo.

Aidha Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Chande amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumteua Mwenyekiti wa Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kuanzia Novemba nane mwaka huu.

“Imani yaetu ni kuwa Bodi hii mpya ya NBAA italeta matokeo Chanya ambayo Serikali inayatarajia kwa ujenzi wa Taifa ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Kituo cha NBAA Makao Makuu ya nchi Dodoma”, alisema Mhe. Chande. 

Alisema kuwa Mhe. Rais ameidhinisha shilingi bilioni 29.8 kati ya shilingi bilioni 30 zilizoombwa na Bodi hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Kituo hicho Dodoma na anaamini watakwenda kujenga ofisi nzuri na ya kisasa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NBAA, CPA, Prof. Sylivia Temu amesema kuwa Mwenyekiti wa Bodi aliyeteuliwa na Mhe. Rais na Wajumbe walioteuliwa na Waziri wa Fedha wanakazi ya kuhakikisha wanachama wake wanazingatia vigezo vya kimataifa katika kuandaa mahesabu ambayo yanatumiwa na wadau mbalimbali.

Pia kuhakikisha Wakaguzi wa Hesabu wanazingatia vigezo vya kimataifa ili kutoa taarifa zinazoaminika kwa wawekezaji ili kuendeleza jitihada chanya za maendeleo ya nchi katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya kiuchumi.

“Nchi yetu inakuwa na sasa ipo katika uchumi wa kati wa ngazi ya chini, sisi kama wahasibu tunaungana na juhudi za Serikali katika kutoa taarifa za kihesabu zinazoaminika zitakazo wavutia wawekezaji ili kuondoa mashaka katika suala la uwekezaji.

Prof. Temu amesema kuwa Bodi ya NBAA itatekeleza maagizo yote yaliyotolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Chande kwa kuwa yanachochea utendaji kazi na kuleta ufanisi wenye tija kwa Taifa.

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno, baada ya kuwasili kwa ajili ya halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno.

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na Menejimenti ya Bodi hiyo wakipitia nyaraka mbalimbali kabla ya kuanza kwa hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo, uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akiteta jambo na Mhasibu Mkuu wa Serikali CPA, Leonard Mkude, ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), baada ya kumalizika kwa halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu baada ya kumalizika kwa halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), (katikati) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno, wakielekea kwenye ukumbi kwa ajili ya halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) baada ya hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu, Mjumbe wa Bodi CPA Fredrick Msumali na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno na Mhasibu Mkuu wa Serikali CPA, Leonard Mkude ambaye ni Mjumbe wa Bodi hiyo. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WF, Dar es Salaam).

About the author

Alex Sonna