Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

KATIBU MKUU VIWANDA NA BIASHARA AKABIDHI MAGARI KUBORESHA UTENDAJI KAZI

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akikata utepe kabla ya kukabidhi magari kwa Wakala wa Vipimo (WMA) ili kusaidia kuboresha utendaji kazi. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa WMA, Alban Kihulla. Alikabidhi Magari hayo Oktoba 3, 2024 baada ya kufungua Mkutano wa Menejimenti ya WMA uliofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere, Kibaha mkoani Pwani.

Veronica Simba – WMA, Pwani

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah ameitaka Menejimenti ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutekeleza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuzingatia utendaji kazi wenye weledi, ubora na viwango ili kupata matokeo chanya katika sekta ya biashara nchini.

Ameyasema hayo kwa waandishi wa habari Oktoba 3, 2024 Kibaha mkoani Pwani baada ya kufungua rasmi kikao cha Menejimenti ya WMA, kukabidhi magari ili kuboresha utendaji kazi na kuzindua Jarida maalum la Wakala lenye lengo la kupanua wigo wa uelimishaji na uhabarishaji umma kuhusu WMA.

“Lengo kubwa la kikao chetu ni kukumbushana wajibu na dhamira nzima ya majukumu yetu ambayo yanatakiwa yaakisi maelekezo na miongozo ya Dkt. Samia Suluhu Hassan katika suala zima la kuwezesha ufanyaji biashara ndani ya nchi yetu.”

Ili kuhakikisha maono hayo ya Rais yanafikiwa, Dkt. Abdallah ameitaka WMA kuzingatia mambo kadhaa ambayo ni pamoja na utii wa sheria, miongozo na kanuni mbalimbali zilizopo kwa kuongeza uadilifu na weledi kazini.

Pia amewataka kufanya kazi kwa ushirikiano kama timu moja na kuwa na kauli moja baina ya Bodi, Mkuu wa Wakala, Menejimenti, Viongozi wa Mikoa pamoja na wafanyakazi wote kwa lengo la kupata matokeo chanya katika kazi.

Vilevile ameielekeza Menejimenti kuondoa urasimu wa aina yoyote katika utendaji kazi huku akisisitiza kwamba Jarida alilozindua pamoja na kutoa habari mbalimbali za Wakala, litumike kama nyenzo ya utoaji taratibu mbalimbali zinazopaswa kufuatwa na wadau wa WMA hususani katika ufanyaji biashara.

Katibu Mkuu amesisitiza Uongozi wa WMA kuzingatia yaliyomo katika Mkataba wa Huduma kwa Mteja, ambao unaelekeza kutoa huduma bora na kwa wakati.

Katika hatua nyingine, Dkt. Abdallah amempongeza na kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha mazingira ya utendaji kazi kwa sekta mbalimbali za umma na kwa muktadha huo kwa WMA ambapo ametoa jumla ya magari 10 kwa Wakala hiyo ili kuboresha utendaji kazi.

“Leo nimekabidhi magari mawili kwa WMA na mengine Nane yako kwenye mchakato na tutayakabidhi mara moja utakapokamilika. Kwa hili, tuendelee kumshukuru sana Mheshimiwa Rais,” amefafanua.

Akizungumza kwa niaba ya Menejimenti nzima, Afisa Mtendaji Mkuu wa WMA, Alban Kihulla amesema watatekeleza maelekezo yote yaliyotolewa na Katibu Mkuu.

Akidadavua kuhusu majukumu ya WMA ambayo ndiyo haswa yaliyotolewa maelekezo kuongeza nguvu, Kihulla amesema ni pamoja na uhakiki wa vipimo, ukaguzi wa vipimo pamoja na ukaguzi wa bidhaa zilizofungashwa kwa lengo la kukuza uchumi katika sekta mbalimbali.

“Lengo ni kukuza uchumi katika sekta mbalimbali lakini pia kusaidia wananchi wanaonunua bidhaa mbalimbali zinazozalishwa nchini na zinazotoka nje ya nchi, ziwe katika uzito sahihi, ujazo sahihi, urefu sahihi pamoja na namba yaani idadi sahihi.”

Kuhusu magari waliyopokea, Mtendaji Mkuu ameishukuru Wizara na kukiri kuwa yatapunguza changamoto iliyopo lakini akaomba Wakala iendelee kufikiriwa kupatiwa mengine zaidi pamoja na vitendea kazi vingine mbalimbali ili kuboresha zaidi utoaji huduma kwa wananchi.

Kikao hicho cha Menejimenti ya Wakala wa Vipimo ni utaratibu wa kawaida ambao Wakala umejiwekea ambapo hukutana kila robo ya Mwaka wa Fedha kujadili kuhusu maendeleo ya utendaji kazi na namna ya kuboresha zaidi. Kikao kiliketi kuanzia Oktoba 2, 2024 na kudumu kwa siku tatu ambapo kimejumuisha Menejimenti Kuu kutoka Makao Makuu pamoja na Mameneja wa Mikoa yote Tanzania Bara.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akikata utepe kabla ya kukabidhi magari kwa Wakala wa Vipimo (WMA) ili kusaidia kuboresha utendaji kazi. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa WMA, Alban Kihulla. Alikabidhi Magari hayo Oktoba 3, 2024 baada ya kufungua Mkutano wa Menejimenti ya WMA uliofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere, Kibaha mkoani Pwani.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah (wa pili-kulia) akibadilishana mawazo na viongozi mbalimbali wa Wakala wa Vipimo (WMA) baada ya kufungua rasmi Mkutano wa Menejimenti ya Wakala uliofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere, Kibaha mkoani Pwani, Oktoba 3, 2024.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua Mkutano wa Menejimenti ya Wakala wa Vipimo (WMA) na kukabidhi magari kuboresha utendaji kazi, Oktoba 3, 2024 Kibaha mkoani Pwani.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla akizungumza na waandishi wa habari baada ya Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah kufungua Mkutano wa Menejimenti ya WMA na kukabidhi magari kuboresha utendaji kazi, Oktoba 3, 2024 Kibaha mkoani Pwani.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah (katikati- mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla (kulia kwake), Menejimenti na Mameneja wa Mikoa yote Tanzania Bara baada ya kufungua kikao chao kujadili utendaji kazi, Oktoba 3, 2024 Kibaha mkoani Pwani.

About the author

Alex Sonna