Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

gameofbet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

Featured Kitaifa

WANA MAHENGE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZITAKAZOWAINUA KIUCHUMI

Written by mzalendo


Afisa Maendeleo ya Jamii, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga Mjini Mahenge Bw. Peter Nambunga, akiongea na washiriki waliohudhuria program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyofanyika katika Halmashauri hiyo Mkoani Morogoro.

Mratibu wa Mifuko na Program za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bw. Samwel Shikona, akiwaeleza wananchi wa Mahenge fursa mbalimbali zinazopatikana kupitia Baraza hilo wakati wa program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, akiwaeleza wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga naomna bora ya kuepukana na mikopo isiyo rasmi (mikopo umiza) wakati wa program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.

Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw Ramadhani Myonga, akitoa mada kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, wakati wa program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Halmashauri hiyo..

Mjasiriamali na mtangazi wa Radio Ulanga FM, Easter Kaonja akichangia mojawapo ya mada iliyotolewa kwenye program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga.

Wataalamu wa masuala ya fedha kutoka Wizara ya Fedha na washirika wa sekta ya fedha nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii pamoja na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga mara baada ya program ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi hao.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha – Morogoro)

Na. Ramadhani Kissimba, WF, Morogoro

Wananchi wa Mahenge katika Halmashauri ya Wilayani ya Ulanga, Mkoani Morogoro wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotolewa na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ili waweze kujikwamua kutoka katika lindi la umasikini kwa kuongeza kipato na kukuza uchumi.

Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga, Bw. Peter Nambunga, alisema hayo katika program maalum ya elimu ya fedha kwa umma iliyotolewa kwa wananchi wa Mahenge na wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na washirika wa sekta ya fedha nchini ikiwa ni mwendelezo wa kutoa elimu hiyo kwa nchi nzima hasa kwa wananchi waliopo vijijini.

Bw. Nambunga alieleza kuwa elimu iliyotolewa itajenga uelewa mkubwa kwa wananchi tunaowasimamia kwa maana imelenga kuikwamua jamii kiuchumi.

Bw. Nambunga aliongeza kuwa wananchi wa Mahenge na Tanzania kwa ujumla wanatakiwa kuzitumia fursa zaidi ya 72 zinazotolewa na Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika kuendeleza shughuli zao mbalimbali za uzallishaji mali ili kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla na kusaidia kupeleka mbele gurudumu la maendeleo.

‘’Wananchi wameweza kuelewa fursa mbalimbali zinazopatikana kupitia Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, wengi wao walikuwa wanajikita na kuelewa uwezeshaji wananchi kiuchumi ni ile mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri lakini leo wametambua kuwa kuna mifuko zaidi ya 72 ambayo wanaweza kuitumia kupata uwezeshaji katika suala zima la maendeleo’’. Alisema Bw. Nambunga

Aidha, Afisa Maendeleo ya Jamii huyo aliwataka wananchi wa Mahenge na Halmashauri nzima ya Ulanga kuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha ili kuwaepusha na uhitaji wa kutafuta mikopo isiyo ya lazima na kwa kufanya hivyo itakuwa njia mojawapo ya kuepukana na mikopo ya kausha damu.

Awali akizungumza katika program hiyo, Mratibu wa Mifuko na Program za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bw. Samwell Shikona, alisema kuna fursa mbalimbali za kuwakomboa wananchi kiuchumi zikiwemo mikopo kwa wakulima ambayo ina masharti nafuu, lakini kuna mikopo nafuu inayotolewa kwa wakulima ambao wana umri kati ya miaka 18 hadi 40 ambayo haina masharti yoyote.

Bw. Shikona aliwataka vijana kuchangamkia fursa hiyo ya mikopo ya kilimo ambayo itawasaidia kuondokana na utegemezi kwa kuwakomboa katika kuingia kwenye umasikini.

Aidha alieza kuwa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lipo kwa ajili ya kuwaunganisha wananchi na fursa mbalimbali za kiuchumi kwa lengo la kuongeza kipato chao ili waweze kuchangia pato la Taifa.

Program ya elimu ya fedha kwa umma inayotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Fedha na washirika kutoka sekta ya fedha nchini ina malengo mahsusi la kuwaunganisha wajasiriamali na fursa mbalimbali zinazotolewa na sekta ya fedha katika kukuza na kuimarisha biashara zao.

About the author

mzalendo