Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

WAKALA WA VIPIMO ZANZIBAR WAJIFUNZA KUTOKA WMA BARA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai (mwenye fulana nyeusi-kushoto), akiwa katika ziara ya mafunzo Bandari ya Mtwara. Agosti 17, 2024 kujionea na kujifunza namna majukumu yanayotekelezwa na Wakala wa Vipimo Tanzania Bara (WMA) katika sekta mbalimbali.

Na.Veronica Simba – WMA

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai amefanya ziara ya siku mbili mkoani Mtwara kwa lengo la kujifunza majukumu yanayotekelezwa na Wakala wa Vipimo Tanzania Bara (WMA) ambapo amekiri kunufaika zaidi ya alivyotarajia.

Akizungumza baada ya kuhitimisha ziara yake, Agosti 17, 2024 Simai amesema lengo hasa la ziara hiyo lilikuwa kutembelea eneo linalotumiwa na Wakala wa Vipimo Mtwara kwa ajili ya ukaguzi na uhakiki wa magari ya kusafirishia mafuta ili ZAWEMA ikatumie teknolojia hiyo na kuboresha zaidi huko Zanzibar.

“Hata hivyo, ziara hii imekuwa ya mafanikio makubwa kwetu kwa sababu tumepata zaidi ya kile tulichokusudia,” amesema.

Akifafanua, Simai ameeleza kwamba mbali na kujionea na kujifunza kuhusu uanzishaji wa mtambo wa ukaguzi na uhakiki wa magari ya kusafirishia mafuta, amepata fursa ya kutembelea maeneo mengine ambako WMA hutekeleza majukumu yake ikiwemo Bandari ya Mtwara na katika eneo ambalo gesi asilia huvunwa na kuchakatwa huko Madimba.

Amesema, matarajio yake ni kwenda kuibua miradi mbalimbali ukiwemo wa ujenzi wa eneo la ukaguzi wa magari ya mafuta ambao utaenda sanjari na ujenzi wa mtambo wa kisasa wa ukaguzi wa dira za maji kwa njia ya kielektroniki. “Hata hivyo kwa nilichokiona huku WMA Mtwara, iko haja kutumia mtambo wa kawaida pia pamoja na uwepo wa huo wa kielektroniki,” ameeleza.

Simai amemshukuru Mtendaji Mkuu wa WMA Tanzania Bara, Alban Kihulla kwa ushirikiano ambao amekuwa akiutoa kwa ZAWEMA katika kuhakikisha wanatimiza matarajio yao ya kutekeleza majukumu ya uhakiki vipimo kwa ufanisi na tija kwa manufaa ya wananchi wa Zanzibar.

Awali, akieleza kuhusu majukumu yanayotekelezwa na WMA mkoani Mtwara, Meneja wa Mkoa wa Wakala hiyo, Saad Haruna amesema ni pamoja na uhakiki wa vipimo ambavyo hutumika katika sekta za kilimo, biashara, mazingira pamoja na usalama.

Katika sekta ya kilimo, Haruna amesema WMA huhakiki mizani zinazotumika wakati wa kununua mazao pamoja na wakati wa kuyasafirisha.

Aidha, kwa upande wa biashara amesema WMA inawajibika kuhakiki vipimo vinavyohusiana na sekta hiyo ambapo ametoa mfano wa mafuta yanayosafirishwa kutoka nchi za nje kuletwa nchini kupitia Bandari ya Mtwara.

“WMA hufanya uhakiki kuanzia Bandarini mafuta yanaposhushwa na kupita kwenye kipimo maalum kijulikanacho kama ‘flow meter’ kwa lugha ya kigeni, zoezi ambalo huendelea kufanyika katika matenki ya kuhifadhi mafuta, vituo vya mafuta na katika pampu zinazotumika kujaza mafuta katika magari.”

Vilevile, Haruna amesema jukumu lingine ambalo hutekelezwa na WMA mkoani humo ni kuhakiki dira mpya za maji ambazo hutumika kuwafungia wateja maji pamoja na zile ambazo zilikwishaanza kutumika.

Pia, katika sekta ndogo ya gesi asilia, amesema WMA huwajibika kuhakiki vipimo vyote vinavyotumika kupima kiwango cha nishati hiyo kuanzia inapovunwa hadi kiwango kinachopelekwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa ajili ya kuzalisha umeme, kiwango kinachopelekwa kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na hata kile kinachopelekwa kwa Kampuni kubwa ya kuzalisha saruji ya Dangote.

Akizungumzia malengo ya kuhakiki vipimo, Haruna amesema ni jukumu la Serikali kupitia Wakala wa Vipimo, kuhakikisha pande zote zinalindwa yaani mlaji apate bidhaa kadri alivyolipia bila kupunjwa ilhali muuzaji apate malipo stahiki kulingana na kiwango alichouza.

Kwa upande wake, mmoja wa Wasimamizi wa Mtambo wa kuchakata gesi asilia katika Kiwanda kilichoko Madimba, Mussa Kongola ameipongeza Serikali kwa kuanzisha Wakala wa Vipimo akisema inatekeleza majukumu muhimu sana yanayozinufaisha pande zote.

“Uwepo wa jicho la tatu ni muhimu sana ili kuhakikisha pande zote zinanufaika kwa kupata kilicho stahiki na kwakweli nimewafahamu WMA kwa muda mrefu, kazi yao ni njema sana,” amesisitiza.

Ikumbukwe kwamba, kwa mujibu wa takwimu kutoka TPDC, asilimia 60 ya umeme unaozalishwa nchini kupitia TANESCO hutokana na gesi asilia. Aidha, korosho ambazo huzalishwa kwa wingi mkoani Mtwara ni moja ya mazao ya kimkakati yanayolimwa nchini.

Vilevile, uwepo wa Bandari ya Mtwara pamoja na maeneo mengine mbalimbali ambayo yanatumia vipimo, vyote vinadhihirisha umuhimu wa uwepo wa Wakala wa Vipimo kwa manufaa ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Utendaji mzuri wa wataalamu wa Wakala wa Vipimo Tanzania Bara umekuwa ukivutia nchi mbalimbali kuja kujifunza namna bora ya kuendesha sekta hiyo.

Ziara ya mafunzo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar imefanyika mkoani Mtwara badala ya Dar es Salaam au Mkoa mwingine kulingana na ukubwa wa kazi zinazotekelezwa na ZAWEMA ambao unaelezwa kuwiana na majukumu yanayotekelezwa na WMA Mtwara.

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai (katikati), akisikiliza maelezo kutoka kwa Mussa Kongola, Msimamizi wa Mtambo wa kuchakata gesi asilia wa Kampuni ya Maurel & Prom, Madimba Mtwara (kushoto). Kulia ni Meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Mtwara (WMA), Saad Haruna. Simai alitembelea Mtwara Agosti 16 na 17, 2024 kujifunza namna WMA mkoani humo inavyotekeleza majukumu yake.

Mojawapo ya Mita zinazopima kiwango cha gesi asilia inayovunwa na kuchakatwa katika kiwanda kilichoko Madimba, Mtwara, ikiwa na nembo/alama ya Wakala wa Vipimo (WMA) kuthibitisha kwamba Mita hiyo imehakikiwa na Wakala hiyo. Taswira hii ilichukuliwa Agosti 17, 2024 wakati wa ziara ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai, ilyolenga kujifunza namna WMA Mtwara inavyotekeleza majukumu yake katika sekta mbalimbali.

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai (mwenye fulana nyeusi-kushoto), akiwa katika ziara ya mafunzo Bandari ya Mtwara. Agosti 17, 2024 kujionea na kujifunza namna majukumu yanayotekelezwa na Wakala wa Vipimo Tanzania Bara (WMA) katika sekta mbalimbali.

Mojawapo ya Mita zinazopima uzito wa magari yenye makaa yam awe kutoka katika Bandari ya Mtwara, ikiwa na nembo/alama ya Wakala wa Vipimo (WMA) kuthibitisha kwamba Mita hiyo imehakikiwa na Wakala hiyo. Taswira hii ilichukuliwa Agosti 17, 2024 wakati wa ziara ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai, ilyolenga kujifunza namna WMA Mtwara inavyotekeleza majukumu yake katika sekta mbalimbali.

Gari lililobeba makaa ya mawe likipimwa uzito katika Bandari ya Mtwara kwa kutumia Mizani iliyohakikiwa na Wakala wa Vipimo (WMA). Taswira hii ilichukuliwa Agosti 17, 2024 wakati wa ziara ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai, ilyolenga kujifunza namna WMA Mtwara inavyotekeleza majukumu yake katika sekta mbalimbali.

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai (katikati), akisisitiza jambo kwa Mussa Kongola, Msimamizi wa Mtambo wa kuchakata gesi asilia wa Kampuni ya Maurel & Prom, Madimba Mtwara (kushoto) na Meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Mtwara (WMA), Saad Haruna. Simai alitembelea kiwanda hicho cha kuchakata gesi asilia Agosti 17, 2024 kujifunza namna WMA mkoani humo inavyotekeleza majukumu yake katika sekta mbalimbali.

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai (kushoto), akiwa katika ziara ya mafunzo katika kiwanda cha kuchakata gesi asilia kilichoko Madimba, Mtwara, Agosti 17, 2024 kujionea na kujifunza majukumu yanayotekelezwa na Wakala wa Vipimo Tanzania Bara (WMA) katika sekta mbalimbali.

About the author

Alex Sonna