Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

WAJASIRILIAMALI WAIOMBA SERIKALI KUWAPATIA ELIMU YA UJASIRIAMALI

Written by mzalendo

Afisa Usimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha, Bi. Limi Bulugu, akielezea umuhimu wa kuweka akiba kwa Wananchi wa Wilaya ya Sikonge, wakati wa semina iliyotolewa kwa wananchi hao iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wilayani humo

Afisa Uhusiano na Elimu kwa Umma Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Bi. Stella John, akieleza umuhimu wa kuwewekeza kwa Wananchi wa Wilaya ya Sikonge, wakati wa semina iliyotolewa kwa wananchi hao iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wilayani humo.

Mkazi wa Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, Bw. Daniel Kadete, akiuliza swali kuhusu kiwango cha riba kinachotambulika na Serikali kwa Timu ya Wizara ya Fedha ambayo ilifika wilayani humo kutoa elimu ya fedha.

Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Sikonge, wakifuatilia mada mbalimbali zilizotolewa na Timu ya Wataalamu ya Wizara ya Fedha ambayo ipo mkoani Tabora kutoa elimu ya fedha kwa Wananchi wa makundi mbalimbali wakiwemo Watumishi, Wafanyabiashara na Wajasiriamali. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WF, Tabora)

NA: JOSEPHINE MAJULA, WF, TABORA

Wajasiriamali wa Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya ujasiriamali ili waweze kuzalisha bidhaa zenye ubora, ambazo zitakidhi ushindani wa soko ili kujikwamua kiuchumi.

Ombi hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Wajasiriamali Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, Bi. Doroth Mgombela, alipokutana na Timu ya Wataalamu ya Wizara ya Fedha ambayo ilifika wilayani humo, kutoa elimu ya fedha kwa Wananchi ili waweze kutumia fursa mbalimbali zilizopo katika sekta ya fedha kujikomboa kiuchumi.

“Tunaomba tupatiwe elimu ya ujasiriamali ili bidhaa zetu ziwe na mwonekano mzuri, ambao utamvutia mnunuzi lakini pia ziweze kukubalika katika soko la ndani na nje ya nchi ili kipato chetu kiweze kukua,” alisema Bi. Doroth Mgombela.

Aliongeza kuwa changamoto wanayokutana nayo katika shughuli ya ujasiriamali ni bidhaa kutokidhi mahitaji ya soko, lakini pia wanatumia njia za kienyeji kutengeneza bidhaa zao ambapo wanatumia muda mwingi kuzalisha bidhaa chache lakini pia kutokuwa na uhakika wa soko kutokana na bidhaa hizo kukosa ubora.

Kwa upande wake, Kaimu Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, Bi. Katoke Kisigiro, aliipongeza Wizara ya Fedha kwa kuwafikia wananchi wa makundi mbalimbali wakiwemo wanavikundi, wajasiriamali, watumishi, wanafunzi na wafugaji, aliahidi kuendelea kuwasimamia na kuhakikisha wanaitumia vizuri elimu ya fedha katika shughuli zao za kiuchumi na kujiongezea kipato kwa kujiwekea akiba, kufanya uwekezaji mbalimbali lakini pia kukopa mahali sahihi.

Naye Afisa Mtendaji Kata ya Tutuo Wilaya ya Sikonge, Bw. Alexander Mushongi, aliishukuru Serikali kwa kuweza kuwafikia na kuwapa elimu muhimu ya fedha itakayokuwa mkombozi kwa wananchi na anaamini kupitia elimu waliyoipata wananchi hao watafanya uwekezaji kwenye shughuli ambazo zitawaingizia kipato na kuwainua kiuchumi wao na Taifa kwa ujumla.

Afisa Usimamizi wa Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bi. Limi Bulugu, alisema kuwa katika maeneo mbalimbali waliyofika kutoa elimu kwa wananchi, mwitikio ulikuwa mkubwa na wananchi wameonesha utayari wa kubadilika na kuahidi kutumia taasisi rasmi kukopa, kuwekeza na kuanza kujiwekea akiba.

“Tunawashukuru na kuwapongeza Wananchi wa Mkoa wa Tabora kwa kujitokeza maeneo mbalimbali kupata elimu ya fedha maana bila wao kufika zoezi letu lisingefanikiwa, kwa upande wa maoni na ushauri tunaahidi kuyazingatia awamu ijayo”, Bi. Limi Bulugu.

Alisema hadi sasa mikoa nane imefikiwa na Timu ya Wataalamu ya Wizara ya Fedha na kupatiwa elimu ya fedha ikiwemo mkoa wa Kagera, Manyara, Singida, Kigoma, Rukwa, Simiyu, Shinyanga na Tabora.

About the author

mzalendo