marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

porno izle

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

betpuan

jojobet

betasus giriş

kingroyal giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

Featured Kitaifa

VYAMA VYA SIASA VYASAPOTI KANUNI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI Z1 MITAA

Written by mzalendo

Vyama vya siasa vimeunga mkono rasimu ya kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, ambapo leo wawakilishi kutoka vyama 19 wamekutana jijini Dodoma kupitia na kutoa maoni yao kuhusu rasimu za kanuni nne za kusimamia uchaguzi huo.

Rasimu hizo ni za kanuni za uchaguzi wa mwenyekiti wa kitongoji katika mamlaka ya mji mdogo, kanuni za uchaguzi wa mwenyekiti wa mtaa na wajumbe wa kamati ya mtaa, kanuni za uchaguzi wa serikali za mtaa katika mamlaka ya wilaya na kanuni za uchaguzi wa serikali za mtaa katika mamlaka za miji, zote za mwaka 2024.

Akifungua kikao hicho, Naibu Waziri wa TAMISEMI (Elimu), Mhe. Zainab Katimba amesema kuwa rasimu ya kanuni hizo imezingatia maoni na michango iliyotolewa na wadau mbalimbali, huku akisisitiza kuwa pia ni utekelezaji wa azma ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki kwa kuzingati misingi ya falsafa ya 4R.

Wachangiaji kutoka vyama vingi wamempongeza Rais Samia kwa hatua ambazo amaeendelea kuchukua ikiwemo marekebisho ya sheria za uchaguzi, kanuni na miongozo, kwani ni mambo ambayo wamekuwa wakiyapigia kelele kwa miaka mingi na hayakuwa yamefanyiwa kazi.

Hata hivyo, baadhi ya viongozi wa vyama wametoa mapendekezo mbalimbali ili kuboresha kanuni hizo, ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Mary Chatanda kimependekeza ili kuhakikisha kuwa wasimamizi wa uchaguzi wana sifa zinazostahili na zinazoeleweka vyema wanapendekeza kigezo zaidi cha historia ya uadilifu, uzoefu katika masuala ya uchaguzi ambavyo vitasaidia kuhakikisha msimamizi wa uchaguzi ni mtu mwadilifu na mwenye uzoefu wa kusimamia uchaguzi.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amependekeza masuala mbalimbali ikiwemo muda wa kampeni kuongezwa hadi angalua siku 14, tofauti na siku saba za sasa, uandikishaji wa wapigakura ufanyike mara moja ili kubana fedha za umma na pia kusiwe na ulazima wowote wa kutaka msimamizi wa uchaguzi kuwa mtumishi wa umma bali watu watume maombi, na vyama viwe na fursa ya kuweka pingamizi.

Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Shaweji Mketo amependekeza maboresho yafanyike kuondoa ulazima wa mawakala wa uchaguzi kuapishwa na hakimu badala yake waapishwe na wasimamizi wa uchaguzi.

About the author

mzalendo