Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

MAKAMU WA RAIS KUZINDUA MBIO ZA MWENGE APRIL 2,2022 NJOMBE

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Ajira na Vijana,Patrobas Katambi,kizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo Machi 29,2022 jijini Dodoma  kuhusu uzinduzi wa mbio za Mwenge utakaozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk.Philip Mpango Aprili 2,2022  katika uwanja wa Sabasaba Mkoani Njombe ambapo kilele chake kinatarajiwa kuwa Mkoani Kagera Oktoba 14 mwaka huu.

……………………………………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Ajira na Vijana,Patrobas Katambi,amesema kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk.Philip Mpango anatarajiwa kuzindua mbio za mwenge Aprili 2,2022  katika uwanja wa Sabasaba Mkoani Njombe ambapo kilele chake kinatarajiwa kuwa Mkoani Kagera Oktoba 14 mwaka huu.

Katambi ameyasema hayo leo Machi 29,2022 jijini Dodoma wakati kizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu uzinduzi wa mbio hizo  kwa mwaka 2022.

 Katambi amesema baada ya uzinduzi huo, vijana  sita waliondaliwa kutoka Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar, watabidhiwa jukumu la kuukimbiza  katika Mikoa 31 na Halmashauri 195 za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa siku 195.

“Kwa kipindi hiki chote, Mwenge wa Uhuru utafanya kazi ya kuhamasisha amani, umoja, upendo na Mshikamano wa Kitaifa, Kushiriki shughuli za Maendeleo katika maeneo yao,”amesema.

Amesema ujumbe wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu umezingatia, hoja, na vipaumbele vya Serikali ya awamu ya sita vyenye dhamira ya kuhakikisha Tanzania inakuwa miongoni mwa nchi zenye uchumi wa juu wa kati ifikapo mwaka 2025.

“Hivyo, Ujumbe mkuu unasititiza juu ya umuhimu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 “ Sensa ni Msingi wa Mipango ya Maendeleo: Shiriki kuhesabiwa, tuyafikie Maendeleo ya Taifa ”.

“Pamoja na Kauli Mbiu hii, Mbio za Mwenge wa Uhuru zitaendelea kuelimisha na kuihamasisha jamii ya Watanzania kuhusu umuhimu na uzingatiaji wa Lishe bora, Mapambano dhidi ya Rushwa, Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI, Mapambano dhidi ya matumizi ya Dawa za kulevya,”amesema.

Aidha Katambi amesema mbio hizo  zimekuwa zikitumika kuelimisha wananchi katika maeneo yote nchini juu ya masuala ya kisekta na kisera katika muktadha wa Kitaifa na Kimataifa.

“Ikiwa ni pamoja na kuendeleza juhudi za kupambana na maradhi yanayotishia ustawi wa watu wetu kama vile UKIMWI, Malaria, UVIKO -19 na kupambana na matumizi ya Dawa za kulevya na Vitendo vya Rushwa,”amesema.

Aidha,Mwenge wa Uhuru umeendelea kuwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa lishe bora kwa afya imara.

“Pamoja na njia nyingine tunazotumika kuwahamasisha wananchi wetu, bado Mbio za Mwenge wa Uhuru zimekuwa ni njia sahihi ya kufikisha taarifa na elimu sahihi ya kutatua changomoto kwa watanzania,”amesema.

Vilevile,mbio hizo  zimeendelea kuhamasisha na kuimarisha Muungano  kwa pande zote mbili za nchi yetu.

Amesema mwenge huo umekuwa na  falsafa ya kumulika ndani na nje ya mipaka ya Taifa  kwa kumulika uovu katika jamii ikiwemo uzembe, kutowajibika, vitendo vya rushwa na ufisadi katika miradi mbalimbali ya maendeleo na huduma za kijamii nchini.

“Na kimefanya kazi ya kuratibu na kutathimini shughuli mbambali za maendeleo zinazofanywa na wadau wa maendeleo,”amesema.

 Katambi amesema kwa kipindi cha tangu nchi yetu ipate uhuru hadi mwaka1992, Mbio za Mwenge wa uhuru zilikuwa zikisimamiwa na kuratibiwa na Chama Tawala kupitia umoja wa Vijana.

“Baada ya nchi yetu kuingia mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992;Mbio za Mwenge wa Uhuru zilianza kusimamiwa na Serikali chini ya Wizara zenye dhamana na Maendeleo ya Vijana.

“Uamuzi huu ulilenga kuwakilisha wananchi wote bila kujali itikadi zao za Kisiasa, Dini, Rangi na Ukabila. Huu ni mwaka 30 tangu Serikali ianze kuratibu na kusimamia mbio hizi,”amesema.

About the author

Alex Sonna