Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

Featured Kitaifa

MIAKA MITATU YA RAIS SAMIA AIPAISHA SEKTA YA PAMBA NCHINI

Written by mzalendo

 

WAZIRI wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika leo Machi 23,2024 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe,akisisitiza jambo kwa washiriki wa  Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika leo Machi 23,2024 jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.David Silinde ,akizungumza wakati wa  Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika leo Machi 23,2024 jijini Dodoma.

MWENYEKITI wa Bodi ya Pamba Tanzania Christopher Mwita Ghachuma,akitoa taarifa ya Maendeleo ya Tasnia ya Pamba wakati wa   Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika leo Machi 23,2024 jijini Dodoma.

MKUU wa Mkoa wa Simiyu,  Dk Yahya Nawanda,akizungumza kwa niaba ya Wakuu wa Mikoa inayolima wakati wa   Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika leo Machi 23,2024 jijini Dodoma.

Mbunge wa Maswa Mashariki (CCM)Mhe.Stanslaus Nyongo,akizungumza kwa niaba ya wabunge wakati wa  Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika leo Machi 23,2024 jijini Dodoma.

BAADHI ya Wakuu wa Mikoa wakisikiliza hotuba ya Waziri  wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (hayupo pichani) wakati akifungua Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika leo Machi 23,2024 jijini Dodoma.

SEHEMU ya Washiriki wakisikiliza hotuba ya Waziri  wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (hayupo pichani) wakati akifungua Mkutano wa Wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika leo Machi 23,2024 jijini Dodoma.

 Na.Alex Sonna-DODOMA 

WAZIRI wa Kilimo Hussen Bashe amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Sekta ya Pamba inaendelea kukua kutoka  kuzalisha Tani 174 , 486 Hadi kufikia 282510 kwa Mwaka 2022/2023.

Waziri Bashe ameyasema hayo leo Machi 23,2024 wakati akifungua Mkutano wa wadau wa Tasnia ya Pamba uliofanyika jijini Dodoma

Amesema kuwa  kuongezeka kwa uzalishaji huo kunatokana  na dhamira ya serikali ya Awamu ya Sita kutoa kipaumbele katika sekta ya kilimo.

“Uzalishaji wa zao la pamba umeendelea kuongezeka nchini hasa katika kipindi hiki cha uongozi wa Rais Dk.Samia kwasababu ameonyesha nia ya kukifanya kilimo kuwa ndio uti wa mgongo wa Taifa kwa kuongeza bajeti ya kilimo ili kuhakikisha pembejeo zote za zinapatikana,”amesema 

Aidha amesema kuwa Msimu wa kilimo wa mwaka 2012/2022 uzalishaji wa pamba ulikuwa tani 174,486 lakini kutokana na uwekezaji uliofanyika kuanzia ongezeko la bajeti vimechangia uzalishaji kuongezeka hadi kufikia tani 282,510 kwa msimu wa mwaka 2022/2023,.

Hata hivyo Mhe.Bashe amesema kuwa katika bajeti ya Mwaka wa fedha 2023/2024 Wizara ya Kilimo itatoa shilingi milioni 10 kwa Kila Mkuu wa mkoa na shilingi milioni 5 kwa kila mkuu wa Wilaya lengo likiwa ni kuwafanya waweze kufuatatilia shughuli za Kilimo hapa nchini. 
Aidha amesema kuwa katika bajeti hiyo watagawa magari na kujenga nyumba kwa maafisa ugani ambapo kwa bajeti hiyo pia wataoa magari 50 kwa maafisa Kilimo mkoa na maafisa Kilimo wa wilaya . 
“Wizara inakwenda kujaza mafuta pikipiki za maafisa ugani lengo ni kuondoa malalamiko ya kutokwenda kwa wakulima mashambani kwa kigezo cha kukosa mafuta na kwa hatua hiyo sasa tupo kwenye usajili wa wakulima tu nataka kujua mpaka sasa tuna wakulima wangapi na tunawasaidiaje uzuri baadhi ya wakulima wanaendelea kufanya usajili, “amesema Waziri Bashe. 
Kwa upande wake Mkurungenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba nchini (TCB) Marco Mtunga amesema Uzalishaji wa pamba baada ya msimu wa bei 2019 /20 walizalisha 348.77 baada yakupata hapo uzalishaji ulishuka baada ya mwenendo wa bei na wakulima walivyoweza kipata shida wakati ule. 
Baada ya kushirikiana na maelekezo ya Waziri wameweza kufanya mabadiliko makubwa na uzalishaji umeweza kufikia tani 282000 msimu huu tunaoishia 
“Vita kubwa tunayoendelea nayo ni kwamba mazao mengi likiwemo zao la pamba tija iko chini ndio tunapambana kuweza kurekebisha hiyo kasoro ili uzalishaji wa pamba uweze kuongezeka na Pato la mkulima kuongezeka, “amesema .
Amesema kwa sasa iko hivi mkulima anayezalisha kilo 200 pato lake ni dogo ukilinganisha na mkulima anayezalisha kilo 1000.
“Chakwanza tunachokwenda kukifanya mkulima ana kwenda kupanda kwa vipimo ili kupata idadi ya miche sahihi inayotakiwa kwenye eneo na kuboresha huduma za ugani ili elimu kwa matumizi ya viwatilifu na upandaji na shughuli zote za Kilimo ziweze kusimamiwa kwa karibu zaidi, ” Amesema. 
Na kuongeza “Tumeweza kusajili wakulima wawezeshaji zaidi ya 5000 ambao wapo karibu kila kijiji hao watatengeneza mtandao wa utoaji wa huduma za ugani kwamana badala ya afisa Kilimo mmoja kwenye kata watakuwa na watendaji wengine Saba hadi 10 ambao ni wakulima wanaozalisha vizuri nayo itasaidia Serikali kuajiri maafisa Kilimo wengi. 
Akiongelea suala la maafisa ugani kutofika kwa wakulima kwa kigezo cha pikipiki kukosa mafuta amesema ni kweli pikipiki zimesambazwa kila sehemu na wakurugenzi watendaji wametakiwa kusambaza mafuta ili maafisa ugani waweze kufanya kazi lakini Serikali imekuja na jambo jema kwa wakulima ambapo kwa Mwaka huu wafedha Serikali inakwenda kutenga fedha ya mafuta ya pikipiki kwa maafisa Kilimo kuweza kufanya kazi bila shida yoyote. 
Naye Mwenyekiti wa Bodi Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba Tanzania Christopher Mwita Ghachuma, Amesema kwenye sekta ya Pamba kumekuwepo na matatizo mengi ambayo mengine wanayamudu kuyatatua na mengine yapo nje ya uwezo wao
” Tunaiomba serikali yetu sikivu zile changamoto tunazoshindwa kuzitatua hasa sisi wakulima wa Pamba itusaidie ili tuone tija ya ukulima wetu, “amesema 

 

About the author

mzalendo