Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

marmaris escort

mavibet

mavibet giriş

holiganbet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

ibizabet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas giriş

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

SIDO YATOA MAFUNZO KWA VIJANA UTENGENEZAJI WA VIHENGE MRADI WA TANIPAC KUDHIBITI SUMUKUVU

Written by Alex Sonna
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akizungumza na kuonesha vihenge vilivyotengezwa na vijana walioshiriki mafunzo yaliyotolewa na SIDO kuhusu utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo ili kuimarisha usalama wa chakula kwa wananchi na afya ya jamii.
 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

 
Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) limetoa mafunzo kwa vijana 23 kuhusu utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa ‘Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination – TANIPAC)‘ ulio chini ya Wizara ya Kilimo ili kuimarisha usalama wa chakula kwa wananchi na afya ya jamii.

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo leo Jumamosi Machi 9,2024 katika ukumbi wa SIDO Shinyanga, Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo amesema mafunzo hayo yaliodumu kwa muda wa Wiki mbili, yamewapa vijana hao mbinu mbalimbali ya utengenezaji vihenge kwa vitendo, ujasiriamali, masoko, usimamizi wa fedha na urasimishaji biashara.
 
“Mradi wa PANIPAC unalenga kuwawezesha jamii kutumia njia sahihi na za kisasa za uhifadhi wa nafaka hususani mahindi kutokana na sumukuvu. Serikali imeingia gharama kuhakikisha kuwa vijana wanapatiwa ujuzi wa kutengeza vifaa vya kisasa na vinavyodumu kwa muda mrefu ili kutimiza adhima ya kupunguza sumukuvu”,amesema Bondo.
“Nendeni mkatumie kwa vitendo mafunzo haya ili kutimiza malengo yaliyokusudiwa ambayo pia yatawawezesha kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja, kaya na taifa kwa ujumla. Mkawe waalumu wa kufundisha vijana wenzenu ili kwa pamoja tuweze kupambana kwa vitendo kutokomeza sumukuvu. Haya ni mafunzo awamu ya kwanza tutaendelea kutoa mafunzo ya namna hii awamu zingine”,ameongeza Bondo.
 
 
Kwa upande wake, Kaimu Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga bi. Misuka Makwaya amewasihi washiriki wa mafunzo hayo wakayatumie kwa vitendo ili kutimiza malengo ya serikali ya kutokomeza sumukuvu na wakawe mabalozi wa kukemea matumizi yasiyo sahihi ya utunzaji wa nafaka yanayopelekea sumukuvu.
 
Akisoma Risala ya wahitimu wa mafunzo hayo, Josephat Jonathan Makorogo amesema mafunzo hayo yalianza Februari 26,2024 hadi Machi 9,2024 yakiwa na washiriki 23 kutoka Mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita.
 
Makorogo amesema katika mafunzo hayo wamejifunza kuhusu ujasiriamali,masoko na huduma kwa wateja, usimamizi wa fedha, urasimishaji wa biashara na utengenezaji wa vihenge kwa vitendo.
 
“Elimu na mafunzo tuliyopata yatatusaidia kuboresha utendaji kazi na kuzalisha bidhaa za vihenge (Silos) na nyinginezo kwa tija ili kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya nchi. Tunaishukuru uongozi wa SIDO na Wizara ya Kilimo kwa kutoa fursa ya mafunzo haya ambayo yametujengea uwezo wa kujiamini na kuamsha ari ndani yetu ya kujiajiri na kuachana na kasumba ya kusubiri ajira”,amesema Makorogo.
 
Hata hivyo amesema licha ya kupata ari ya kujiajiri wanakabiliwa na changamoto ya mitaji kwa ajili ya kununua vitendea kazi vya kuanzisha shughuli mbalimbali kutokana na fani walizojifunza ili waweze kujiajiri na kuajiri wengine hivyo kuchangia uchumi wao na jamii na kutokomeza kabisa Sumukuvu nchini.
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akiangalia vihenge vilivyotengezwa na vijana walioshiriki mafunzo yaliyotolewa na SIDO kuhusu utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akizungumza na vijana walioshiriki mafunzo yaliyotolewa na SIDO kuhusu utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Muonekano wa vihenge vilivyotengezwa na vijana walioshiriki mafunzo yaliyotolewa na SIDO kuhusu utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo.
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo akizungumza wakati akifunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
 Kaimu Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga bi. Misuka Makwaya akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Meneja wa SIDO Mkoa wa Shinyanga bi. Misuka Makwaya akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Josephat Jonathan Makorogo akisoma risala ya wahitimu wakati wa kufunga mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo, viongozi wa SIDO Shinyanga wakipiga picha ya kumbukumbu na washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo, viongozi wa SIDO Shinyanga wakipiga picha ya kumbukumbu na washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo na Usimamizi wa Mikoa SIDO, Stephen George Bondo, viongozi wa SIDO Shinyanga. wakipiga picha ya kumbukumbu na washiriki wa mafunzo ya utengenezaji wa Vihenge kupitia mradi wa Kuzuia Sumukuvu wa TANIPAC ulio chini ya Wizara ya Kilimo
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna