Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

BASHE ATAJA SABABU UPUNGUFU WA SUKARI, TANI 100,000 ZAAGIZWA

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hali uzalishaji wa sukari katika viwanda saba nchini imeshuka hadi kufikia tani 1,000 kwa siku kutokana na mvua za El-nino zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini.

Amesema mvua hizo zimeathiri hali ya uvunaji wa miwa mashambani na kupunguza kiwango cha sukari katika miwa kwa zaidi ya asilimia 25.

Akitoa kauli ya serikali leo Jumamosi kuhusu hali ya sukari nchini, Bashe amesema katika kukabiliana na uhaba wa sukari ambao sasa umefikia tani 30,000, serikali imetoa kibali kwa wenye viwanda kuagiza sukari tani 100,000 ambayo inatarajiwa kuwasili nchini tarehe 23 – 24 Januari mwaka huu.

Amesema mahitaji ya sukari kwa siku nchini ni tani 1,500 na kutokana na hali hiyo bei ya rejareja ya sukari imepanda kutoka 2,700, 3000 hadi kufikia 4000.

Amesema uhaba wa sukari sasa umefikia tani 30,000 ikilinganishwa na uhaba wa tani 200,000-150,000 kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

“Uzalishaji wa sukari katika taifa kwa kipindi cha miaka mitatu uliendelea kuongezeka kiasi kwamba sugar gap kwa mwaka jana ilishuka mpaka kufika wastani wa tani 30,000 na mwaka huu tulitarajia kumaliza kabisa gap ya sukari katika Taifa letu.

“Kwamba kufikia kipindi cha msimu wa Aprili mwaka huu tungeweza kufikia uzalishaji wa tani zaidi ya 500,000. Mwaka jana tulizalisha tani 460,000 tukawa na gap ya tani 30,000 ambazo tuliagiza na tulijua kwamba tunafika mahali pa kujitosheleza.

“Kwa kipindi cha miaka mitatu Sugar gap yetu imeshuka kwa wastani wa tani 150,000- 200,000 mpaka kufika tani 30,000. Hizi ni kazi kubwa ambazo zimefanywa na sekta binafsi kwa kushirikiana na serikali,” amesema.

Amesema mwaka huu wamepata ‘shock’ kutokana na uzalishaji wa viwandani kushuka.

Haya hivyo amesema kutokana na hatua zilizochukuliwa anaamini ifikapo katikati ya Februari hali ya upatikanaji wa sukari itaanza kurejea katika hali ya kawaida na kutokuwa na madhara yoyote.

“Tunaamini kwamba mvua hizi zitaendelea mpaka mwezi wa Februari na Machi, tutaendelea kutoa idhini ya uagizaji wa sukari ili kuendelea kumlinda mlaji na tumeagiza bodi ya sukari kufanya kazi kwa karibu na wenye viwanda kuhakikisha stability na bei ya sukari inarudi katika hali yake,”amesema.

Pamoja na mambo mengine amewaonya wenye viwanda na wasambazaji kwamba haki ya kuwalinda aliyopewa, wakiendelea na hali ya kuficha sukari na kuongeza bei ya sukari sokoni, serikali itaiondoa haki hiyo ya kuwalinda kwa sababu hawezi kuwalinda kwa gharama ya mlaji.

“Hivyo niwaombe watanzania tutarudi kwenye hali ya kawaida katikati ya Februari, kutakuwa na sukari ya kutosha. Binafsi nimetembelea mashamba na kiwanda cha Bagamoyo nimeona uvunaji ulivyokwama. Hili ni jambo la mpito na tutarudi kwenye hali yetu ya kawaida,” amesema.

Amesema wizara ya kilimo itaendelea kufuatilia kwa karibu usambazaji wa sukari lakini pia amewaomba wakuu wa mikoa na wilaya wasisite kuangalia hali ya sukari katika maeneo yao ili watambaue kama kuna tatizo la uhaba mkubwa mahali wawasiliana na wizara ili ipeleke eneo hilo kumlinda mlaji.

Akifafanua hali ya uzalishaji viwanda Bashe amesema katika viwanda saba ambavyo kimoja cha Manyara ndio kidogo, uzalishaji upo kama ifuatavyo;

Kiwanda cha Kilombero Sugar ambacho kilikuwa kinazalisha tani 700 kwa siku sasa kinazalisha tani 250.
Kiwanda cha TPC ambacho kilikuwa kinazalisha tani 450 kimeshuka hadi tani 180 na sasa kimepata hitilafu kubwa ya mfumo wa umeme ambayo imesababisha kiwanda kusimama.
Kagera sugar kilikuwa kinazalisha tani 500 kwa siku sasa inazalishaji tani 200-300.

Mtibwa Sugar kilikuwa kina uwezo wa kuzalisha tani 450 kwa siku sasa inazalisha tani 120.
Bagamoyo Sugar kilikuwa na uwezo wa kuzalisha tani 160 kimeshuka hadi tani 70 na sasa kimesimamisha shughuli za uzalishaji.

Kiwanda cha serikali Mbigiri au Mkulazi kilichoanza uzalishaji karibuni kilikuwa na uwezo wa kuzalisha tani 250 sasa kinazalisha tani 46 kwa siku.

About the author

Alex Sonna