Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

FEDHA ZILIZOPO KWENYE MASHAURI TRAB NA TRAT SIO ZA SERIKALI

Written by mzalendo

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akijibu swali bungeni jijini Dodoma kuhusu muda ambao Serikali itamaliza mashauri ya kikodi yaliyopo Bodi ya Rufaa za Kodi (TRAB) na Baraza la Rufaa za Kodi (TRAT) ili fedha zilizopo huko zirudi kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali na kufanyakazi za maendeleo na pia kujenga uhusiano mzuri na wafanyabiashara.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma)

Na. Peter Haule, WF, Dodoma

Serikali imesema inajenga uhusiano mzuri na wafanyabiashara kwa kutotumia fedha zilizopo kwenye mashauri yanayobishaniwa katika Bodi ya Rufaa za Kodi (TRAB) na Baraza la Rufaa za Kodi (TRAT) ili kutoa haki kupitia vyombo hivyo vinavyoongozwa na Wanasheria mahiri.

Hayo yalielezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalam, Mhe. Janejelly James, aliyetaka kujua muda ambao Serikali itamaliza mashauri ya kikodi yaliyopo TRAT na TRAB ili fedha zilizopo huko zirudi kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali na kufanyakazi za maendeleo na pia kujenga uhusiano mzuri na wafanyabiashara.

Mhe. Dkt. Nchemba, alisema kuwa Fedha zinazobishaniwa na kabla hazijaamuriwa na vyombo husika haziwi fedha za Serikali hivyo haziwezi kutumiwa na Serikali katika shughuli zake za maendeleo.

“Serikali ingekuwa inyoosha tu mkono na kusema tunachokadiria sisi ndicho tunataka kilipwe! hiyo ndiyo ingeharibu mahusiano na walipa kodi. Fedha zilizopo TRAB na TRAT zitakuwa fedha za Serikali iwapo vyombo hivyo vitasema sasa hii ni fedha ya Serikali, hilo linafanyika ili kutoa fursa ya haki kutendeka”, alisema Dkt. Nchemba

Alisema kuwa hadi Oktoba 2023, Bodi ya Rufani za Kodi ilikuwa na mashauri 889 yenye kiasi cha kodi kinachobishaniwa cha shilingi trilioni 6.46 na Dola za Kimarekani milioni 4.66 ambapo katika kipindi hicho, Bodi imesikiliza mashauri 167 yenye kiasi cha kodi kinachobishaniwa cha shilingi trilioni 2.66 na Dola za Kimarekani 201,242.51.

Dkt. Nchemba alieleza kuwa Baraza la Rufani za Kodi lilikuwa na mashauri 176 yenye kiasi cha kodi kinachobishaniwa cha shilingi bilioni 266.94 ambapo mashauri 91 yenye kiasi cha kodi kinachobishaniwa cha shilingi bilioni 166.32 yamesikilizwa.

Alibainisha kuwa katika mwaka 2023/24 TRAB na TRAT zinaendelea kutekeleza mpango maalum yaani “Special Sessions” ambapo kuanzia mwezi Novemba, 2023 hadi mwezi Juni, 2024 watasikiliza na kumaliza mashauri ya kodi yaliyofunguliwa.

Dkt. Nchemba alisema kuwa kupitia mpango huo, mashauri mengi zaidi yatasikilizwa katika mikoa mbalimbali nchini kwa kuzingatia uwingi wa mashauri hayo, ikiwemo Dar es Salaam, Arusha, Morogoro, Ruvuma, Tabora, Mara, Manyara, Kilimanjaro, Iringa, Mbeya, Songwe na Njombe.

Mhe. Dkt. Nchemba alisema Serikali pia imeanzisha Taasisi ya Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (Tax Ombudsman) ambayo jukumu lake kubwa ni kupokea malalamiko na kutatua masuala ya kikodi yanayotokana na huduma, hatua za kikodi na utekelezaji wa sheria za kikodi kati ya Mlipakodi dhidi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania.

About the author

mzalendo