Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA APEWA TUZO MTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU

Written by mzalendo

Na Beatrice Lyimo-MAELEZO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunikiwa tuzo ya Mtetezi wa Kwanza wa Haki za Binadamu na Mtandao wa Taifa wa Watetezi wa Haki za Binadamu.

Tuzo hiyo imetolewa leo Oktoba 21, 2023 katika Kituo Cha Mikutano Cha Kimataifa cha Arusha (AICC) wakati wa Kikao Cha 77 cha Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kinachoendelea jijini Arusha.

Akizungumza wakati akipokea tuzo hiyo, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Pindi Chana amesema, “nipo hapa kwa heshima na taadhima kupokea tuzo ya mwanamke kiongozi shujaa, mwanamke kiongozi mchapakazi, mwanamke kiongozi mjasiri, mwanamke kiongozi mtetezi wa haki za binadamu na watu, mwanamke kiongozi mtoto wa afrika, mwelewa na mleta maendeleo”.

Aidha amesema kuwa, Tanzania imeendelea kusimama na kutekeleza mipango mbalimbali ya Kitaifa, Kikanda na Kidunia katika kuhifadhi, kukuza, kulinda na kutetea haki za binadamu nchini.

Dkt Chana ameongeza kuwa, katika kipindi cha Awamu ya Sita kinachoongozwa na Rais Samia kumekuwa na kasi katika kuleta maendeleo na kuwezesha mifumo ya upatikanaji haki kwenye nyanja mbalimbali ikiwemo utoaji wa haki huru na uhuru wa kujieleza, uhuru wa imani, uhakika wa chakula na haki nyingine ikiwemo uwezeshaji vijana kujiajiri na kuwezesha wanawake.

“Kwa upande wa Wizara ya Katiba na Sheria sasa tupo kwenye usajili wa watoto chini ya umri wa miaka mitano wanapata usajili wa vyeti vya kuzaliwa bure, msaada wa kisheria ambao unaitwa Dkt. Samia Legal Aid kwa wote lakini mahakamani sheria zetu tumeanza kutumia lugha ya Kiswahili ili kuwezesha watu wote kuelewa,” amefafanua.

Vilevile amebainisha kuwa, katika kipindi hiki cha Awamu ya Sita kumekuwa na ongezeko la wanawake kwenye vyombo vya utoaji wa maamuzi ikiwemo kwenye mahakama ambapo kuna majaji kuanzia Mahakama ya Rufaa hadi Mahakama Kuu lakini pia katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania liloongozwa na Spika wa Bunge mwanamke.

Awali wakati akiwasilisha mada kuhusu Itifaki ya Mkataba wa Haki za Binadamu wa Maputo (Maputo Protocol) kuhusu changamoto za utekelezaji wake, uhuishaji wake na utoaji wa taarifa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Mwakilishi wa Bunge, Mhe. Prof. Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi amebainisha kuwa, Serikali ya Jumhuri ya Muungano Tanzania imeweza kusisitiza elimu kwa wananwake na wasichana ambapo kwa sasa inajenga shule za serikali katika kata zote nchini.

“Moja ya changamoto zinazowakumba wanawake na kuleta tatizo katika mkataba huu ni kuhakikisha wanawake wanapewa uwezo wa elimu ili waweze kuwa washiriki kamilifu katika maendeleo ya nchi zao, kwa upande wa Tanzania moja ya mambo yaliyosisizitwwa sana ni elimu kwa wasichana na wanawake,”

“Kwa sasa Serikali inahakikisha inajenga shule za sekondari katika kata zake 3956, shule za msingi katika vijiji vyote 12,319 na inatekeleza mpango mpya wa boost wa kuboresha elimu msingi na pia inajenga madarasa 12,000 ya elimu ya awali” amefafanua Prof. Kabudi.

About the author

mzalendo