Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI KAPINGA ATOA SIKU 7 KWA MKANDARASI KUWALIPA VIJANA WALIOFANYA KAZI

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ikindwa (Bukene) Wilayani Nzega mkoani Tabora,(hawapo pichani) wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini Mzunguko wa Tatu, Awamu ya Pili katika wilaya hiyo kwa kuwasha umeme katika kijiji hicho na kuzungumza na wananchi.

Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Ikindwa (Bukene) Wilayani Nzega mkoani Tabora,wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (hayupo pichani) wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini Mzunguko wa Tatu Awamu ya Pili katika wilaya hiyo kwa kuwasha umeme katika kijiji hicho na kuzungumza na wananchi.

Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Ikindwa (Bukene) Wilayani Nzega mkoani Tabora,wakifurahia kuwashwa kwa umeme katika kijiji hicho na Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (wa pili kulia) wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Usambazaji wa umeme Vijijini Mzunguko wa Tatu Awamu ya Pili .

Meneja Msimamizi wa Miradi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Romanus Lwena akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ikindwa (Bukene) Wilayani Nzega mkoani Tabora,(hawapo pichani) wakati wa ziara Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini Mzunguko wa Tatu Awamu ya Pili katika wilaya hiyo kwa kuwasha umeme katika kijiji hicho na kuzungumza na wananchi.

Mbunge wa Jimbo la Bukene Suleman Zedi akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ikindwa (Bukene) Wilayani Nzega mkoani Tabora,(hawapo pichani) wakati wa ziara Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini mzunguko wa Tatu Awamu ya Pili katika wilaya hiyo kwa kuwasha umeme katika kijiji hicho na kuzungumza na wananchi .

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga(kulia) akitoa maelekezo kwa mwakilishi wa Mkandarasi anayetekeleza mradi wa usambazaji umeme katika Kijiji Ikindwa (Bukene) Wilayani Nzega mkoani Tabora, wakati wa ziara ya kukagua Maendeleo ya Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini mzunguko wa Tatu Awamu ya Pili katika wilaya hiyo kwa kuwasha umeme katika kijiji hicho na kuzungumza na wananchi.

Na Zuena Msuya na Theresia Lugwisha, Tabora

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameweka historia kwa kuwasha umeme kwa mara ya kwanza katika Kijiji cha Ikindwa (Bukene) Wilayani Nzega mkoani Tabora, tangu kuanzishwa kwa kijiji hicho baada ya nchi kupata uhuru.

Kapinga amefanya tukio hilo, tarehe 25 Septemba 2023 katika Wilaya ya Nzega mkoani Tabora alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini mzunguko wa tatu Awamu ya Pili katika wilaya hiyo kwa kuwasha umeme katika kijiji husika na kuzungumza na wananchi wa eneo hilo.

Akizungumzia mradi huo, Kapinga amesema Serikali imetenga fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza mradi wa usambazaji umeme vijijini katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo vituo vya afya, Taasisi za elimu, Taasisi za Dini, Masoko, Visima vya Maji na Mashamba.

“Niwatoe hofu kuwa wananchi wote mtamfikiwa na umeme, kazi iliyombele yenu ni kusuka waya katika nyumba zenu, ili umeme utakapofika maeneo yenu kazi iwe ni kuwaunganisha tuu tena kwa gharama nafuu ya shilingi 27,000. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan ameshatoa maelekezo kuwa wananchi wote waunganishiwe umeme” alisema Kapinga.

Aidha ametoa siku saba kwa mkandarasi anaetekeleza mradi huo katika kijiji cha Ikindwa kuwalipa ujira wao vijana waliofanya kazi ya kuchimba mashimo, kusimika nguzo pamoja na kuvuta waya ambao mpaka sasa bado hawajalipwa fedha zao.

Alimueleza mkandarasi huyo kuwa jukumu la kusimamia malipo ya wafanyakazi hao ni la kwake na si la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) hata kama anaweka kampuni za kumsaidia katika kazi hiyo.

Sambamba na hilo aliwataka wakandarasi wote kukamilisha na kukabidhi kazi waliopewa ya kusambaza umeme vijijini ifikapo mwisho wa mwezi Desemba 2023 tena bila visingizo vya aina yeyote ili kumaliza kazi ya kusambaza umeme vijijini na kuhamia katika Vitongoji.

Kapinga amewagiza wakandarasi kufanya kazi kwa weledi na uaminifu mkubwa na wafahamu kuwa jukumu la kuwaunganishia wananchi umeme ni la kwao, aidha hakuna mkataba utakaokamilika endapo mkandarasi hatamaliza kuwaunganishia umeme wananchi aliokabidhiwa.

Kwa upande wake Meneja Msimamizi wa Miradi kutoka wakala wa Nishati Vijijini( REA), Mhandisi Romanus Lwena amewataka wananchi kutumia umeme huo kwa shughuli za uzalishaji mali ili kupata maendeleo na kujiongezea kipato.

Vilevile amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kutumia fursa hiyo ya uwepo wa mkandarasi katika maeneo yao kwa kuandaa nyumba zao ili kuunganishiwa umeme na wasisubiri hadi pale mkandarasi atapoondoka katika maeneo yao.

Baadhi ya wananchi wa kijiji hicho wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kiasi kikubwa cha fedha kilichowezesha wao kupata umeme tangu kuanzishwa kijiji mara baada ya kupata uhuru.

Wamemuahidi Naibu Waziri wa Nishati Kapinga, kuwa watatekeleza ushauri aliowapa kwa kuandaa nyumba zao ili kukaa tayari kwa kuunganishiwa umeme pindi utakapofika katika maeneo yao.

About the author

Alex Sonna