Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

WARATIBU HUDUMA NDOGO ZA FEDHA WAPIGWA MSASA

Written by Alex Sonna

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Bi. Dionisia Mjema akifafanua jambo wakati wa mafunzo ya waratibu wa biashara ya huduma ndogo za fedha yaliyofanyika jijini Dodoma.

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Bi. Dionisia Mjema, Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Usimamizi wa Huduma ndogo za Fedha, kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Deogratias Mnyamani na Mwanasheria wa Serikali kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bi. Antelma Mtemahanji, wakiteta jambo wakati wa mafunzo ya waratibu wa biashara ya huduma ndogo za fedha yaliyofanyika jijini Dodoma.

Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Usimamizi wa Huduma ndogo za Fedha, kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Deogratias Mnyamani akitoa mada kuhusu taarifa ya utekelezaji wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2018 katika mafunzo ya waratibu wa biashara ya huduma ndogo za fedha yaliyofanyika jijini Dodoma.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya waratibu wa biashara ya huduma ndogo za fedha wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilitolewa katika mafunzo hayo yaliyofanyika jijini Dodoma.

Mwanasheria wa Serikali kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bi. Antelma Mtemahanji akitoa mada kuhusu Kanuni za Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha kwa vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za fedha katika mafunzo ya waratibu wa biashara ya huduma ndogo za fedha yaliyofanyika jijini Dodoma.

Mchumi kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Farida Makao akielezea Kanuni za Huduma Ndogo za Fedha kuhusu majuku ya Waziri wa Fedha kwa waratibu wa biashara ya huduma ndogo za fedha katika mafunzo yaliyofanyika jijini Dodoma.

Meza kuu iliongozwa na Kamishna wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Dkt. Charles Mwamwaja wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waratibu wa biashara ya huduma ndogo za fedha walio shiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyofanyika jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango, Dodoma)

Na Farida Ramadhani, WFM-Dodoma.

Serikali imeandaa mafunzo ya waratibu wa biashara ya huduma ndogo za fedha ili kuwajengea uwezo na kupata mrejesho wa utekelezaji wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2018 na Kanuni zake za mwaka 2019.

Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo jijini Dodoma, Kamishna wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Charles Mwamwaja, alisema mafunzo hayo ni mwendelezo wa mkakati wa Serikali kuwajengea uwezo waratibu pamoja na kujadili changamoto zilizojitokeza wakati wa utekelezaji wa Sheria na Kanuni hizo na mapendekezo ya kukabiliana nazo.

‘’Hii itasaidia pamoja na mambo mengine, kurahisisha utekelezaji wa majukumu ya waratibu ya uhamasishaji wa sekta hii, usajili wa wahamasishaji wa biashara ya huduma ndogo za fedha na kukuza sekta hii muhimu nchini’’, alisema Dkt. Mwamwaja.

Alisema Sekta Ndogo ya Fedha imepitia changamoto nyingi ambazo zimesababisha Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, kufanya mapitio ya Sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2000 na kuandaa Sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2017.

“Katika kutekeleza Sera hiyo, Serikali ilitunga Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2018 na Kanuni zake za mwaka 2019 ili kuweka mazingira wezeshi ya usimamizi na uendelezaji wa Huduma Ndogo za Fedha nchini kwa lengo la kuondoa changamoto katika sekta hii na kuongeza mchango wake katika kukuza uchumi na kuondoa umaskini”, alisema Dkt. Mwamwaja.

Aidha, aliwataka washiriki wa mafunzo hayo kuwa chachu ya kukuza maendeleo ya biashara ya huduma ndogo za fedha kwa kuwaelimisha wadau mbalimbali na kuwaelekeza fursa zilizopo katika biashara hiyo.

Kwa upande wake Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Usimamizi wa Huduma ndogo za Fedha, kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Deogratias Mnyamani, ambao ndio wasimamzi wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha na Kanuni zake, alisema utekelezaji wa sheria hiyo na kanuni zake umeiwezesha Serikali kupata takwimu za watoa hudima na watumiaji wa Huduma Ndogo za Fedha.

Alisema mpaka kufikia Februari 2023, Benki ilipokea maombi 1,651 kwa daraja la pili, maombi 1,179 kwa kwa daraja la tatu na maombi 39,384 kwa daraja la nne ambapo kati ya maombi hayo, Benki Kuu imetoa leseni 1,158 kwa daraja la pili na leseni 773 kwa daraja la tatu.

Bw. Mnyamani alisema Serikali itaendelea kutoa elimu kwa umma kupitia njia mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari kwa kuwa imebaini kuwa bado kuna changamoto ya uelewa wa sheria na kanuni zake kwa watoa huduma na watumiaji wa Huduma Ndogo za Fedha.

Nao baadhi ya washiriki wa mfunzo hayo wameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango kwa kuendelea kutoa mafunzo hayo yatakayosaidia ukuaji wa Sekta ya Fedha na uchumi wa nchi kwa ujumla.

Wameiomba Serikali ihakikishe elimu ya fedha inakuwa ajenda ya kudumu katika vikao kuanzia ngazi ya vijiji na kata.

Mratibu wa Biashara ya Huduma Ndogo za Fedha wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Bw. Lodrick Mwakisole ni miongoni mwa washiriki wa mafunzo hayo ambaye amesema kuwa mafunzo hayo yataongeza nguvu na hamasa katika kutekeleza majukumu yao ya kusimamia na kuhamasisha biashara ya huduma ndogo za fedha katika jamii.

Naye Mratibu wa Biashara ya Huduma Ndogo za Fedha wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Bi. Happiness Joachim, alisema ni vema Serikali ikaongeza uzito katika suala la usimamizi wa biashara ya huduma ndogo za fedha hasa katika masuala ya kibajeti na utoaji wa elimu.

Alipendekeza elimu itolewe zaidi kwa watumiaji wa huduma hizo kwa kuwa wao ndio wamekuwa wakikabiliana na changamoto mbalimbali ikiwemo kudhurumiwa kutokana na kutokuelewa haki zao za msingi na kubaini vipengele tata vya masharti ya mikopo wakati wanakopa.

About the author

Alex Sonna