Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

starzbet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

jojobet

holiganbet

jojobet

maxwin

meritking

https://www.newstrendline.com/

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

norabahis

setrabet

jojobet giriş

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

mavibet giriş

mavibet

royalbet giriş

mavibet giriş

norabahis giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

norabahis giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

norabahis

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betpark

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

maxwin giriş

dinamobet giriş

casibom

vaycasino

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

vaycasino

ultrabet

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

casibom

royalbet

imajbet

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pusulabet

betsat

betsat

vdcasino

jojobet

casibom

matbet

nerobet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

royalbet

artemisbet

artemisbet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

betwild

jojobet

Featured Kitaifa

RC MNDEME APOKEA MTAMBO WA KISASA WA KUCHIMBA VISIMA VIREFU VYA MAJI SHINYANGA

Written by Alex Sonna
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (aliyevaa suti nyeusi) akikata utepe wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga. Wa kwanza kushoto ni Kaimu Meneja wa KASHWASA, John Zengo akifuatiwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela, kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amepokea Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji ambao ni sehemu ya mitambo 25 ya kuchimba visima vya maji iliyonunuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Maji kwa Fedha za UVIKO – 19.
 
Mtambo huo wenye uwezo wa kuchimba kisima hadi mita 300 umepokelewa leo Jumatatu Machi 27,2023 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.
 
 
Akizungumza wakati wa kupokea mtambo huo wa kisasa wa kuchimbia visima virefu kwa niaba ya wananchi, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme ameagiza mtambo huo utunzwe na utumike kwa malengo yaliyokusudiwa.
 
 
“Tunamshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kununua mtambo huu wa kuchimbia visima virefu vya maji. Mhe. Rais Samia amedhamiria kuwapatia wananchi huduma ya maji safi na salama lakini pia kumtua mama ndoo kichwani….Nasi Shinyanga tunasema ‘Dkt. Samia Maji Safi na Salama Bombani, Maji nyumbani, Kazi Iendelee’”, amesema Mhe. Mndeme.
 
 
“RUWASA nendeni mkafanye kazi ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama na mhakikishe pia kabla ya kuanza kuchimba muwe mmefanya utafiti kuwa na uhakika kama kweli maji yapo”,ameongeza Mkuu huyo wa Mkoa.
 
 
Aidha amewataka wananchi kulinda vyanzo vya maji na miundombinu ya maji ili miradi ya maji inayojengwa idumu huku akibainisha kuwa serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji.

 

Muonekano wa sehemu ya Mtambo wa Kisasa wa kuchimba visima virefu vya maji 

 

 
Akitoa taarifa ya Mapokezi ya mtambo wa kisasa wa uchimbaji visima, Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela amesema kwa kuanzia, uchimbaji visima virefu utaanza mara moja katika vijiji vinne ambavyo ni Itilima na Mwashinogela katika wilaya ya Kishapu na Ubagwe na Kinamapula katika Halmashauri ya Ushetu.
“Mkoa wa Shinyanga ni moja ya mikoa kame kutokana na hali hiyo upatikanaji wa vyanzo vya maji chini ya ardhi imekuwa changamoto. Hata hivyo mkoa wetu ni mnufaika wa kwanza wa mradi wa maji ya Ziwa Victoria ambao kwa sasa unahudumia mikoa ya Mwanza (Kwimba na Misungwi), Shinyanga, Tabora (Igunga, Tabora na Nzega) na Mji wa Shelui Mkoa wa Singida”,ameeleza Mhandisi Payovela.
 
 
Amefafanua kuwa ujenzi wa miradi ya maji kupitia Bomba kuu la Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Kahama na Shinyanga (KASHWASA), umeendelea ambapo hadi sasa jumla ya vijiji 89 vinapata maji na vijiji 50 ujenzi wa miundombinu ya kusambaza maji kupitia bomba hilo upo katika hatua za utekelezaji na kwamba uunganishaji wa maji ya KASHWASA umeendelea kufanyika kwa vijiji vilivyo ndani ya umbali wa km 12 kutoka bomba kuu la KASHWASA.
 
 
“Kwa vijiji vilivyo mbali zaidi na mtandao wa KASHWASA, tumeendelea kufanya utafiti wa maji chini ya ardhi na uchimbaji wa visima virefu hivyo mtambo huu wa kisasa ulionunuliwa kwa fedha za UVIKO-19 wenye uwezo wa kuchimba kisima hadi mita 300 utasaidia sana katika kufanikisha uchimbaji wa visima virefu kupitia RUWASA”,ameongeza.
 
 
Katika hatua nyingine amesema kupitia fedha za UVIKO – 19 , Mkoa wa Shinyanga ulitekeleza miradi ya maji,mradi mmoja kila Jimbo isipokuwa jimbo la Solwa imejengwa miradi miwili.
 
 
“Jumla ya fedha kiasi cha shilingi 3,061,459,641.73 zimetumika kutekeleza miradi 7. Miradi yote imekamilika na wananchi 26,902 wanapata huduma ya maji safi na salama”, amesema Mhandisi Payovela.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza leo Jumatatu Machi 27,2023 wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga. Kushoto ni Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela, kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza leo Jumatatu Machi 27,2023 wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga. Wa kwanza kushoto ni Kaimu Meneja wa KASHWASA, John Zengo akifuatiwa na Meneja wa RUWASA Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela, kulia ni Mkurugenzi wa SHUWASA Mhandisi Yusuph Katopola
Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela akisoma taarifa kuhusu Mtambo wa Kisasa wa kuchimbia visima virefu
Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela akisoma taarifa kuhusu Mtambo wa Kisasa wa kuchimbia visima virefu
Muonekano wa sehemu ya Mtambo wa Kisasa  wa kuchimba visima virefu vya maji 
Muonekano wa sehemu ya Mtambo wa Kisasa wa kuchimba visima virefu vya maji 
Muonekano wa sehemu ya Mtambo wa Kisasa wa kuchimba visima virefu vya maji 
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (aliyevaa suti nyeusi) akikata utepe wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga. Wa kwanza kushoto ni Kaimu Meneja wa KASHWASA, John Zengo akifuatiwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela, kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (aliyevaa suti nyeusi) akikata utepe wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga. Wa kwanza kushoto ni Kaimu Meneja wa KASHWASA, John Zengo akifuatiwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela, kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (aliyevaa suti nyeusi) akikata utepe wakati wa hafla fupi ya mapokezi ya Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga. Wa kwanza kushoto ni Kaimu Meneja wa KASHWASA, John Zengo akifuatiwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Julieth Payovela, kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiendesha Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga.
Mtaalamu wa Mitambo kutoka RUWASA, Hamis Simwita akionesh namna ya kuongoza Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akijaribishia kuongoza Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akijaribishia kuongoza Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akijaribishia kuongoza Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akipiga picha na wadau mbalimbali wakati wa hafla ya mapokezi ya Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akipiga picha na wadau mbalimbali wakati wa hafla ya mapokezi ya Mtambo wa Kisasa kuchimba visima virefu vya maji Mkoani Shinyanga.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna