Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

e-GA YAZIUNGANISHA OFISI ZOTE ZA SERIKALI ZINAHUSIKA NA UKUSANYAJI MAPATO

Written by Alex Sonna

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka  ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Februari 23,2023 jijini Dodoma  wakati akitoa taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka hiyo.

Na.Alex Sonna-DODOMA

KUTOKANA  na kuwepo kwa mifumo mingi ya ukusanyaji kodi na taarifa za serikali katika mfumo wa kifedha nakusababisha upotevu wa mapato, Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imeziunganisha ofisi zote za serikali zinazohusika na ukusanyaji wa mapato ili kuona mlolongo wa shughuli za makusanyo zinazofanywa na kudhibiti mianya yote ya upotevu wa makusanyo hayo.

Hayo yamesemwa leo Februari 23,2023 jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba,wakati  akitoa taarifa ya utekelezaji wa shunghuli mbalimbali za mamlaka hiyo kwa waandishi wa habari.

Mhandisi Ndomba, amesema kuwa  uungwanishaji wa mifumo hiyo ni utekelezaji wa maagizo ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG yakuitaka serikali kuwa na mifumo jumuishi kwa taasisi zake ili kuona mlolongo wa makusanyo na taarifa unavyoenda.

“Mfumo huu umeisadia serikali kuongeza mapato lakini pia kuona kiasi cha fedha ambacho kinakusanywa kila siku kupitia mfumo huu hata muda huu ukitaka kuangalia ni kiasi gani kimeingia unaona moja kwa moja tofauti na ilivyokuwa hapo awali wakati tunatumia vitabu vya stakabadhi”amesema  Mhandisi Ndomba

Hata hivyo amsema  mfumo huo pia unaisadia serikali kutambua ni taasisi gani ambazo zimekuwa zikiongoza kwa ukusanyaji mapato nchini.

“Lakini pia mfumo huu unaisaidia serikali kupata takwimu za kila halmashauri,taasisi na kutambua kuwa ni eneo gani ambalo limekuwa linachangia kwa kiasi kikubwa kwenye pato la taifa”amesisitiza Mhandisi Ndomba

Aidha amesema kuwa katika kuhakikisha wanaijenga Serikali ya Kidijiti, Katika kipindi cha miaka 10 ijayo,itaandaa na kutekeleza mikakati madhubuti ili kuimarisha zaidi utekelezaji wa jitihada za Serikali Mtandao.

Mhandisi .Ndomba ameeleza kuwa mikakati hiyo ni pamoja na kuwa Sehemu moja ambayo huduma mtandao zote zitakuwa zinapatikana,Uwezo wa kutumia teknolojia mpya zinazoibuka, hasa zile za akili bandia, sarafu za kidijiti na teknolojia za kifedha, ili kuwezesha maboresho ya kiutendaji katika Taasisi za Umma na utoaji wa huduma kwa Umma.

“Pia Uzalishaji wa vifaa na miundombinu ya TEHAMA (Hardware) ndani ya Tanzania pamoja na Mifumo na miundombinu ya Serikali mtandao iliyobora na imara zaidi,”amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa amesema mifumo ya ukusanyaji mapato kwa njia ya control naomba imesaidia kuokoa fedha ambazo zamani zilikua zikilipwa kwa njia isiyo ya kimatandao.

About the author

Alex Sonna