Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

CPC YAIANGUKIA SERIKALI USAJILI WA MITANDAO YA KIJAMII YA VILABU VYA WAANDISHI WA HABARI

Written by Alex Sonna
MWENYEKITI wa Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma Bw.Mussa Yusuph,akizungumza wakati wa tamasha la usiku wa Habari Dodoma lililoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma (CPC) lililofanyika jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew,akimkabidhi Tuzo ya Heshima  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe.Rosemary Senyamule iliyotolewa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wake katikka Tasnia ya Habari wakati wa  tamasha la usiku wa Habari Dodoma lililoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma (CPC) .

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew,akizungumza wakati akifungua tamasha la usiku wa Habari Dodoma lililoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma (CPC) na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe.Rosemary Senyamule,Viongozi wa Vyama vya Siasa, waandishi wa Habari wa mkoa huo na wadau mbalimbali wa sekta hiyo lililofanyika jijini Dodoma.
 
SEHEMU ya Waandishi wa habari pamoja na Wadau wakifatilia hotuba ya Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew,wakati akifungua tamasha la usiku wa Habari Dodoma lililoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma (CPC) na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe.Rosemary Senyamule,Viongozi wa Vyama vya Siasa, waandishi wa Habari wa mkoa huo na wadau mbalimbali wa sekta hiyo lililofanyika jijini Dodoma.

MKUU  wa Mkoa wa Dodoma, Mhe.Rosemary Senyamule,akizungumza wakati wa tamasha la usiku wa Habari Dodoma lililoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma (CPC) lililofanyika jijini Dodoma.

 

 

MWENYEKITI wa Kamati  ya Maandalizi Bi.Sakina Abdulmasoud,akielezea lengo la tamasha hilo wakati wa tamasha la usiku wa Habari Dodoma lililoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma (CPC) lililofanyika jijini Dodoma.

MKURUGENZI Mtendaji wa WazoHuru Media Bw.Mathias Canal,akizungumza wakati wa tamasha la usiku wa Habari Dodoma lililoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma (CPC) lililofanyika jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew,akiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma mara baada ya kufungua  tamasha la usiku wa Habari Dodoma lililoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Dodoma (CPC) na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe.Rosemary Senyamule,Viongozi wa Vyama vya Siasa, waandishi wa Habari wa mkoa huo na wadau mbalimbali wa sekta hiyo lililofanyika jijini Dodoma.

PICHA ZOTE NA ALEX SONNA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dodoma(CPC), imeiomba serikali kuondoa malipo ya usajili wa mitandao ya kijamii inayomilikiwa na vilabu vya waandishi wa habari kwa kuwa haiendeshwi kibiashara bali inatoa huduma za kuhabarisha jamii.

Mwenyekiti wa CPC, Mussa Yusuph ametoa ombi hilo alipokuwa akisoma risala ya klabu hiyo kwa Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew kwenye hafla ya usiku wa waandishi wa habari mkoani Dodoma iliyoandaliwa na CPC kwa udhamini wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA), Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi ya Wazo Huru.

Aidha, amesema kwa niaba ya vilabu 28 vya waandishi wa habari nchini, wanaomba serikali kutoa msamaha wa malipo ya blog za vilabu nchini kutokana na mitandao hiyo haiendeshwi kibiashara bali inatoa huduma za kuhabarisha umma.

“Blog hizi hazifanyi biashara hivyo kwa mara kadhaa tumeshindwa kulipia TCRA hivyo tunaomba zipewe msamaha ili ziendelee kuhabarisha umma,”amesema.

Aidha, amewaomba wadau kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili ikiwamo uhaba wa vitendea kazi na ujenzi wa ofisi ili kubeba idadi kubwa ya wanachama.

“Ofisi yetu kwa sasa imekuwa ndogo hivyo kushindwa kukidhi kubeba idadi kubwa ya wanachama kwa wakati mmoja, pia tuna changamoto kubwa ya thamani za ofisi hivyo tunapata changamoto kubwa pindi waandishi wengi wanapohitaji kutumia ofisi kwa wakati mmoja.”

“Uhaba wa vitendea kazi kwa wanachama hasa kipindi ambacho Mkoa unakuwa na shughuli nyingi na kubwa kama vikao vya Bunge na mikutano ya kitaifa, vifaa hivyo ni Kamera na Kompyuta,”amesema.

Akizungumza kwenye hafla hiyo, Naibu Waziri Kundo ameahidi kutembelea ofisi za klabu hiyo na kuangalia namna ya kusaidia kutatua changamoto zilizobainishwa.

“Nipongeze klabu ya Dodoma kwa hatua hii kubwa ya kuwa na blog, nipongeze pia kwa kuwa na Ofisi napenda niwahakikishie serikali itaendelea kuwa pamoja nanyi hasa ikizingatiwa serikali imehamia Dodoma, Wizara pamoja na wadau tutaendelea kutatua changamoto za sekta ya habari,”amesema.

Hata hivyo, amesema Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuboresha mazingira ya waandishi wa habari na kuweka misingi ya kisheria ili kupata taarifa.

“Katika gharama ya usajili wa blogs Rais aliagizwa zipitiwe upya na zikapitiwa na tutaendelea kufanya mapitio ili kufikia hatua ambayo kweli itasaidia wanahabari,”amesema.

About the author

Alex Sonna