Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

AMCOS MBOZI KUCHUNGUZWA-MAJALIWA

Written by Alex Sonna
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Momba akiwa katika ziara ya Mkoa wa Songwe, Februari 14, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi ya  Halmashauri ya Wilaya ya Momba lililopo Chitete mkoani Songwe, Februari  14, 2023. Kulia wake ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, Regina Bieda (kulia) kuhusu ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya hiyo akiwa katika ziara ya Mkoa wa Songwe, Februari 14 2023. kuil ni Mbunge wa Mamba, Condesta Schalwe. (PIcha na Ofisi ya Wairi Mkuu)

 Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Momba, eneo la Chitete mkoani Songwe ambayo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliweka jiwe la msingi la ujenzi hou, Februari 14, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itafanya uchunguzi kwa vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS) wilayani mbozi mkoani Songwe na watakaobainika kuhusika na ubadhirifu wowote watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

Mheshimiwa Majaliwa ametoa kauli hiyo baada ya Mbunge wa jimbo la Mbozi, George Mwanisongole kuzilalamikia AMCOS za wilaya hiyo kuwanyonya wakulima wa kahawa na hivyo kuwafanya wauchukie ushirika.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo (Jumanne, Februari 14, 2023) wakati akizungumza na wananchi katika eneo la Mlowo wilayani Mbozi akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Songwe ya kukagua miradi ya maendeleo na mafanikio ambayo Serikali ya awamu ya sita imeyapata katika kipindi cha miaka miwili.

“Ushirika ni muhimu kwa maendeleo ya wakulima lakini wanahitajika wanaushirika waaminifu, hivyo tutakuja kufanya uchunguzi wa mwenendo wa AMCOS za Mbozi ili kubaini wabadhirifu na kuwachukulia hatua. Pia tutachunguza makato wanayokatwa.”

Kwa upande wake, Mbunge wa Mbozi, Mwanisongole ametumia fursa hiyo kuishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia takribani shilingi bilioni 10 kupelekwa katika jimbo hilo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha miaka miwili.

Amesema miongoni mwa miradi hiyo ni ya maji yenye thamani ya shilingi bilioni 5.3, miradi ya elimu ikiwemo ujenzi wa shule mbili pamoja na vyumba vya madarasa shilingi bilioni tatu pamoja na shilingi bilioni 1.65 zilizotumika kwa ajili ya miradi ya sekta ya afya ikiwemo ujenzi wa kituo cha afya, zahanati na jengo la mama na mtoto (Itaka).

Pia, mbunge huyo amemshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia kwa kuridhia shilingi bilioni 150 kwenye ruzuku ya mbolea ambayo imekuwa mkombozi kwa wakulima ambao awali walikuwa wanauziwa mfuko mmoja wa mbolea kwa shilingi 130,000 na baada ya ruzuku bei imeshuka na sasa wananunua kwa shilingi 70,000.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba ahakikishe anawasimamia viongozi wa wilaya ya Momba akiwemo mkuu wa wilaya hiyo wahamie katika kituo chao cha kazi badala ya kukaa Tunduma.

Waziri Mkuu amesema lengo la Serikali la kuwapeleka watendaji wilayani humo ni kusogeza huduma za jamii karibu na makazi ya wananchi, hivyo ni vema wakaishi katika vituo vyao vya kazi ili kutimiza lengo hilo.

“Watumishi wa Momba wanaoishi Tunduma wahamie hapa, kila mmoja awajibike kwa nafasi yake. Mmeletwa Momba wahudumieni wana-Momba na haya ndio matarajio ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia na siyo kuishi Tunduma halafu kazi mnafanya Momba.

Ametoa agizo hilo baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi jengo la utawala la halmashauri ya wilaya ya Momba linalojengwa katika kata ya Chitete kijiji cha Tindingoma kwa gharama ya shilingi bilioni 2.7.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godfrey Mollel amesema Serikali imepeleka shilingi bilioni 47 mkoani Songwe kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya sekta ya afya ikiwemo ujenzi wa hospitali ya mkoa, hospitali za halmashauri zikiwemo shilingi bilioni 3.7 zilizopelekwa wilayani Momba.

About the author

Alex Sonna