Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA AWASHUSHA NDOO KICHWANI WANAWAKE WA MVOMERO.

Written by Alex Sonna
NA FARIDA MANGUBE MOVERMOR, MOROGORO.
Wananchi zaidi ya 2000 wa Kata ya Lubungo na Mingo Wilayani Mvomero Mkoa wa Morogoro  wameondokana na adha kutembea zaidi kilometa 10 kufuata maji kwenye mito na mabwawa ambayo walikuwa wakichangia wanyama wakari (Tembo) hali iliyokuwa ikitarisha maisha yao baada ya kukamilika kwa mradi wa maji wa Lubungo.
Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata ya Lubungo Hamidu Zuberi kwenye ufunguzi wa Mradi wa maji wa Lubungo ulioghalimu zaidi milioni 400 fedha zilizotolewa na Mfuko wa Maji (NWF) na  kutekelezwa  na RUWASA.
 Alisema utekelezwaji wa  Mradi huo umeenda kumshusha Mama ndoo kichwani kwa sasa wananchi wachangii tena maji na Tembo kama hapo awali na kwamba wameshapoteza wapendwa wao 4 na wengine kupata ulemavu wakati wakienda kwenye mito na mabwawa.
“Nimshukuru sana Mama yetu Mhe. Dk. Samia Saluhu Hassani kwa fedha hizi za mradi wa maji kata ya Lubungo kiukweli Mama ametuheshimisha mimi pamoja na Mbunge wangu Mhe. Ze land sasa tunapita kifua mbele.” Alisema Diwani. 
Akizungumza kwenye mkutano wa adhara na wananchi wa Kata ya Lubungo Waziri wa Maji Jumaa Uweso aliwahakikishia wananchi wa Wilaya ya Mvomero na Mkoa wa Mrogoro kwa ujumla kuwa Serikali ya awamu ya sita kupitia Wizara ya maji itahakikisha kila mwananchi anapata maji safi na salama.
Aidha aliwataka wananchi walio karibu na maradi wa maji kuulinda na kuutunza ili waendelee kupata huduma ya maji safi na salama kila wakati kwani serikali inatumia fedha nyingi katika kutekeleza miradi hiyo ili wananchi waweze kupata maji.
Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mvomero Mhandisi Sospeter Lutonja alisema mradi huo unatekelezwa na Mkandarasi CHAKWELE CO.LTD ambapo utekelezwaji wake ulianza 04.10 2018 na kukamilika rasmi 22.11.2021 na kuhudumia wananchi 2016.
Alisema  mradi umegharimu milioni 417,078,804.52 na mpaka sasa mkandarasi amelipwa kiasi cha shilingi 406,460,795.18 na tayari chombo cha watumia maji ngazi ya jamii kimeshaundwa kwa mujibu wa sheria ya maji safi na usafi wa mazingira Na. 5 ya mwaka 2019 lengo ni kuulinda mradi hu.
Utekelezaji waMaradi huo ulijumuisha ujenzi wa Tanki la maji ujazo wa 90,000, mnara wa mita 6, ununuzi na ulazaji wa mabomba umbali wa mita 4020, ujenzi wa vituo 16 vya kuchotea maji pamoja na ununuzi na ufungaji wa mitambo ya nishati ya jua 9KW.
Awali akisoma taarifa ya mradi wa Maji wa Homboza kwa Waziri Aweso Mhandisi Lutonja alisema mradi huo unatarijiwa kuwanufaisha wakazi 25,027 wa Vijiji vya Tandali, Homboza, Pekomisegese , Mlali, Kipera, umegharimu, Kinyenze, Mkuyuni, Lukuyu na Chehelo ambao umegharimu bil. 2, 945,684,663.33 bila ya VAT na mpaka kufika 5.12 2022 mkandarasi ilishalipwa 781,020,314.62.
Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Mvomero Jonas Van Zeeland alimshukuru Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Dk Samia Suluhu Hassani kwa kuwatua wanawake wa Jimbo la Mvomero ndoo kichwani kwani moja ya kero kubwa ilikuwa ni maji na sasa imekwisha kabisa.

About the author

Alex Sonna