Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Balozi wa Cuba nchini Tanzania Komredi Yordenis Despaigne Vera (kushoto) leo Novemba 2, 2022 katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimkabidhi zawadi ya kinyago cha Umoja Balozi wa Cuba nchini Tanzania Komredi Yordenis Despaigne Vera (kushoto) leo Novemba 2, 2022 mara baada ya kumaliza mazungumzo katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimkabidhi zawadi ya Vitabu Balozi wa Cuba nchini Tanzania Komredi Yordenis Despaigne Vera (kushoto) leo Novemba 2, 2022 mara baada ya kumaliza mazungumzo katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.