marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

parmabet giriş

jojobet

betasus giriş

kingroyal giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

celtabet giriş

Featured Kitaifa

TAKUKURU YAWATAKA WANANCHI KUFICHUA RUSHWA MIRADI IWE NA THAMANI HALISI

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Bw. Donasian Kessy akitoa taarifa ya utekelezaji wa kazi zilizotekelezwa na TAKUKURU kwa kipindi cha robo ya nne ya Mwaka wa fedha 2021/2022.
 
 
Na Stela Paul – Shinyanga
 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga imewataka wananchi kutofumbia macho vitendo vya rushwa kwa kutoa taarifa kama wataona kuna vitendo vyovyote vinavyoashiria ubadhilifu wa miradi ya maendeleo.
 
Rai hiyo imetolewa leo Jumatano Agosti 10,2022 na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Bw. Donasian Kessy wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa kazi zilizotekelezwa na TAKUKURU kwa kipindi cha robo ya nne ya Mwaka wa fedha 2021/2022.
 
Amesema wananchi wanatakiwa kutoa ushirikiano kwa serikali ili kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa inakamilika kwa ubora huku akibainisha kuwa wamejipanga kukamilisha majukumu yao kwa kujielekeza zaidi kwenye ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha inatekelezwa kwa thamani halisi ya fedha inayotolewa.
 
 
“TAKUKURU inaendelea kutoa wito kwa wananchi wote wa Mkoa wa Shinyanga kutoa ushirikiano kwa serikali yao, kuhakikisha miradi yote inayoendelea katika Mkoa wetu inakamilika kwa ubora, kama wataona kuna vitendo vyovyote ambavyo vinaashiria ubadhilifu wa miradi hiyo watoe taarifa”, Kessy amesema.
 
 
Amesema katika kipindi cha Aprili – Juni,2022 Dawati la Uchunguzi lilipokea taarifa 29 za malalamiko lakini taarifa 23 zilihusu rushwa kutoka sekta mbalimbali ambapo mpaka sasa taarifa tano zimekamilisha uchunguzi.
 
 
“Kwa upande wa Dawati la Uchunguzi, tumepokea taarifa 29 za malalamiko, ambapo taarifa zinazohusu rushwa zilikuwa 23 na zisizohusu rushwa zilikuwa 6.Taarifa zinazohusu rushwa zilihusisha sekta zifuatazo: serikali za mitaa (8), ujenzi (6), polisi (3), maji (2), elimu (2) na biashara (1)”, amesema Kessy.
 
 
“Kesi zinazoendelea mahakamani ni 7 kati ya hizo kesi mpya ni 3 na katika kipindi hicho cha Aprili – Juni, kesi 10 ziliamuliwa mahakamani na kesi 7 zilishinda kwa watuhumiwa kutiwa hatiani na kati ya kesi hizo mtuhumiwa mmoja alihukumiwa kwenda jela miaka mitatu.

About the author

Alex Sonna