Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AIPONGEZA GGML KWA KUWEZESHA WAHANDISI WANAWAKE NCHINI

Written by Alex Sonna

 

Mgeni rasmi katika Mkutano na Maonesho ya Saba ya Wahandisi Wanawake Tanzania (TAWECE), Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikabidhi Cheti cha Shukrani kwa Makamu wa Rais wa Kampuni ya AngloGold Ashanti anayeshughulikia miradi endelevu Tanzania na Ghana, Simon Shayo. Shayo alipokea cheti hicho kwa niaba ya menejimenti ya kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited, waliopata tuzo hiyo kutokana na mchango wao kwa mwaka huu kwenye mkutano huouliofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

………………………………………….

Na Mwandishi Wetu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inatambua mchango wa wahandisi wanawake nchini hivyo wajiandae kwa fursa na ajira mbalimbali zitakazotokana na miundombinu inayojengwa kwa wingi na Serikali.

Majaliwa ametoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika Kongamano la Saba la Wahandisi Wanawake Tanzania (TAWECE), lililokuwa limeandaliwa na Taasisi ya Wahandisi Tanzania – Kitengo cha Wanawake na kudhaminiwa na Kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited, kama mdhamini mkuu.

Kongamano hilo kwa mwaka huu liliongozwa na kauli Mbiu isemayo: Uajirikaji, Uongozi na Ubunifu kwa Wahandisi Wanawake Tanzania.

Majaliwa alisema, “Mpaka sasa, Tanzania tuna jumla ya wahandisi 30,921 ambapo wanawake ni 3,912 sawa na asilimia 12.  Serikali imefanya uamuzi wa kujenga shule za ufundi wa kisayansi za wanawake katika kila mkoa ili kuongeza wanawake katika tasnia ya uhandisi.

Aliongeza kuwa Serikali inajenga miundombinu wezeshi kuhudumia Watanzania hivyo wahandisi wanawake wajiandae kwani fursa zipo na milango ya ajira iko wazi.

“Wanawake mnaweza na wanawake wahandisi mnaweza zaidi! Nilipata fursa ya kutembelea Daraja la Tanzanite, ambapo mhandisi aliyetoa maelezo mwanzo mpaka mwisho alikuwa mwanamke. Mji wa Serikali Dodoma, mhandisi anayesimamia ujenzi wa mradi huo unaoendeshwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ni mwanamke. Mifano ipo mingi,” alisema.

Mbali na kuwapongeza wahandisi hao wanawake kwa ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kisarawe, alisema bado idadi ya wahandisi hairidhishi hivyo jitihada zaidi zinahitajika kuhamasisha wasichana wengi wasome masomo ya sayansi.

Akizungumza katika kongamano hilo, Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya alisema uhandisi kwa wanawake utaongezeka na kuimarika iwapo wahandisi wanawake wataendelea kushirikiana kuwahamasisha wenzao kujiunga kwenye uhandisi.

Naye mwenyekiti wa kitengo cha wahandisi wanawake Tanzania, Mhandisi Upendo Haule alisema wanawake ni viongozi mahiri na makini wakipewa fursa. “Tunaomba serikali iendelee kuwapa fursa wahandisi wanawake ili waendelee kuliwakilisha vyema taifa la Tanzania,” alisema Mhandisi Haule.

Baadhi ya wahandisi wanawake kutoka idara mbalimbali kwenye kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited pia walihudhuria Kongamano hilo na kubainisha kuwa wanawake ni viongozi mahiri na makini wakipewa fursa.

 Zuhura Khamis, mhandisi wa mifumo ya kampuni  aliyehudhuria hafla hiyo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, alisema ni jambo la kufurahisha kukutana na wahandisi wanawake wengi wenye vipaji.

 Khamis alitaja kuwa mapenzi yake ya somo la hisabati, utatuzi wa matatizo na msukumo kutoka kwa mwalimu wake wa hisabati wa shule ya msingi ndiyo yaliyomjengea msingi wa taaluma yake kama mhandisi wa programu.

 Akizungumzia kizazi kijacho cha wahandisi wanawake, Khamis alisema “Ukiwa na malengo, inawezekana kabisa … Wasichana wasiogope kuwa wahandisi, inawezekana.”

Katika kongamano hilo Waziri Mkuu alikabidhi cheti cha shukrani kwa Makamu wa Rais wa Kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited, Simon Shayo na kuipongeza Kampuni hiyo kwa kwa juhudi zake za kuwezesha ustawi wa wahandisi wanawake nchini Tanzania, ikiwemo kudhamini kongamano kama mdhamini mkuu.

About the author

Alex Sonna