marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

milanobet

grandpashabet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

alobet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

ngsbahis

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

casibom giriş

jojobet

bets10

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

casibom

kralbet

en iyi slot siteleri

casinoroyal

bets10 güncel giriş adresi

Featured Kitaifa

SHILINGI BILIONI 38 KUREKEBISHA HALI YA UMEME URAMBO

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nishati,  Mhe.January Makamba akisalimiana na wananchi baada ya kufika katika Kijiji cha Uhuru wilayani Urambo, ili  kukagua kazi za awali zinazoendelea katika mradi wa ujenzi kituo cha kupoza umeme ambacho kukamilika kwake kutaimarisha hali ya umeme wilayani humo.

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza na wananchi katika Kata ya Ifucha katika Manispaa ya Tabora ambapo aliwaahidi kuwa kazi ya kupeleka umeme kwenye Kata hiyo itaanza tarehe 25 Agosti, 2022 na mkandarasi ameshapatikana ambaye ni kampuni ya Ceylex.

…………………………………….

Waziri wa Nishati,Mhe. January Makamba ameeleza kuwa, Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 38 kwa ajili ya ujenzi wa  kituo cha kupoza umeme  wilayani Urambo Mkoa wa Tabora pamoja na njia ya kusafirisha umeme ya kV 132 kutoka Tabora hadi wilayani humo ili  kuifanya  wilaya hiyo  kuwa na umeme wa uhakika na unaotosheleza mahitaji.

Waziri wa Nishati, alisema hayo   baada ya kufika katika Kijiji cha Uhuru wilayani Urambo, ili  kukagua kazi za awali zinazoendelea katika eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kupoza umeme.

“Mkoa wa Tabora ulipata umeme miaka ya 1980  baada ya kujenga kituo cha Ibadakuli mkoani Shinyanga lakini watu wanaongezeka, shughuli zinaongezeka na umeme sasa hautoshelezi mahitaji mapya. Urambo pia ilikuwa ikipata umeme huo kwa umbali mrefu hali iliyofanya umeme kuja ukiwa mdogo na unaokatika mara kwa mara.” Alisema Makamba

Alieleza kuwa, hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali ili kurekebisha hali hiyo ni pamoja na kufupisha urefu wa nyaya ili likitokea tatizo popote lisiathiri eneo kubwa na pia kuongeza unene wa nyaya hadi kufikia milimita 100 toka milimita 25 ambapo shilingi milioni 509  zilitumika kwa kazi ya ubadilishaji wa nyaya hizo kwa urefu wa kilometa 54. Hatua hizo za awali zimewezesha hali ya umeme kuimarika tofauti na hapo awali.

Aliongeza kuwa, hatua za kudumu zinazochukuliwa na Serikali ni kujenga kituo cha kupoza umeme cha Uhuru ambacho kitatoa umeme wa uhakika wilayani humo na kwamba ujenzi wa mradi huo utaanza  kutekelezwa mwezi Agosti 2022 na kukamilika mwaka 2023.

Kuhusu fidia ya wananchi waliotoa maeneo ili kutekeleza mradi huo alisema kwamba, fedha zimeshatengwa kiasi cha shilingi bilioni  4.3 ili kulipa fidia wananchi hao na kwamba malipo yataanza kufanyika baada ya siku 25.

Katika hatua nyingine, Waziri wa Nishati, January Makamba amesisitiza kuwa, Serikali haitaacha kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwani ni takwa la Sera ya Nishati ya mwaka 2015 ambayo inaeleza kuwa, Serikali itahakikisha  kila mtanzania anapata nishati safi na salama ya kupikia ambayo anaweza kuhimili bei yake.

“Kama Wizara tumeamua tutoe msukumo mkubwa kwenye nishati safi ya kupikia, mwisho wa mwaka huu tutatengeneza mpango mkakati mkubwa wa kitaifa wa kuanza safari ya kuwawezesha watanzania, hasa kina mama vijijini  kuondokana na adha kubwa na hatari kwa afya zao kutokana na wanavyopika kwa kutumia kuni na mkaa.” Alisema Makamba

Aliongeza kuwa, “Watu 22 elfu  wanakufa kwa mwaka kutokana na mfumo wa hewa kuathirika kwa sababu ya moshi ambao una sumu, suala hili tumeamua kulibeba kwa nguvu kubwa ili watanzania wote hasa kina mama, maisha yao yawe bora zaidi.”

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Dkt. Balozi Batilda Buriani alipongeza Wizara ya Nishati kwa kuanza kutekeleza mradi huo wa uhamasishaji wa nishati safi ya kupikia na kueleza kuwa suala hilo litapelekea kina mama kuondokana na adha ya moshi na pia kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya utengenezaji wa mkaa.

Akiwa mkoani Tabora, Waziri Makamba pia alifika katika kata ya Ifucha katika Manispaa ya Tabora na wananchi wa eneo hilo walimweleza kuhusu kero ya kutokuwa na umeme ambapo Waziri wa Nishati aliwaahidi kuwa kazi ya kupeleka umeme kwenye Kata hiyo itaanza tarehe 25 Agosti, 2022 na mkandarasi ameshapatikana ambaye ni kampuni ya Ceylex.

Waziri Makamba anaendelea na ziara katika mikoa mbalimbali nchini akiwa na malengo ya kusikiliza maoni, kero za wananchi na kuzitatua, kukagua miradi ya nishati pamoja na kuhamasisha matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia.

About the author

Alex Sonna