Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

WATHIBITI UBORA WA SHULE NCHINI WATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELZAJI WA MIRADI YA ELIMU

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Eliamani Sedoyeka,akizungumza  wakati wa kufunga kikao kazi cha Viongozi, Maafisa Uthibiti Ubora wa Shule Makao Makuu na Wathibiti Ubora wa Shule Kanda na Wilaya Tanzania Bara kilichofanyika jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi Uthibiti Ubora upande wa Ualimu, Mathias Mvula,akielezea waliyojifunza katika kikao hicho  wakati wa kufunga kikao kazi cha Viongozi, Maafisa Uthibiti Ubora wa Shule Makao Makuu na Wathibiti Ubora wa Shule Kanda na Wilaya Tanzania Bara kilichofanyika jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Eliamani Sedoyeka (hayupo pichani)  wakati wa kufunga kikao kazi cha Viongozi, Maafisa Uthibiti Ubora wa Shule Makao Makuu na Wathibiti Ubora wa Shule Kanda na Wilaya Tanzania Bara kilichofanyika jijini Dodoma.

Mthibiti Mkuu wa ubora wa Shule Halmashauri Chemba Bw. Amon Lembao,akitoa neno la shukrani kwa niaba ya washiriki mara baada ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Eliamani Sedoyeka,kufunga kikao kazi cha Viongozi, Maafisa Uthibiti Ubora wa Shule Makao Makuu na Wathibiti Ubora wa Shule Kanda na Wilaya Tanzania Bara kilichofanyika jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Eliamani Sedoyeka,akiwa katika picha ya pamoja mara baada kufunga kikao kazi cha Viongozi, Maafisa Uthibiti Ubora wa Shule Makao Makuu na Wathibiti Ubora wa Shule Kanda na Wilaya Tanzania Bara kilichofanyika jijini Dodoma.

………………………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Eliamani Sedoyeka amewataka Wathibiti Ubora wa Shule nchini kufuatilia na kusimamia uwajibikaji wa Wakuu wa Shule kwenye fedha za miradi ya ujenzi wa shule zilizopelekwa na Serikali katika maeneo yao.

Amesema hayo Jijini Dodoma wakati wa kufunga kikao kazi cha Viongozi, Maafisa Uthibiti Ubora wa Shule Makao Makuu na Wathibiti Ubora wa Shule Kanda na Wilaya Tanzania Bara.

Amesema kuna ujenzi wa miundombinu ya shule unaendelea ikiwemo kupitia Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) ambapo amewataka kuhakikisha wanashiriki usimamizi wake na kutoa ushauri katika kuzingatia vigezo vya ubora vinavyohitajika kulingana na miongozo na Sera.

Aidha, amesema Serikali inaangalia uwezekano wa kuongeza majukumu Wathibiti Ubora kwa kuongeza eneo la Uthibiti na ufuatiliaji kwa Vyuo vya Kati na Ufundi (VETA) ambavyo vinatarajiwa kuwepo katika kila Wilaya ifikapo mwaka 2025.

Amesema wathibiti ubora wa shule wanaweza kuisaidia Serikali katika kuhakikisha elimu bora yenye kuwasaidia vijana kupata maarifa, stadi na ujuzi inapatikana kwa kukagua vyema shule na vyuo vya ualimu.

Sedoyeka ameongeza kuwa Serikali imewekeza kwa kiwango kikubwa katika idara hiyo ikitambua kuwa wathibiti ubora ni mboni ya jicho ya elimu na amewahimiza wakasimamie ubora wa elimu kwa kuwa matokeo ya uthibiti ubora ni kuwepo kwa elimu bora huku akisisitiza suala la kuzingatia matumizi ya TEHAMAkatika utendaji.

“Ni wakati muafaka kufikiria ni namna gani mnaweza kuzifikia shule hata bila kufika physically ili kufanya ufuatiliaji,” amesema Prof. Sedoyeka.

Kwa upande, Mkurugenzi Msaidizi Uthibiti Ubora upande wa Ualimu, Mathias Mvula,amesema kuwa kikao hicho kimekuwa na tija kwa kuwa wamepata fursa ya kufanya tafakari ya pamoja kuona yale waliyoyapanga kama yametekelezeka na kupanga mikakati ya utendaji ili kuongeza ufanisi.

Awali Mthibiti Mkuu wa ubora wa Shule Halmashauri Chemba Bw. Amon Lembao,kwa niaba ya washiriki  amemshukuru Katibu Mkuu Sedoyeka kwa kuwezesha kikao hicho kwa kuwa mada zilizotolewa zimewapatia mahiri mbalimbali zitakazokwenda kuwasaidia katika utendaji.

About the author

Alex Sonna