
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akiweka udongo kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Mhagama, aliposhiriki Mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Ruanda Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Desemba 16, 2025. Mazishi yaliongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi (Picha na Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi aliposhiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Mhagama, katika Kijiji cha Ruanda Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Desemba 16, 2025. (Picha na Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akizungumza na waombolezaji aliposhiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Mhagama, katika Kijiji cha Ruanda Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Desemba 16, 2025. Mazishi yaliongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi (Picha na Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu)