Featured Kitaifa

WAZIRI WA FEDHA MHE. BALOZI OMAR AIAGIZA NIC KUANDAA MIKAKATI ILI KUENDANA NA MALENGO YA MUDA MREFU YA NCHI

Written by Alex Sonna
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa kikao na Uongozi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika ukumbi wa mikutano wa Waziri wa Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali kuhusu fursa za kuendelea kukuza uchumi wa nchi.
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa kikao na Uongozi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika ukumbi wa mikutano wa Waziri wa Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali kuhusu fursa za kuendelea kukuza uchumi wa nchi.
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge, aliyekuwa akitoa maelezo ya Shirika hilo, walipomtembelea ofisi kwake Treasury Square, jijini Dodoma, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali kuhusu fursa za kuendelea kukuza uchumi wa nchi.
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiongoza kikao kati yake na Uongozi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), ambapo walijadiliana masuala mbalimbali kuhusu fursa za kuendelea kukuza uchumi wa nchi kupitia sekta ya bima, Treasury Square, jijini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Huduma za Sheria, Wizara ya Fedha, Bi. Mwantum Sultan, akifafanua jambo wakati wa kikao cha Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (hayupo pichani) na Uongozi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Waziri wa Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge, baada ya kukutana na kujadili masuala mbalimbali kuhusu fursa za kuendelea kukuza uchumi wa nchi kupitia sekta ya bima, Treasury Square, jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (wa tatu kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge, (wa pili kushoto), Mkugenzi wa Huduma za Sheria NIC, Bi. Asma Suleiman Mohamed (kushoto), Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Huduma za Sheria, Wizara ya Fedha, Bi. Mwantum Sultan (kulia), na maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kikao chao kilichojadili masuala mbalimbali kuhusu fursa za kuendelea kukuza uchumi wa nchi kupitia sekta ya fedha, Treasury Square, jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma)

About the author

Alex Sonna