Featured Kitaifa

DKT.MSEMWA,DKT.AFUA WAIMARISHA USHIRIKIANO WA MIPANGO BARA NA ZANZIBAR

Written by Alex Sonna

 

Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango (NPC), Dkt. Fred Msemwa (Kushoto) akiwa katika mazungumzo na Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango ya Zanzibar, Dkt. Afua Khalfan Mohamed (Katikati) alipotembelea ofisi hizo Zanzibar leo ( 6.1.2025). Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasimali Watu, Bi.Maryam Ukki.

About the author

Alex Sonna