marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

LUSWETULA: SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA UFANYAJI BIASHARA NCHINI

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akizungumza jambo wakati alipofanya Mkutano na Jumuiya ya Wafanyabiashara na wajasiriamali mjini Mpanda Mkoani Katavi, ambapo aliwahakikishia kuwa Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya uwekezaji na ufanyaji biashara ili kukuza biashara zao.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, Mkoa wa Katavi, Bw. Nicholaus Migera akitoa ufafanuzi wa masuala kadhaa ya kikodi wakati wa mkutano wa Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb) na Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali mjini Mpanda Mkoani Katavi, ambapo Mhe. Luswetula aliwahakikishia wafanyabiashara hao kuwa Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya uwekezaji na ufanyaji biashara ili kukuza biashara zao. 

Baadhi ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali wakifualitia hotuba ya Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb) (hayupo pichani), wakati alipokutana na kufanya Mkutano na Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali mjini Mpanda Mkoani Katavi, ambapo Mhe. Luswetula aliwahakikishia wafanyabiashara hao kuwa Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya uwekezaji na ufanyaji biashara ili kukuza biashara zao.

Baadhi ya Wafanyabiashara wakitoa maoni wakati wa Mkutano na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb) (hayupo pichani), na Jumuiya ya Wafanyabiashara mjini Mpanda Mkoani Katavi, ambapo Mhe. Luswetula aliwahakikishia wafanyabiashara hao kuwa Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya uwekezaji na ufanyaji biashara ili kukuza biashara zao.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Katavi)

Na Benny Mwaipaja, Mpanda

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), ameihakikishia jumuiya ya wafanya biashara na wajasiriamali nchini kwamba Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya uwekezaji na ufanyaji biashara ili kukuza biashara zao.

Mhe. Luswetula ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na jumuiya ya wafanyabiashara mjini Mpanda mkoani Katavi ambapo amesisitiza kuwa hatua hiyo imelenga kuongeza tija katika biashara na mapato ya Serikali kwa ujumla Kupitia ulipaji kodi.

Alisema kuwa Serikali inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefanya kazi kubwa ya kusisimua biashara na kuagiza ulipaji kodi usio wa tumia nguvu hatua iliyosababisha mapato yatokanayo na kodi kuongezeka kwa kiwango kikubwa.

“Tumemsikia Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, Bw. Yusuph Mwenda akiutangazia umma kuhusu mafanikio waliyoyapata ya kukusanya kodi ambapo kwa mwezi Desemba peke yake. TRA imekusanya zaidi ya shilingi trilioni 4.13, rekodi ambayo hajawahi kutokea tangu nchi ipate uhuru” alisema Mhe. Luswetula

Aidha, aliwataka wafanyabishara kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwaletea maendeleo wananchi kwa kulipa kodi kwa hiari, kwani fedha hizo hutumika kutekeleza miradi mbalimbali ya kiuchumi na kijamii ikiwemo barabara, elimu, afya, maji, nishati, miundombinu ya reli na miradi mingine.

Akizungumza kwa niaba ya wafanyabiashara wa mkoa wa Katavi, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Bw. Amani Mahela, iliishukuru Serikali kwa kuweka mazingira mazuri ya ufanyaji biashara na ulipaji kodi na kushauri hatua zaidi ziendelee kuchukuliwa ili kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa ufanisi ikiwemo kusamehe madai ya kodi ya miaka mitano iliyopita.

Alisema kuwa ulipaji wa kodi kwa hiari unatokana na wadau kuona matunda ya kodi husika kutumika katika ujenzi wa miradi ya kimkakati ya kuboresha huduma za jamii na kiuchumi na kusisitiza kuwa ili kufanikisha zaidi matokeo ya ulipaji kodi ni muhimu Serikali iongeze idadi ama wigo wa walipa kodi ili angalau ilingane na idadi ya watu milioni 62 waliopo hivi sasa.

About the author

Alex Sonna