marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

marsbahis

kavbet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

wbahis

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

grandpashabet

marsbahis

restbet

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet

kulisbet, kulisbet giriş

betkare, betkare giris

betparibu

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

onlybet giriş

betebet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

Gamdom

grandpashabet giriş

egebet

betsmove

mavibet

egebet

betsmove

tophillbet

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet giriş

Deneme Bonusu

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

sweet bonanza

jojobet güncel giriş

yakabet

marsbahis

vdcasino

aviator

bets10

bets10 giriş

jupiterbahis

sweet bonanza oyna

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA: JENISTA ALIVAA KOFIA NZITO ZA UONGOZI KWA UFANISI MKUBWA

Written by Alex Sonna

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema marehemu Jenista Mhagama alikuwa kiongozi jasiri, mwenye nidhamu na uadilifu wa hali ya juu, ambaye alijitoa kwa dhati kuwatumikia wananchi wa jimbo la Peramiho na taifa kwa ujumla.

Akizungumza leo wakati wa ibada ya kumuaga iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kiwanja cha Ndege, jijini Dodoma, Rais amesema marehemu alikuwa mlezi wa wengi ndani ya Bunge na Serikali, akisimama imara kutetea haki, maendeleo na ustawi wa watu aliowaongoza.
Rais Samia ameeleza kuwa Jenista Mhagama alikuwa nguzo ya matumaini kwa wanawake na vijana, na mfano wa uongozi uliotawaliwa na nidhamu, uadilifu na hofu ya Mungu.
Amesema kupitia ibada hiyo, amepata fursa ya kuyafahamu kwa undani maisha ya kiroho na kidini ya marehemu, tofauti na alivyozoea kumfahamu zaidi kupitia majukumu yake serikalini na ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Marehemu Jenista alikuwa mwalimu kwa taaluma, na alitumia kipawa chake cha ualimu kulea viongozi wengi. Aliwahi kuwa Katibu wa Wabunge wa CCM na Mwenyekiti wa Bunge,” amesema huku akisisitiza;
Wabunge na mawaziri walimheshimu sana, na katika nafasi hizo ametoa mchango mkubwa kwa wabunge, chama na Baraza la Mawaziri,” amesema Rais Samia.
Ameongeza kuwa marehemu alikuwa mtu pekee aliyewahi kuvaa kofia mbili kwa wakati mmoja, yaani Katibu wa Kamati ya Wabunge wa CCM na Mnadhimu wa Serikali Bungeni, na aliweza kuzibeba kwa ufanisi mkubwa.
Rais Samia amesema Jenista Mhagama alikuwa kiongozi asiye na mzaha katika kazi, lakini mcheshi, mtii kwa mamlaka, chama chake na wananchi wake, huku akiwa mnyenyekevu mbele za Mungu.
Amesema alipata fursa ya kufanya kazi chini ya Serikali yake katika nafasi mbalimbali ikiwemo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi wa Umma na Utawala Bora) pamoja na Waziri wa Afya.
“Nilimpa jina la ‘kiraka’ kwa sababu kila nilipomuweka, aliziba vizuri. Alikuwa kiongozi anayejali maslahi ya wengi bila ubaguzi na bila kujali changamoto,” amesema Rais Samia.
Amesema kupitia sauti yake bungeni, vitendo vyake katika jamii na msimamo wake katika uongozi, marehemu ameacha kumbukumbu njema na ameandika hadithi nzuri ya maisha yake ya utumishi.
Rais Samia amewataka wabunge na mawaziri, hususan wale wapya, kufuata nyayo za marehemu kwa kudumisha mshikamano bila kujali tofauti za kisiasa, kufanya mijadala ya kistaarabu inayolinda heshima ya Bunge, na kutimiza wajibu wao kwa uadilifu.
“Safari ya uongozi wa Jenista haikuwa rahisi, lakini aliitendea kwa ujasiri, hekima na heshima. Leo tunapomuaga, tunabaki na kumbukumbu ya tabasamu lake. Tutamkosa sana, kwa sababu tumepoteza mtu muhimu sana kwa taifa letu,” amesema.
Rais Samia ametoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa marehemu, Spika wa Bunge, wananchi wa Mkoa wa Ruvuma na Jimbo la Peramiho, akisema taifa lote lipo pamoja nao katika kipindi hiki kigumu. Ameomba Mwenyezi Mungu awape faraja, nguvu na amani.
“Mdogo wangu Jenista, umetimiza wajibu wako ipasavyo na umepigana vita vilivyokupasa. Mwenyezi Mungu akupe safari ya kheri na ailaze roho yako mahali pema peponi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amina.” ameeleza.

About the author

Alex Sonna