marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

casibom

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

hitbet

tipobet giriş

betist

Featured Kitaifa

MAJALIWA ASHIRIKI SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS HERMINIE WA JAMHURI YA SHELISHELI

Written by Alex Sonna

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameungana na viongozi wa nchi za India, China, Mauritius na Comoro kwenye sherehe za kumuapisha Rais wa Jamhuri ya Shelisheli, Dkt. Patrick Herminie zilizofanyika kwenye Uwanja wa Umoja, jijini Victoria nchini humo.

Waziri Mkuu ambaye amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, alikuwa miongoni mwa viongozi hao wakuu wakiwemo Makamu wa Rais, Mawaziri Wakuu na viongozi wa juu kutoka vyama rafiki vya siasa. Rais Herminie aliapishwa jana (Jumapili, Oktoba 26, 2025) kuwa Rais wa sita wa nchi hiyo.

Viongozi hao ni Makamu wa Rais wa India, Bw. Chandrapuram Ponnusamy Radhakrishnan; Waziri Mkuu wa Mauritius, Dkt. Navinchandra Ramgoolam; Makamu wa Rais wa Chama cha Chinese People’s Political Consultative Conference (CPPCC) Bw. Gao Yunlong na Rais wa Baraza la Mawaziri la Kamisheni ya Bahari ya Hindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Bw. Mohamed Mbae.

Mheshimiwa Waziri Mkuu ameambatana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Cosato Chumi; Balozi wa Tanzania nchini Kenya anayeiwakilisha Jamhuri ya Shelisheli, Dkt. Bernard Kibesse na maafisa waandamizi wa Serikali.

Ushindi wa Rais Herminie, umekiondoa chama kilichokuwa madarakani cha Linyon Demokratik Seselwa (LDS) ambacho kilishinda uchaguzi wa mwaka 2020. Rais Herminie ambaye mwaka huu aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha United Seychelles (US) aliapishwa jana baada ya kupata asilimia 52.7 ya kura zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake, Bw. Wavel Ramkalawan wa chama cha LDS aliyepata asilimia 47.3 ya kura zote kwenye duru ya pili ya uchaguzi uliofanyika Oktoba 11, 2025. Katika duru ya kwanza iliyofanyika Septemba 27, mwaka huu hakuna mgombea urais aliyezidi asilimia 50 ya kura zote baina ya wagombea sita wa urais.

Katika sherehe hizo, Rais Dkt. Herminie alikula kiapo kwanza cha utii kwa wananchi mnamo saa 12.35 jioni na kisha akala kiapo cha urais saa 12.37 na kutia saini hati hizo mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Rony Govinden.

Akilihutubia Taifa hilo mara baada ya kuapishwa, Rais Dkt. Herminie alisema anakubali kupokea dhamana aliyopewa na wananchi wa Shelisheli kwa kuwa anatambua wajibu mkubwa unaotokana na Ilani ya chama chao isemayo: “Kwa ajili ya wengi, na siyo wachache.”

Rais huyo alitumia fursa hiyo kuwaonya wananchi wake kuwa wasitarajie kuwa mambo yote yatafanyika ndani ya siku moja. “Ninaongea kwa dhati kuwa mambo yote hayawezi kukamilika ndani ya siku moja. Lakini kuanzia leo tutaanza kazi, tutayapa kipaumbele masuala yote ya muhimu yanayogusa maisha ya wananchi na kwa msingi huo, Serikali yangu imeanzisha “Siku 100 za Kwanza – Mkataba wa Kijamii na Watu wa Shelisheli.”

Katika hotuba yake iliyodumu kwa dakika 17, Rais Dkt. Herminie aliiomba jumuiya ya kimataifa iungane na nchi hiyo kujenga urafiki na mshikamano. “Tunataka tushirikiane, tukue pamoja, tufanye biashara kwa usawa, tunakaribisha uwekezaji na ubadilishanaji wa maarifa ambao utanufaisha pande zote mbili,” alisisitiza.

Pia Rais Herminie alisisitiza kwamba Serikali yake italibeba kwa dhati suala la vijana na siyo kulizungumzia tu kwenye majukwaa. “Ninyi vijana siyo kwamba mnapaswa kusubiri fursa zijazo, ninyi mpo hapa katikati yetu; ninyi ni viongozi wa kesho. Ninawasihi vijana wa Kishelisheli mjikite kwenye masuala ya ubunifu, sayansi, teknolojia na akili unde kama hamtaki kuachwa kwenye hii dunia inayoenda kwa kasi. Tutaijenga nchi yetu kwa pamoja na hatutaacha vipaji vyenu vipotee wala ndoto zenu zipepee zikiacha nchi yetu tupu,” alisisitiza.

Dkt. Herminie aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Seychelles kuanzia mwaka 2007 hadi 2016 na kabla ya hapo, alikuwa kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni kuanzia mwaka 1998 hadi 2003.

Kabla ya kuondoka uwanjani, Rais Dkt. Herminie alishuhudia nyimbo mbalimbali, mashairi na fashfash ya mafataki iliyodumu kwa zaidi ya dakika 5.

Rais mteule wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie, akila kiapo cha urais wa awamu ya sita wa nchi hiyo mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Rony Govinden, kwenye Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria, Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa jukwaani pamoja na viongozi wengine alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais mteule wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie (wa kwanza kushoto), uliofanyika katika Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Rais wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie, akilihutubia Taifa mara baada ya kuapishwa kua Rais wa sita wa nchi hiyo, kwenye Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria, Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna