marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

porno izle

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

herabet

casibom

Featured Kitaifa

MAJALIWA ASHIRIKI SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS HERMINIE WA JAMHURI YA SHELISHELI

Written by Alex Sonna

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameungana na viongozi wa nchi za India, China, Mauritius na Comoro kwenye sherehe za kumuapisha Rais wa Jamhuri ya Shelisheli, Dkt. Patrick Herminie zilizofanyika kwenye Uwanja wa Umoja, jijini Victoria nchini humo.

Waziri Mkuu ambaye amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, alikuwa miongoni mwa viongozi hao wakuu wakiwemo Makamu wa Rais, Mawaziri Wakuu na viongozi wa juu kutoka vyama rafiki vya siasa. Rais Herminie aliapishwa jana (Jumapili, Oktoba 26, 2025) kuwa Rais wa sita wa nchi hiyo.

Viongozi hao ni Makamu wa Rais wa India, Bw. Chandrapuram Ponnusamy Radhakrishnan; Waziri Mkuu wa Mauritius, Dkt. Navinchandra Ramgoolam; Makamu wa Rais wa Chama cha Chinese People’s Political Consultative Conference (CPPCC) Bw. Gao Yunlong na Rais wa Baraza la Mawaziri la Kamisheni ya Bahari ya Hindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Bw. Mohamed Mbae.

Mheshimiwa Waziri Mkuu ameambatana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Cosato Chumi; Balozi wa Tanzania nchini Kenya anayeiwakilisha Jamhuri ya Shelisheli, Dkt. Bernard Kibesse na maafisa waandamizi wa Serikali.

Ushindi wa Rais Herminie, umekiondoa chama kilichokuwa madarakani cha Linyon Demokratik Seselwa (LDS) ambacho kilishinda uchaguzi wa mwaka 2020. Rais Herminie ambaye mwaka huu aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha United Seychelles (US) aliapishwa jana baada ya kupata asilimia 52.7 ya kura zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake, Bw. Wavel Ramkalawan wa chama cha LDS aliyepata asilimia 47.3 ya kura zote kwenye duru ya pili ya uchaguzi uliofanyika Oktoba 11, 2025. Katika duru ya kwanza iliyofanyika Septemba 27, mwaka huu hakuna mgombea urais aliyezidi asilimia 50 ya kura zote baina ya wagombea sita wa urais.

Katika sherehe hizo, Rais Dkt. Herminie alikula kiapo kwanza cha utii kwa wananchi mnamo saa 12.35 jioni na kisha akala kiapo cha urais saa 12.37 na kutia saini hati hizo mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Rony Govinden.

Akilihutubia Taifa hilo mara baada ya kuapishwa, Rais Dkt. Herminie alisema anakubali kupokea dhamana aliyopewa na wananchi wa Shelisheli kwa kuwa anatambua wajibu mkubwa unaotokana na Ilani ya chama chao isemayo: “Kwa ajili ya wengi, na siyo wachache.”

Rais huyo alitumia fursa hiyo kuwaonya wananchi wake kuwa wasitarajie kuwa mambo yote yatafanyika ndani ya siku moja. “Ninaongea kwa dhati kuwa mambo yote hayawezi kukamilika ndani ya siku moja. Lakini kuanzia leo tutaanza kazi, tutayapa kipaumbele masuala yote ya muhimu yanayogusa maisha ya wananchi na kwa msingi huo, Serikali yangu imeanzisha “Siku 100 za Kwanza – Mkataba wa Kijamii na Watu wa Shelisheli.”

Katika hotuba yake iliyodumu kwa dakika 17, Rais Dkt. Herminie aliiomba jumuiya ya kimataifa iungane na nchi hiyo kujenga urafiki na mshikamano. “Tunataka tushirikiane, tukue pamoja, tufanye biashara kwa usawa, tunakaribisha uwekezaji na ubadilishanaji wa maarifa ambao utanufaisha pande zote mbili,” alisisitiza.

Pia Rais Herminie alisisitiza kwamba Serikali yake italibeba kwa dhati suala la vijana na siyo kulizungumzia tu kwenye majukwaa. “Ninyi vijana siyo kwamba mnapaswa kusubiri fursa zijazo, ninyi mpo hapa katikati yetu; ninyi ni viongozi wa kesho. Ninawasihi vijana wa Kishelisheli mjikite kwenye masuala ya ubunifu, sayansi, teknolojia na akili unde kama hamtaki kuachwa kwenye hii dunia inayoenda kwa kasi. Tutaijenga nchi yetu kwa pamoja na hatutaacha vipaji vyenu vipotee wala ndoto zenu zipepee zikiacha nchi yetu tupu,” alisisitiza.

Dkt. Herminie aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Seychelles kuanzia mwaka 2007 hadi 2016 na kabla ya hapo, alikuwa kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni kuanzia mwaka 1998 hadi 2003.

Kabla ya kuondoka uwanjani, Rais Dkt. Herminie alishuhudia nyimbo mbalimbali, mashairi na fashfash ya mafataki iliyodumu kwa zaidi ya dakika 5.

Rais mteule wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie, akila kiapo cha urais wa awamu ya sita wa nchi hiyo mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Rony Govinden, kwenye Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria, Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa jukwaani pamoja na viongozi wengine alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais mteule wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie (wa kwanza kushoto), uliofanyika katika Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Rais wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie, akilihutubia Taifa mara baada ya kuapishwa kua Rais wa sita wa nchi hiyo, kwenye Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria, Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna