Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

Featured Kitaifa

MAJALIWA ASHIRIKI SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS HERMINIE WA JAMHURI YA SHELISHELI

Written by Alex Sonna

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameungana na viongozi wa nchi za India, China, Mauritius na Comoro kwenye sherehe za kumuapisha Rais wa Jamhuri ya Shelisheli, Dkt. Patrick Herminie zilizofanyika kwenye Uwanja wa Umoja, jijini Victoria nchini humo.

Waziri Mkuu ambaye amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, alikuwa miongoni mwa viongozi hao wakuu wakiwemo Makamu wa Rais, Mawaziri Wakuu na viongozi wa juu kutoka vyama rafiki vya siasa. Rais Herminie aliapishwa jana (Jumapili, Oktoba 26, 2025) kuwa Rais wa sita wa nchi hiyo.

Viongozi hao ni Makamu wa Rais wa India, Bw. Chandrapuram Ponnusamy Radhakrishnan; Waziri Mkuu wa Mauritius, Dkt. Navinchandra Ramgoolam; Makamu wa Rais wa Chama cha Chinese People’s Political Consultative Conference (CPPCC) Bw. Gao Yunlong na Rais wa Baraza la Mawaziri la Kamisheni ya Bahari ya Hindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Bw. Mohamed Mbae.

Mheshimiwa Waziri Mkuu ameambatana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Cosato Chumi; Balozi wa Tanzania nchini Kenya anayeiwakilisha Jamhuri ya Shelisheli, Dkt. Bernard Kibesse na maafisa waandamizi wa Serikali.

Ushindi wa Rais Herminie, umekiondoa chama kilichokuwa madarakani cha Linyon Demokratik Seselwa (LDS) ambacho kilishinda uchaguzi wa mwaka 2020. Rais Herminie ambaye mwaka huu aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha United Seychelles (US) aliapishwa jana baada ya kupata asilimia 52.7 ya kura zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake, Bw. Wavel Ramkalawan wa chama cha LDS aliyepata asilimia 47.3 ya kura zote kwenye duru ya pili ya uchaguzi uliofanyika Oktoba 11, 2025. Katika duru ya kwanza iliyofanyika Septemba 27, mwaka huu hakuna mgombea urais aliyezidi asilimia 50 ya kura zote baina ya wagombea sita wa urais.

Katika sherehe hizo, Rais Dkt. Herminie alikula kiapo kwanza cha utii kwa wananchi mnamo saa 12.35 jioni na kisha akala kiapo cha urais saa 12.37 na kutia saini hati hizo mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Rony Govinden.

Akilihutubia Taifa hilo mara baada ya kuapishwa, Rais Dkt. Herminie alisema anakubali kupokea dhamana aliyopewa na wananchi wa Shelisheli kwa kuwa anatambua wajibu mkubwa unaotokana na Ilani ya chama chao isemayo: “Kwa ajili ya wengi, na siyo wachache.”

Rais huyo alitumia fursa hiyo kuwaonya wananchi wake kuwa wasitarajie kuwa mambo yote yatafanyika ndani ya siku moja. “Ninaongea kwa dhati kuwa mambo yote hayawezi kukamilika ndani ya siku moja. Lakini kuanzia leo tutaanza kazi, tutayapa kipaumbele masuala yote ya muhimu yanayogusa maisha ya wananchi na kwa msingi huo, Serikali yangu imeanzisha “Siku 100 za Kwanza – Mkataba wa Kijamii na Watu wa Shelisheli.”

Katika hotuba yake iliyodumu kwa dakika 17, Rais Dkt. Herminie aliiomba jumuiya ya kimataifa iungane na nchi hiyo kujenga urafiki na mshikamano. “Tunataka tushirikiane, tukue pamoja, tufanye biashara kwa usawa, tunakaribisha uwekezaji na ubadilishanaji wa maarifa ambao utanufaisha pande zote mbili,” alisisitiza.

Pia Rais Herminie alisisitiza kwamba Serikali yake italibeba kwa dhati suala la vijana na siyo kulizungumzia tu kwenye majukwaa. “Ninyi vijana siyo kwamba mnapaswa kusubiri fursa zijazo, ninyi mpo hapa katikati yetu; ninyi ni viongozi wa kesho. Ninawasihi vijana wa Kishelisheli mjikite kwenye masuala ya ubunifu, sayansi, teknolojia na akili unde kama hamtaki kuachwa kwenye hii dunia inayoenda kwa kasi. Tutaijenga nchi yetu kwa pamoja na hatutaacha vipaji vyenu vipotee wala ndoto zenu zipepee zikiacha nchi yetu tupu,” alisisitiza.

Dkt. Herminie aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Seychelles kuanzia mwaka 2007 hadi 2016 na kabla ya hapo, alikuwa kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni kuanzia mwaka 1998 hadi 2003.

Kabla ya kuondoka uwanjani, Rais Dkt. Herminie alishuhudia nyimbo mbalimbali, mashairi na fashfash ya mafataki iliyodumu kwa zaidi ya dakika 5.

Rais mteule wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie, akila kiapo cha urais wa awamu ya sita wa nchi hiyo mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Rony Govinden, kwenye Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria, Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa jukwaani pamoja na viongozi wengine alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais mteule wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie (wa kwanza kushoto), uliofanyika katika Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Rais wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie, akilihutubia Taifa mara baada ya kuapishwa kua Rais wa sita wa nchi hiyo, kwenye Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria, Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna