Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

casinomilyon

grandpashabet

tambet

betsalvador

cratosroyalbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

radissonbet

Hacklink panel

betsmove

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

goldenbahis

goldenbahis

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

meritking

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

Grandpashabet

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat güncel giriş

jojobet

jojobet

casibom

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

casibom

betsat

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

tipobet

bets10

sekabet güncel giriş

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

grandpashabet

jojobet

jojobet

nerobet

goldenbahis

jojobet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

MAJALIWA ASHIRIKI SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS HERMINIE WA JAMHURI YA SHELISHELI

Written by Alex Sonna

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameungana na viongozi wa nchi za India, China, Mauritius na Comoro kwenye sherehe za kumuapisha Rais wa Jamhuri ya Shelisheli, Dkt. Patrick Herminie zilizofanyika kwenye Uwanja wa Umoja, jijini Victoria nchini humo.

Waziri Mkuu ambaye amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, alikuwa miongoni mwa viongozi hao wakuu wakiwemo Makamu wa Rais, Mawaziri Wakuu na viongozi wa juu kutoka vyama rafiki vya siasa. Rais Herminie aliapishwa jana (Jumapili, Oktoba 26, 2025) kuwa Rais wa sita wa nchi hiyo.

Viongozi hao ni Makamu wa Rais wa India, Bw. Chandrapuram Ponnusamy Radhakrishnan; Waziri Mkuu wa Mauritius, Dkt. Navinchandra Ramgoolam; Makamu wa Rais wa Chama cha Chinese People’s Political Consultative Conference (CPPCC) Bw. Gao Yunlong na Rais wa Baraza la Mawaziri la Kamisheni ya Bahari ya Hindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Bw. Mohamed Mbae.

Mheshimiwa Waziri Mkuu ameambatana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Cosato Chumi; Balozi wa Tanzania nchini Kenya anayeiwakilisha Jamhuri ya Shelisheli, Dkt. Bernard Kibesse na maafisa waandamizi wa Serikali.

Ushindi wa Rais Herminie, umekiondoa chama kilichokuwa madarakani cha Linyon Demokratik Seselwa (LDS) ambacho kilishinda uchaguzi wa mwaka 2020. Rais Herminie ambaye mwaka huu aligombea nafasi ya urais kupitia Chama cha United Seychelles (US) aliapishwa jana baada ya kupata asilimia 52.7 ya kura zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake, Bw. Wavel Ramkalawan wa chama cha LDS aliyepata asilimia 47.3 ya kura zote kwenye duru ya pili ya uchaguzi uliofanyika Oktoba 11, 2025. Katika duru ya kwanza iliyofanyika Septemba 27, mwaka huu hakuna mgombea urais aliyezidi asilimia 50 ya kura zote baina ya wagombea sita wa urais.

Katika sherehe hizo, Rais Dkt. Herminie alikula kiapo kwanza cha utii kwa wananchi mnamo saa 12.35 jioni na kisha akala kiapo cha urais saa 12.37 na kutia saini hati hizo mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Rony Govinden.

Akilihutubia Taifa hilo mara baada ya kuapishwa, Rais Dkt. Herminie alisema anakubali kupokea dhamana aliyopewa na wananchi wa Shelisheli kwa kuwa anatambua wajibu mkubwa unaotokana na Ilani ya chama chao isemayo: “Kwa ajili ya wengi, na siyo wachache.”

Rais huyo alitumia fursa hiyo kuwaonya wananchi wake kuwa wasitarajie kuwa mambo yote yatafanyika ndani ya siku moja. “Ninaongea kwa dhati kuwa mambo yote hayawezi kukamilika ndani ya siku moja. Lakini kuanzia leo tutaanza kazi, tutayapa kipaumbele masuala yote ya muhimu yanayogusa maisha ya wananchi na kwa msingi huo, Serikali yangu imeanzisha “Siku 100 za Kwanza – Mkataba wa Kijamii na Watu wa Shelisheli.”

Katika hotuba yake iliyodumu kwa dakika 17, Rais Dkt. Herminie aliiomba jumuiya ya kimataifa iungane na nchi hiyo kujenga urafiki na mshikamano. “Tunataka tushirikiane, tukue pamoja, tufanye biashara kwa usawa, tunakaribisha uwekezaji na ubadilishanaji wa maarifa ambao utanufaisha pande zote mbili,” alisisitiza.

Pia Rais Herminie alisisitiza kwamba Serikali yake italibeba kwa dhati suala la vijana na siyo kulizungumzia tu kwenye majukwaa. “Ninyi vijana siyo kwamba mnapaswa kusubiri fursa zijazo, ninyi mpo hapa katikati yetu; ninyi ni viongozi wa kesho. Ninawasihi vijana wa Kishelisheli mjikite kwenye masuala ya ubunifu, sayansi, teknolojia na akili unde kama hamtaki kuachwa kwenye hii dunia inayoenda kwa kasi. Tutaijenga nchi yetu kwa pamoja na hatutaacha vipaji vyenu vipotee wala ndoto zenu zipepee zikiacha nchi yetu tupu,” alisisitiza.

Dkt. Herminie aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Seychelles kuanzia mwaka 2007 hadi 2016 na kabla ya hapo, alikuwa kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni kuanzia mwaka 1998 hadi 2003.

Kabla ya kuondoka uwanjani, Rais Dkt. Herminie alishuhudia nyimbo mbalimbali, mashairi na fashfash ya mafataki iliyodumu kwa zaidi ya dakika 5.

Rais mteule wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie, akila kiapo cha urais wa awamu ya sita wa nchi hiyo mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Rony Govinden, kwenye Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria, Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa jukwaani pamoja na viongozi wengine alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais mteule wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie (wa kwanza kushoto), uliofanyika katika Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Rais wa Shelisheli, Dr. Patrick Herminie, akilihutubia Taifa mara baada ya kuapishwa kua Rais wa sita wa nchi hiyo, kwenye Uwanja wa michezo wa Umoja, jijini Victoria, Sychelles, Oktoba 26. 2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna