marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

casibom

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

hitbet

tipobet giriş

betist

Featured Kitaifa

SERIKALI YAJIPANGA KUBADILISHA SEKTA YA ELIMU KUKABILI MAHITAJI YA UCHUMI WA KISASA

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel Mushi,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Elimu (AJESR) wa mwaka 2024/25.


Na.Alex Sonna-, Dodoma

SERIKALI imesisitiza dhamira yake ya kuibadilisha sekta ya elimu ili iendane na mahitaji ya uchumi wa dunia unaobadilika kwa kasi na unaoendeshwa na teknolojia, huku ikihakikisha elimu jumuishi, yenye usawa na ubora kwa wote.

Akizungumza  jijini Dodoma wakati akifungua Mkutano wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Elimu (AJESR) wa mwaka 2024/25, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel Mushi, alisema serikali imejipanga kuhakikisha mfumo wa elimu unaendana na mikakati ya maendeleo ya taifa, ikiwemo ajenda ya uendelezaji wa viwanda na ubunifu chini ya Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2050.

“Huu ni miongoni mwa mikutano muhimu zaidi katika mfumo wetu wa elimu kwani unatoa jukwaa rasmi la majadiliano ya sekta nzima, uwajibikaji wa pamoja na kupanga kwa kuzingatia ushahidi,” alisema Profesa Mushi.

Mkutano huo, unaobeba kaulimbiu “Kubadilisha Elimu kwa Maendeleo Endelevu,” unawakutanisha wadau kutoka serikalini, asasi za kiraia, taasisi za dini, sekta binafsi na washirika wa maendeleo, kwa lengo la kufanya tathmini ya utekelezaji wa sekta ya elimu, kutambua changamoto, na kuweka vipaumbele vya mwaka unaofuata.

Profesa Mushi alisema serikali inaendelea kuangalia elimu kama uwekezaji katika rasilimali watu, badala ya kuiangalia kama huduma ya kijamii pekee, akibainisha kuwa nchi inajenga nguvu kazi yenye ujuzi na weledi wa kuendesha ubunifu na kuongeza tija.

“Dunia inabadilika kwa kasi, teknolojia inachukua nafasi kubwa, hivyo tunahitaji rasilimali watu waliobobea watakaoweza kwenda sambamba na maendeleo hayo ya kiteknolojia,” alisisitiza Prof. Mushi.

Alipongeza wadau wa elimu kwa mafanikio yaliyopatikana katika mwaka 2024/25, ikiwemo kuongezeka kwa upatikanaji wa elimu, maboresho ya mafunzo kwa walimu, mageuzi ya mitaala na kuboreshwa kwa mifumo ya tathmini ya wanafunzi.

Amesema kupitia AJESR, Tanzania inaendelea kuimarisha ushirikiano wa kitaalamu na kifedha ambao umechangia kuunganisha sayansi, teknolojia na ubunifu katika mfumo wa elimu, hatua inayoiweka nchi katika nafasi nzuri ya kukabiliana na mahitaji ya uchumi wa karne ya 21.

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia elimu, Bw. Atupele Mwambene, alisema elimu ni nguzo kuu ya utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2050 na msingi wa maendeleo ya rasilimali watu nchini.

“Rasilimali watu ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa lolote. Ukuaji wa uchumi unaotegemewa unatokana na maandalizi bora ya rasilimali watu,” alisema Bw. Mwambene, huku akisisitiza kuwa Ofisi ya Rais – TAMISEMI itaendelea kusaidia shule katika kutekeleza mageuzi ya elimu ipasavyo.

Kwa niaba ya washirika wa maendeleo, Mkuu wa Ofisi ya Tume ya Uingereza nchini Tanzania, Bi. Godfrida Magubo, aliipongeza serikali kwa kipaumbele inachokipa elimu chini ya Dira ya 2050, akisema kuwa ukuaji jumuishi hautowezekana bila wananchi walioelimika vizuri.

Bi. Magubo alishauri serikali kuharakisha maandalizi kwa ajili ya mwaka 2027, ambapo takribani wanafunzi milioni 5.1 watajiunga na shule za sekondari za chini, kutokana na kupunguzwa kwa muda wa elimu ya msingi kutoka miaka saba hadi sita.

Ametoa wito wa kuongeza madarasa, walimu na vifaa vya kujifunzia, huku akihimiza ushirikiano zaidi na sekta binafsi pamoja na taasisi za dini katika kupata rasilimali za kufanikisha mabadiliko hayo.

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bw. Simon Nanyaro, aliipongeza serikali kwa kuwekeza katika mafunzo ya walimu, akibainisha kuwa walimu 70,657 wa shule za msingi na 67,254 wa sekondari wamepatiwa mafunzo, ongezeko kubwa ikilinganishwa na walimu 1,250 waliokuwa wamefunzwa hapo awali.

“Tunapopitia utendaji wa elimu kwa mwaka 2024/25, tunasherehekea mafanikio na kupanga njia ya kwenda mbele. Tuitumie hekima na utaalamu wetu wa pamoja kuinua zaidi ubora na usawa wa elimu nchini,” alisema Bw. Nanyaro.

About the author

Alex Sonna