Stars, ambayo haijapata ushindi tangu ilipotolewa kwenye hatua ya robo fainali ya CHAN 2024 kwa kufungwa na Morocco bao 1-0, imekuwa ikisuasua pia katika michezo ya kufuzu Kombe la Dunia, ikipoteza mechi mbili mfululizo dhidi ya Niger na Zambia kwa matokeo kama hayo.
Matokeo haya yanazidisha presha kwa Kocha Hemed Morocco, ambaye alikabidhiwa majukumu ya kuinoa timu hiyo baada ya kuondoka kwa kocha wa zamani kutoka Algeria, Adel Amrouche, mwaka 2024.