marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

TEA, UNICEF NA SERIKALI YA CANADA WAENDELEZA MAGEUZI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU SIKONGE

Written by Alex Sonna


Bi. Atugonza David akiwa na Mkuu wa Shule ya Sekondari Pangale Mwl. Sengi Msaru wakati wa kukagua mradi wa ukarabati wa maabara tatu za Sayansi zilizofadhiliwa na UNICEF, CANADA kwa usimamizi wa TEA.

Sikonge, Tabora

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), kwa kushirikiana na Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) pamoja na Serikali ya Canada, wameendelea kutekeleza mageuzi makubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi na ukarabati wa miundombinu mbalimbali ya shule, ukiwemo uboreshaji wa mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji katika Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora.

Jumla ya miradi 10 yenye thamani ya takribani shilingi milioni 284 imetekelezwa katika shule sita za msingi na sekondari wilayani humo kupitia ufadhili huo. Miradi hiyo imejumuisha ujenzi na ukarabati wa maabara, vyumba vya madarasa na matundu ya vyoo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha watoto wa Kitanzania wanapata elimu bora katika mazingira rafiki na salama.

Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua miradi hiyo, Afisa Miradi kutoka TEA, Bi. Atugonza David, alisema miradi yote iliyokuwa ikiendelea tayari imekamilika na iko tayari kuanza kutumika. Alibainisha kuwa shule husika zitakabidhiwa miradi hiyo muda wowote kuanzia sasa, kwa mujibu wa sheria na taratibu za kiserikali.

“Tumekamilisha ukarabati na umaliziaji wa maabara nane za sayansi katika shule nne, ujenzi wa matundu 10 ya vyoo katika shule moja, pamoja na umaliziaji wa vyumba vinne vya madarasa katika shule nyingine wilayani Sikonge,” alisema Bi. Atugonza.

Kwa upande wake, Mkuu wa Shule ya Sekondari Ngulu, Mwl. Israel Mwambikwa, alisema shule yake imenufaika kwa kiasi kikubwa kupitia mradi wa ujenzi wa maabara mbili za sayansi, jambo ambalo limechangia ongezeko la hamasa kwa wanafunzi kujifunza masomo ya sayansi, hususan kwa wasichana.

“Shule yetu ina jumla ya wanafunzi 666, ambapo wasichana ni 333 na wavulana ni 333. Kwa sasa, wasichana wanafanya vizuri zaidi kwenye masomo ya sayansi ukilinganisha na wavulana. Idadi ya wanafunzi wanaochagua michepuo ya sayansi imeongezeka mara mbili ikilinganishwa na mwaka jana baada ya kukamilika kwa maabara hizi,” alieleza Mwl. Mwambikwa.

TEA iliingia makubaliano maalum na UNICEF kwa lengo la kuboresha mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata fursa na haki ya elimu bora, bila vikwazo vya kimazingira.

Muonekano wa ndani wa maabara ya Sayansi shule ya Sekondari Pangale baada ya ukarabati uliofadhiliwa na UNICEF, Serikali ya CANADA na kuratibiwa na TEA.

Mkuu wa Shule ya Sekondari Kamagi Mwl. Merina Mbiha (kulia) akitoa maelezo kwa Bi. Atugonza David Afisa Miradi kutoka TEA, alipofanya ziara ya kukagua ukarabati wa maabara mbili za Sayansi shuleni hapo.

Mkuu wa Shule ya Sekondari Kamagi Mwl. Merina Mbiha (kushoto) akitoa maelezo kwa Bi. Atugonza David Afisa Miradi kutoka TEA, alipofanya ziara ya kukagua ukarabati wa maabara mbili za Sayansi shuleni hapo.

Baadhi ya walimu wa Shule ya Sekondari Kamagi wakiwa nje ya maabara ya Kemia iliyokarabatiwa na UNICEF pamoja na Serikali ya CANADA kwa uratibu wa TEA.

Afisa Miradi kutoka TEA Bi. Atugonza David akiwa na Mwalimu Mkuu shule ya msingi Kiloleli Mwl. Festo Ponela (katikati) pamoja na mjumbe wa kamati ya shule Bw. Nicholaus Mbanka wakikagua ujenzi wa matundu 10 ya vyoo yaliyofadhiliwa na UNICEF, Serikali ya CANADA na kuratibiwa na TEA.

Muonekano wa kibao kinachoonesha kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa matundu 10 ya vyoo shule ya msingi Kiloleli iliyopo Wilayani Sikonge.

 

About the author

Alex Sonna