marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

casibom

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

hitbet

tipobet giriş

betist

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA HISANI ZA SAIFEE MARATHON

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika mbio za hisani za Saifee Cardiac Marathon, zilizofanyika katika viwanja vya Green Park Oysterbay, jijini Dar es Salaam Septemba 28, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akizungumza baada ya kushiriki katika mbio za hisani za Saifee Cardiac Marathon, zilizofanyika katika viwanja vya Green Park Oysterbay, jijini Dar es Salaam Septemba 28, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivalishwa medali ya ushiriki na Mkurugenzi wa Uendeshaji Hospitali ya Saifee Dk. Abbasali Essajee katika mbio za hisani za Saifee Cardiac Marathon, zilizofanyika kwenye viwanja vya Green Park Oysterbay, jijini Dar es Salaam Septemba 28, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akimkabidhi hundi ya shilingi 750,000, mshindi wa kilomita 21 wanawake, Vaileth Adam, kwenye mbio za hisani za Saifee Cardiac Marathon, zilizofanyika katika viwanja vya Green Park Oysterbay, jijini Dar es Salaam Septemba 28, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akimkabidhi hundi ya shilingi 750,000, mshindi wa kilomita 21 wanaume, Boay Dawi, kwenye mbio za hisani za Saifee Cardiac Marathon, zilizofanyika katika viwanja vya Green Park Oysterbay, jijini Dar es Salaam Septemba 28, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

……..

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kufanya uwekezaji wa kutosha ili kuhakikisha Watanzania wanapata huduma Bora za magonjwa ya moyo na mishipa.

Amesema kuwa uwekezaji huo unaenda sambamba na dhamira ya kuendelea kupunguza gharama za matibabu hayo kwa kwenda nje ya nchi hivyo kusaidia kuokoa maisha ya Watanzania.

Amesema hayo leo Jumapili (Septemba 28, 2025) alipokuwa mgeni rasmi katika mbio za hisani za Saifee Marathon zilizoanzia na kuishia katika viwanja vya green park Oysterbay, jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imewekeza katika ununuzi wa vifaa vya kisasa vya kutoa huduma za uchunguzi ikiwemo ECHO, ECG, Ultrasound na Holter.

Amesema kuwa takwimu za Shirika la Afya duniani zinaonesha kuwa takribani asilimia 71 ya vifo vyote duniani vinasababishwa na magonjwa yasiyoambukiza. “Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 4.9 wenye umri wa kuanzia miaka 30 hadi 79 wanamatatizo ya moyo na mishipa ya damu”.

“Ndugu wananchi nendeni mkafanye uchunguzi ili muwe na uhakika wa afya zenu, zamani huduma hizi ililazimu kusafiri kwenda kwenye nchi kama India, Uingereza na Ujerumani lakini kwasasa tiba hizi ziko hapahapa nchini”.

Aidha, Mheshimiwa Majaliwa ametoa wito kwa kushirikiana na wadau wote wa afya kwenye kutoa elimu ya jamii kuhusu namna ya kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza kwa kuwa yamethibitishwa kwamba ni hatari.

“Sisi wananchi tunaowajibu wa kuhakikisha tunafanya uchunguzi wa afya zetu mara kwa mara kwani kugundua tatizo mapema huwezesha matibabu kwa wakati na kuokoa maisha”.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji WA Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza sera ya afya ya mwaka 2007 ikilenga kuboresha huduma za magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo shinikizo la juu la damu ” Huduma hizi zinatolewa katika ngazi zote za vituo vya huduma za afya”.

Ameongeza kuwa, nchini Tanzania takwimu zinaonesha kuwepo kwa ongezeko la wagonjwa wa shinikizo la damu kutoka wagonjwa milioni 1.73 mwaka 2023/2024 hadi wagonjwa milioni 1.77 mwaka 2024/2025 Sawa na ongezeko la asilimia 98.

Awali, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Saifee Murtaza Alibhai amesema kuwa dhamira ya mbio hizo hazijaishia kukimbia pekee, bali zinalenga kuelimisha jamii na kusisitiza kinga ya afya.

Ameongeza kuwa mikakati ya hospitali hiyo inaunga mkono Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 inayosisitiza maendeleo ya watu. “Tunajivunia na kumuunga Mkono Mheshimiwa Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ukuaji wa sekta ya afya nchini”.

Lengo la marathon hizo ni kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuchukua hatua za kujikinga na magonjwa ya moyo na mishipa ya damu kwa kutoa elimu ya afya kwa wananchi kuhusu mtindo bora wa maisha.

Lengo lingine ni kuimarisha uchunguzi wa mapema wa magonjwa yasiyoambukiza, pamoja na kuhimiza ushirikiano wa wadau mbalimbali katika mapambano dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza.

About the author

Alex Sonna