marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

casinowon giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

restbet

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

norabahis

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

sahabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

Featured Kitaifa

CCM WAZINDUA RASMI KAMPENI SHINYANGA MJINI

Written by Alex Sonna

 

Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi akinadi sera wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini.

 

Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga – Picha na Marco Maduhu na Kadama Malunde 
 
Na Marco Maduhu,Shinyanga
 
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo, amezindua rasmi Kampeni za CCM Jimbo la Shinyanga Mjini huku akimwagia sifa Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia (CCM) Patrobas Katambi,kuwa ni kijana ambaye hana Mbambamba, bali yeye ni mtu wa kazi tu na kuwaletea maendeleo wananchi wake.
 
Uzinduzi huo umefanyika leo Septemba 14,2025 katika Kata ya Ndala na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi, wana CCM pamoja na Wagombea Udiwani Kata zote 17 za Shinyanga Mjini.
 
Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni hizo, Odilia amesema Katambi ni kijana mdogo lakini mambo yake ni makubwa, ambapo ndani ya miaka mitano amelitendea haki Jimbo la Shinyanga kwa kutekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo na kuwaletea maendeleo wananchi.
Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini.
 
“CCM ikiahidi inatekeleza, hivyo nawaomba wananchi endeleeni kukiamini Chama Cha Mapinduzi na siku ya Uchaguzi Oktoba 29,mpigieni kura za ndiyo Mgombea Urais,Rais Dk.Samia Suluhu Hassan,Patrobas Katambi na Wagombea udiwani wote wanaotokana na CCM,”amesema Odilia.
 
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Anold Makombe, akizungumza kwenye uzinduzi huo wa kampeni, amemuombea kura Mgombea Urais wa CCM,Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Patrobas Katambi na Madiwani wote wa CCM kuwa wao ndiyo watawaletea maendeleo ya kweli na siyo vyama vingine.
 
Naye Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi, amewaeleza wananchi wa Ndala baadhi ya maendeleo ambayo ameyafanya katika Jimbo hilo ndani ya miaka mitano, kuwa katika sekta ya elimu wamejenga shule mpya 10,Tano za Shule ya Msingi na Tano Sekondari, pamoja na kupanua Chuo Cha Ushirika Moshi Tawi la Shinyanga, Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto, kuleta Chuo cha Madini pamoja na Cha Serikali za Mitaa Hombolo.
Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi.
 
Kwa Upande wa Sekta ya Afya, kuwa wamejenga Zahanati mpya 9,Vituo vya Afya kikiwamo cha Ihapa,kuboresha Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga na kukamilisha Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na sasa inatoa huduma za matibabu kwa wananchi.
 
Amezungumzia pia suala la miundombinu, kuwa wamejenga Madaraja ambayo yalikuwa Korofi,Makarati,Vivuko,ujenzi wa masoko, upanuzi uwanja wa ndege Ibadakuli, na sasa wapo kwenye ujenzi wa Stand Mpya ya Kisasa eneo la Kizumbi,na Barabara ya Lami kwenye Hospitali ya Mkoa Mwawaza.
 
Kuhusu Maji amesema takribani maeneo yote ya Shinyanga yanapata huduma ya maji safi na salama, huku akigusia suala la umeme kwamba kati ya vijijini 17 vya manispaa ya Shinyanga vijiji 7 ndiyo vimebaki kupata umeme.
 
Aidha amesema endapo akipata ridhaa ya wananchi wa Shinyanga kuchagua tena kuwa Mbunge wao Oktoba 29,na kumchagua Rais Samia na Madiwani wote wa CCM kwamba mvua ya maendeleo itaendelea kumiminika jimbo humo, sababu kwenye ilani ya CCM (2025-2030) imebainisha miradi mingi ya maendeleo ambayo inapaswa kutekeleza kwa wananchi.
 
Oktoba 29,2025 ni sikuya Uchaguzi Mkuu wa kuchagua Madiwani,Wabunge na Rais.
 
TAZAMA PICHA HAPA CHINI
Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga
Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi akinadi sera wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga
Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi akinadi sera wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga
Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi akinadi sera wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini.
Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi akinadi sera wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini.
Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi akinadi sera wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini.
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Anold Makombe, akizungumza kwenye mkutano huo

About the author

Alex Sonna