marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

casinowon giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

restbet

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

norabahis

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

sahabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

Featured Kitaifa

RC KATAVI ABAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA YALIYOFANYWA NA  SERIKALI YA AWAMU SITA

Written by Alex Sonna

MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Hoza Mrindoko,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 3,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025 .

 

MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Hoza Mrindoko,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 3,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025 .

MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Hoza Mrindoko,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 3,2025 jijini Dodoma kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025 .

Na.Alex Sonna-Dodoma

 

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Hoza Mrindoko amesema kuwa mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia biashara ya kaboni (hewa ukaa) yameleta mapinduzi ya maendeleo katika Mkoa huo hususan Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika.

Mhe. Mrindoko,ameyasema hayo leo Julai 3,2025 jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi April 2025 .

Mhe.Mrindoko amesema hadi kufikia Juni 2025, mkoa umepata mapato ya jumla ya Shilingi 25,293,421,607.17 kutoka biashara hiyo ya kimazingira, fedha ambazo zimeelekezwa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kijamii na kiuchumi.

“Kupitia fedha hizo, Mkoa umeweza kujenga madarasa 52 na kukarabati madarasa 20, kujenga nyumba 5 za walimu kwa mfumo wa 2 kwa 1 na nyumba moja ya walimu kwa mfumo wa 3 kwa 1.”amesema Mrindoko

Aidha amesema vichomea taka sita (incinerators) vimejengwa kwenye vituo vya afya, pamoja na mashimo sita ya kondo la mama (placenta pits) kwa ajili ya huduma bora za uzazi ikiwa ni pamoja na matundu 128 ya vyoo kujengwa, madawati 1,496 yametengenezwa, na ofisi nane za vijiji pamoja na masoko mawili ya vijiji yamekamilika.

“Biashara hiyo pia imezalisha ajira 112 kwa vijana wanaolinda misitu, kaya 4,400 zimepatiwa kadi za bima ya afya (CHF iliyoboreshwa), walimu 20 wa mkataba wameajiriwa na shule 16 zimepatiwa chakula kwa ajili ya wanafunzi.”amesema 

Amesema Wanawake wajasiriamali pia wamenufaika kupitia mikopo ya jumla ya Shilingi 117,213,800.00.

Aidha, fedha nyingine kiasi cha Shilingi bilioni 2.78 zilizopokelewa Aprili 2025, zimepangwa kutumika kuendeleza miundombinu ya elimu, kutoa ajira kwa walimu na wahudumu wa afya, pamoja na kuimarisha uhifadhi wa misitu.

Pia ameeleza kuwa katika sekta ya kilimo, ukarabati wa skimu za umwagiliaji za Mwamkulu na Kabage unaoendelea umegharimu Shilingi bilioni 54.68 na utekelezaji wake umefikia asilimia 22.5 ambapo kukamilika kwa miradi hiyo kutaongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta 2,700 hadi 6,000 na kuongeza uzalishaji wa mpunga kutoka gunia 10 hadi 60 kwa ekari.

Amesema Eneo la umwagiliaji limeongezeka kutoka hekari 36,687 mwaka 2021 hadi hekari 267,680 mwaka 2025, huku vijana 756 wakipewa mafunzo ya ujenzi wa vitalu nyumba na Idadi ya vyama vya ushirika imeongezeka kutoka 36 vya mwaka 2021 hadi 56 mwaka 2025, huku wanachama wakiongezeka kutoka 18,340 hadi 25,320.

Kwa upande wa miundombinu ya kimkakati, Mkuu huyo wa mkoa wa katavi amesema Mkoa umefanikiwa kukamilisha ujenzi wa barabara muhimu zikiwemo Mpanda–Tabora (km 337), Mpanda–Vikonge (km 39.5), na Mpanda–Sitalike (km 37) na Ku ongeza kuwa Ujenzi unaendelea katika barabara ya Vikonge–Luhafwe (km 25), Kibaoni–Sitalike (km 50), na Luhafwe–Mishamo (km 37.35).

Katika sekta ya madaraja, amesema Daraja la Kavuu lenye urefu wa mita 84 linaendelea kujengwa, huku Daraja la Msadya (mita 60) likiwa limekamilika na linatumika.

Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa, kupitia mikakati ya Serikali, Shule ya Kanda ya Wavulana imepokea Shilingi bilioni 4.1, huku Shule Maalum ya Wasichana iliyopo Halmashauri ya Nsimbo ikipokea zaidi ya Shilingi bilioni 4. Katika hatua ya kuboresha elimu, shule mpya 129 zimejengwa (sekondari 32 na msingi 97) kupitia programu mbalimbali kama BOOST, UVIKO, SEQUIP, GPE, LANES, P4R, pamoja na fedha za Serikali Kuu na Halmashauri. Katika sekta ya maji, Mradi wa Maji wa Miji 28 katika Manispaa ya Mpanda unaendelea kutekelezwa.

Sekta ya afya nayo imepata mafanikio ambapo ameeleza kuwa jumla ya miradi 22 mipya inatekelezwa ikiwemo Hospitali ya Rufaa 1, Hospitali 4 za Halmashauri, Vituo vya Afya 10 na Zahanati 7. Kupitia Mradi wa Umeme Vijijini (REA III), vijiji 58 vimeunganishwa na huduma ya umeme, na kwa sasa vijiji vyote 172 vya Mkoa wa Katavi vina umeme.

Aidha Vitongoji 504 kati ya 912 tayari vimepata huduma hiyo, na vitongoji 408 vilivyobaki vitafikiwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026.

Ameitaja Miradi mingine mikubwa iliyotekelezwa ni pamoja na kukamilika kwa Bandari ya Karema, utekelezaji wa miradi ya umwagiliaji ya Mwamkulu na Kabage, zaidi ya miradi 200 inayogharamiwa na fedha za kaboni, ujenzi wa vyuo vya VETA katika Wilaya za Tanganyika na Mlele, ujenzi wa ghala, vihenge na ofisi za NFRA, pamoja na ukarabati wa reli ya Kaliuwa–Mpanda (km 210).

About the author

Alex Sonna