Mkurugenzi wa Kampuni ya Damrkun Bi. Grace Chigongolo leo Juni 29,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania ubunge katika Jimbo la Mpwapwa.
Bi. Chigongolo amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya Bw. Denise Luhende.