Featured Kitaifa

JACKLINE ISARO ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI KATA YA NGOKOLO

Written by Alex Sonna
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jackline Isaro akionesha Fomu ya Maombi ya Kugombea Nafasi ya Udiwani katika Kata ya Ngokolo Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuchukua leo Juni 28,2025

About the author

Alex Sonna