Featured Kitaifa

RAIS SAMIA AELEKEA DODOMA,KUHUTUBIA NA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA BUNGE

Written by mzalendoeditor

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma tarehe 26 Juni, 2025. Pamoja na mambo mengine kesho Mhe. Rais Dkt. Samia atahutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.     

About the author

mzalendoeditor