Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet, aresbet giriş

betcio, betcio giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

tipobet

jojobet

ilbet

ilbet giriş

pulibet

cratosroyalbet

tarafbet

kavbet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

betasus

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

sekabet

1win

holiganbet

pusulabet

marsbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

holiganbet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

meritbet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

vaycasino giriş

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

kavbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

betgit

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Jojobet

Jojobet

Featured Kitaifa

UTENDAJI WA PPPC WAVUTIA KAMATI YA PIC

Written by Alex Sonna

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) Bw.David Kafulila,akitoa mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

Na Alex Sonna, Dodoma

Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimetoa mafunzo maalum kuhusu ubia wa sekta hizo mbili (PPP) kwa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC).

Mafunzo hayo yamelenga kuwawezesha wajumbe wa kamati kuelewa kwa kina dhana ya PPP, sheria na mwongozo wake, pamoja na namna bora ya kusimamia, kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa miradi ya ubia kati ya Serikali na sekta binafsi.

Akizungumza katika mafunzo hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC, David Kafulila, amewaeleza wajumbe wa Kamati hiyo kuhusu fursa zilizopo katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati kupitia ushirikiano wa PPP, ikiwa ni pamoja na kuongeza ufanisi wa utoaji huduma, kuchochea ukuaji wa uchumi, na kupunguza mzigo wa kifedha kwa Serikali kupitia uwekezaji kutoka sekta binafsi.

Hata hivyo, amesema ni muhimu kuwa na sheria moja ambayo itakuwa inatumiwa na mamlaka zote katika masuala ya PPP badala ya kila mamlaka kutumia sheria zao kuingia miradi ya ubia.

“Hatua hii itasaidia mamlaka zote kutekeleza miradi ya ubia kwa kutumia sheria moja ya ubia, kwasababu sheria ile ambayo inaunda taasisi zao haijaspecialize kwenye masuala haya ya ubia kwa hiyo kunakuwa na nafasi kubwa ya kutokupata mikataba mizuri ukilinganisha na kama wangetumia sheria mama ya masuala ya ubia,”amesema.

Naye, Makamu Mwenyekiti wa PIC, Mary Masanja, ameomba serikali iendelee kutilia msisitizo katika  PPP na kwamba kamati inataka kiongezewe nguvu kituo kiwe mamlaka   ili kujitosheleza katika uendeshaji wa shughuli za ubia.

“Kwa sababu ukiangalia kazi zake  inasimamia za matrilioni ya fedha  lakini hawa watu hawana meno ya kutosha. Na sisi kama kamati tumeliona hili tutendelea kuwasemea na kuishauri serikali wawe mamlaka kamili kwa sababu  tunakoenda  tunaiona nuru.”

“Lakini ukiangalia kwenye masuala ya ubia  kwetu sisi kama Tanzania bado tuko nyuma sana  tunahitaji msukumo mkubwa , leo hii tukisema kila kitu serikali ifanye tunachelewa sana dunia sasa hivi haiko huko. Sasa hivi ni PPP,  ndoa inafungwa mwekezaji anakuja sisi tunabaki kufuatilia na kuangalia utekelezaji,”alisema. 

Kwa upande wake, Mjumbe wa Kamati hiyo, Nicholaus Ngassa, amesema moja ya changamoto zinazokikabili kituo hicho ni taasisi nyingi za serikali kuingia kwenye mikataba wawekezaji kwa utaratibu wa PPP kupitia sheria za taasisi zao licha ya kuwapo kwa sheria ya PPP ambayo imeipa mamlaka PPPC katika kuingia ubia wa sekta binafsi na sekta ya umma.

“Kwa hiyo tutashauri serikali ili haya mambo yaweze kupata uratibu mzuri, kituo kiwezeshwe mikataba yote ya ubia kati ya sekta binafsi na sekta ya umma, isimamiwe na hiki kituo kwa kuwa itaweka utaratibu mzuri lakini pia na ufuatiliaji na tija itatokea kwa sababu itapunguza changamoto mbalimbali ambazo zinajitokeza kwenye mikataba inayoingiwa na wabia,”amesema.

Amesema kwa kuwa Bunge lina wajibu badilisha sheria ya kutunga sheria, watashauri Ofisi ya Spika kuangalia suala hilo lilitwe bungeni ili masuala yote ya ubia yapitie Kituo hicho.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) Bw.David Kafulila,akitoa mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) Bw.David Kafulila,akitoa mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) Mhe.Mary Masanja,akizungumza wakati wa mafunzo yaliyotolewa na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

Wajumbe wa  Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) wakifatilia mafunzo  yaliyotolewa na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

Wajumbe wa  Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) wakifatilia mafunzo  yaliyotolewa na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

Wajumbe wa  Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) wakifatilia mafunzo  yaliyotolewa na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

Wajumbe wa  Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) wakifatilia mafunzo  yaliyotolewa na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) Bw.David Kafulila,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) Mhe.Mary Masanja,akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mafunzo yaliyotolewa na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna