marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

grandpashabet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis giriş

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

celtabet

Featured Kitaifa

KAMATI YA USHAURI USAJILI WA SARATANI YAZINDULIWA

Written by Alex Sonna

Na WAF- Dodoma

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Wizara ya Afya, Dkt. Caroline Damian amezindua Kamati ya Ushauri ya Usajili wa Saratani (ACCR) yenye lengo la kuimarisha Usajili wa Saratani nchini kupitia usajili unaozingatia idadi ya watu kwa kuwa na takwimu sahihi.

Uzinduzi wa Kamati ya Ushauri ya Usajili wa Saratani umefanyika leo Mei, 21,2025 Jijini Dodoma ambapo kamati hii inajumuisha wajumbe kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, washirika wa kimataifa kama Vital Strategies, Mtandao wa Usajili wa Saratani Afrika (AFCRN), Shirika la Afya Duniani (WHO) na wawakilishi kutoka katika jamii, akiwemo manusura wa saratani.

Dkt. Caroline amesema kuwa Kamati Kuu itakutana mara mbili kwa mwaka, huku kamati ndogo tano zilizoko Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), Kituo cha Tiba Bugando, Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya, Kituo cha Tiba cha Kilimanjaro Christian Medical (KCMC), na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, zitakutana kila baada ya miezi mitatu.

“Takwimu sahihi ndiyo msingi wa mipango madhubuti ya sera, programu za kuzuia utambuzi wa mapema, matibabu bora na utunzaji kwa wagonjwa wa saratani,” amesema Dkt. Caroline.

Aidha, amesema kuwa kamati hiyo itakuwa bodi ya ushauri wa kitaalam kwa Wizara ya Afya, kwa lengo la kuimarisha Usajili wa Saratani nchini kupitia Usajili wa Saratani unaozingatia idadi ya watu.

Amesema kuwa hivi sasa, ni takriban asilimia 10.5 tu ya wakazi wa Kusini mwa Jangwa la Sahara wanashughulikiwa na sajili za saratani za idadi ya watu, nchini Tanzania, kukosekana kwa sajili ya kitaifa ya saratani inamaanisha kuwa takwimu za matukio ya saratani inayotegemea idadi ya watu haipatikani kwa ufasaha.

Dkt. Caroline ameongeza kuwa kamati hiyo ina majukumu makuu ya kutoa ushauri kuhusu mbinu bora za kukusanya takwimu za saratani, kuchambua mwelekeo wa matukio ya saratani na vifo, kutoa mapendekezo ya sera yenye msingi wa ushahidi, kusimamia utekelezaji wa mapendekezo yake na kuhakikisha kwamba takwimu zinapatikana kwa matumizi ya viongozi wa Serikali, watafiti na washirika wa maendeleo.

Vilevile amesema kuwa kwa mujibu wa Taasisi ya Global Cancer Observatory, Tanzania iliripoti takriban wagonjwa wapya 42,000 wa saratani na vifo 28,000 vilivyotokana na saratani mwaka 2020 makadirio yanaonesha kuwa matukio ya saratani katika maeneo yenye rasilimali ndogo barani Afrika, ikiwamo Tanzania, yataongezeka maradufu katika miongo miwili ijayo jambo linalosisitiza uharaka wa kuimarisha uchunguzi wetu na mifumo ya udhibiti wa saratani

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Ufatiliaji na Tathimini kutoka Wizara ya Afya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Bw. Claud John Kumalija amesema kuwa ndani ya siku mbili wanalenga kujadili na kutangaza kuundwa kwa Kamati ya Ushauri ya Tanzania ya Usajili wa Saratani kama hatua ya kimkakati ya kuimarisha usahihi na ukamilifu wa takwimu.

Ameeleza majukumu ya kamati ni pamoja na kusawazisha ukusanyaji wa takwimu, kuboresha mifumo ya kuripoti na kuongoza maamuzi ya sera, umuhimu wa usajili wa saratani na usaidizi kutoka kwa washirika, uwasilishaji wa ripoti ya Usajili wa Saratani ya Idadi ya Watu Tanzania, utayarishaji wa Mpango Kazi wa Mwaka wa kamati pamoja na kuweka wazi hatua za utekelezaji.

Vilevile, Bw. Kumalija amesema kuwa wanatarajia kamati hiyo kutoa mwongozo wa kimkakati wa usajili wa saratani, kuratibu juhudi za usajili za kitaifa na kikanda na kuhakikisha ujumuishaji wa takwimu za Usajili wa Saratani kwenye Mfumo wa Kitaifa wa Taarifa za Afya.

Bw. Kumalija ametoa rai kwa wadau na wajumbe wa kikao hicho kushirikiana kwa utalaamu ili kuwezesha kamati kusonga mbele kwa haraka kuelekea utekelezaji, ikiongozwa na mkakati wa kitaifa na dira ya kuhakikisha kwamba kila hatua wanayochukua inategemea takwimu sahihi na ya kuaminika.

About the author

Alex Sonna