slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

romabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

taksimbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

casibom

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

casibom giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

holiganbet

cratosroyalbet

betgit

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

gameofbet

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

Featured Kitaifa

AMREF HEALTH AFRICA – TANZANIA YAZINDUA MRADI WA “KUIMARISHA HUDUMA ZA KIFAFA” DODOMA

Written by Alex Sonna
Kaimu Mkurugenzi Tiba, Wizara ya Afya, Dkt. Winifrida Kidima, akizindua rasmi mradi wa Enhancing Epilepsy Care in Africa (EECA) katika Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma. Uzinduzi huo unaashiria mwanzo wa mpango wa kuboresha huduma za kifafa, kupunguza unyanyapaa na kuboresha maisha ya Watu Wenye Kifafa (WWK).
***
Dodoma, 20 Mei 2025 – Shirika la Amref Health Africa Tanzania (Amref Tanzania) kwa kushirikiana na Serikali kupitia wizara ya Afya limezindua rasmi mradi wa kuboresha huduma kwa watu wanaoishi na kifafa pamoja na matatizo mengine ya mfumo wa fahamu. Mradi huo uitwao “Enhancing Epilepsy Care in Africa (EECA)” umezinduliwa katika mkoa wa Dodoma, ukilenga Wilaya za Bahi na Chamwino kama maeneo ya mfano kwa utoaji wa huduma jumuishi za kifafa zinazoendeshwa kwa kushirikisha jamii.
Mradi huu wa miaka mitatu, unaotekelezwa kuanzia Januari 1, 2025 hadi Desemba 30, 2027, Kwa ushirikiano kati ya Amref Tanzania, Wizara ya Afya, OR-TAMISEMI, Asasi isiyokuwa ya Kiserikali inayojihusisha na kuijengea jamaa uelewa juu ya Kifafa Tanzania (TEA), Asasi isiyokuwa ya Kiserikali ya Wazazi wa Watoto Wenye Kifafa Tanzania (POCET), Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Chuo Kikuu Antwerp cha Ubeligiji. Ufadhili wa mradi huu umetolewa na BAND Foundation na kuungwa mkono na UCB Innovation for Health Equity Fund.
Mradi unalenga makundi mbalimbali katika jamii ikiwemo wananchi kwa ujumla, watu wenye kifafa, wazazi, walezi, familia, watoa huduma za afya, watunga sera, pamoja na viongozi wa kijamii.
Mpango huu ni mojawapo ya jitihada za Shirika la Amref Tanzania katika kushirkiana na Serikali na wadau mbalimbali katika kuboresha Mifumo Imara ya Afya (HSS) na Kuwawezesha Wananchi kwa lengo la kufanikisha huduma endelevu za afya zinazomlenga mwananchi.
 Vilevile kuboresha huduma bora za kifafa na matibabu, kupitia mafunzo kwa wahudumu wa afya, kampeni za kupambana na unyanyapaa. Vilevile mradi unalenga kuboresha afya, ubora wa maisha na ujumuishwaji wa watu wenye kifafa pamoja na familia zao katika jamii husika.
 
“Mradi wa EECA ni hatua muhimu katika utekelezaji wa dhamira ya Shirika la Amref Tanzania ya kushiriki katika kuimarisha mifumo ya afya na kuwawezesha wananchi,” alisema Dkt. Aisa Muya, Mkurugenzi wa Programu – Amref Tanzania.
 “Kwa kuboresha huduma za kifafa katika mfumo wa afya ya msingi nchini, tutaboresha upatikanaji wa huduma za matibabu huku tukijenga uhimilivu na umiliki wa huduma hizi katika jamii. Hii ni sehemu ya mkakati wa Shirika katika kuboresha mifumo ya huduma za Afya kama kifafa. Mradi huu unaakisi mkakati wetu mpana wa Kuimarisha Mifumo ya Afya kwa kuwekeza katika rasilimali watu, matumizi ya takwimu, utoaji wa huduma, na uongozi wa kijamii ili kujenga mfumo wa afya jumuishi na wenye usawa zaidi.”
Akizindua rasmi mradi huo, Kaimu Mkurugenzi Tiba, Wizara ya Afya, Dkt Winifrida Kidima, alieleza umuhimu mkubwa wa mradi huo kwa taifa.
 
“Mradi huu ni hatua ya mabadiliko katika namna tunavyokabiliana na matatizo mengine ya mfumo wa fahamu kama kifafa,” alisema Dkt. Kidima “Ni wajibu wetu kama jamii kushirikiana kuondoa unyanyapaa, kuvunja ukimya, na kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma na msaada wa kijamii wanaohitaji.”
Mradi wa EECA utatekelezwa kwa kuzingatia mfumo wa huduma za afya ya msingi nchini (PHC), ili kuhakikisha uendelevu wa muda mrefu, umiliki wa ndani na ulinganifu wa sera. Kipengele kikuu kitakuwa kuendesha kampeni dhidi ya unyanyapaa, kuhamasishaji jamii, pamoja na mafunzo kwa wahudumu wa afya, wahudumu wa afya ngazi ya jamii (CHWs), walezi na viongozi wa kijamii.
 
MATOKEO YANAYOTARAJIWA:
👉Kipaumbele kikubwa kuboresha sera juu ya ugonjwa wa kifafa katika ngazi mbalimbali na taasisi.
👉Kuongezeka uelewa wa jamii juu ya ugonjwa wa kifafa na magonjwa ya neva na kupambana na unyanyapaa.
👉Kuimarishwa kwa kinga, utambuzi wa mapema na matibabu bora ya huduma za kifafa na magonjwa ya mifumo ya fahamu
Kuongeza upatikanaji wa dawa.
👉Matumizi bora ya takwimu za kisayansi na za kawaida katika kupanga sera na kuamua huduma bora za kifafa na neva.
KIFAFA: JANGA LISILOONEKANA LINALOHITAJI UAMUZI WA PAMOJA
Ingawa kifafa kinaathiri mamilioni ya watu duniani kote, mara nyingi huendelea kufichwa kutokana na unyanyapaa na kutoeleweka vizuri hasa katika maeneo yenye rasilimali finyu. Watu wanaoishi na kifafa nchini Tanzania hukumbana na changamoto nyingi si tu za kiafya, bali pia katika elimu, ajira, na maisha ya kijamii.
Kwa kuwekeza katika jamii na watu, mradi wa EECA unalenga kubadilisha simulizi hii kwa kuleta huduma bora za matibabu pamoja na kujenga mazingira ya heshima, ujumuishaji, na fursa mpya kwa watu wenye kifafa.
##################
KUHUSU AMREF HEALTH AFRICA TANZANIA
Amref health Africa Tanzania ni shirika la kitanzania lilioandikishwa kisheria tangu mwaka wa 1987 na lina bodi ya wakurugenzi inayojitegemea na linaongozwa na watanzania.
Kwa zaidi ya miaka 35, Amref Tanzania imekuwa mstari wa mbele katika kutekeleza miradi mbalimbali ya afya ya umma nchini Tanzania, ikishirikiana kwa karibu na Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, na wadau wengine muhimu katika Tanzania Bara na Zanzibar.
Amref Tanzania imekuwa ikiboresha huduma mbalimbali katika maeneo yaliyo pembezoni, kwa kuimarisha uhusiano kati ya jamii na mifumo rasmi ya afya, kuhimiza tabia za kuendeleza afya bora, kuzuia magonjwa, na kuwezesha wahudumu wa afya. Tunaongozwa na misingi ya uadilifu, ubora, utu (ubuntu), uwajibikaji na ushirikiano maadili yanayounda utamaduni wetu na kuelekeza hatua zetu.
Kwa sasa, Amref Tanzania inatekeleza miradi mbalimbali katika mikoa mingi ya Tanzania Bara na Zanzibar. Mkakati wetu wa 2023–2030 unalenga kufanikisha huduma za afya kwa wote (UHC), kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa afya, kuelekeza nguvu kwenye usalama wa afya ya umma, kukabiliana na mabadiliko ya kidemografia, na kutumia fursa za data na teknolojia ya kisasa.
Programu zetu zinaweka kipaumbele kwa mbinu zinazozingatia jamii na mahitaji ya watu, kwa lengo la kufanikisha huduma endelevu za afya ya msingi na kushughulikia vichocheo vya kijamii vya afya.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na;
Eliminatha Paschal; Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Ushirikiano Amref Health Africa – Tanzania
Matukio katika Picha
Dkt. Aisa Muya, Mkurugenzi wa programu, Amref Tanzania, akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa EECA. Mradi unalenga kuboresha utambuzi, matibabu na uondoaji wa unyanyapaa dhidi ya Watu Wenye Kifafa (WWK) katika wilaya za Bahi na Chamwino, kwa kuingiza huduma hizo ndani ya mfumo wa afya ya msingi nchini.

Viongozi kutoka Wizara ya Afya, wadau wa sekta ya afya, pamoja na washirika wa maendeleo katika picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi wa mradi wa Enhancing Epilepsy Care in Africa (EECA) jijini Dodoma. Mradi huo unalenga kuboresha huduma za kifafa na kuondoa unyanyapaa kwa Watu Wenye Kifafa (WWK) katika wilaya za Bahi na Chamwino, Dodoma

About the author

Alex Sonna