slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

palacebet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

casibom

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

casibom giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

betplay

cashwin

cratosroyalbet

casinomilyon

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casinoroyal

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

Featured Kitaifa

KITINGA ATAKA WAHITIMU VETA SHINYANGA WACHANGAMKIE MIKOPO KWENYE HALMASHAURI

Written by Alex Sonna
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Na Kadama Malunde – Malunde 1 Blog
 
Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga yamefanyika leo ambapo jumla ya wahitimu 147, wanaume 82 na wanawake 65 ,wamehitimu Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi Daraja la Tatu (III) katika fani mbalimbali za Umeme (Electrical Installation), Bomba (Plumbing and Pipe Fitting), Ujenzi (Masonry and Bricklaying), Uhazili na TEHAMA (Secretarial and Computer Application) na Ufundi wa Mitambo Mikubwa (Heavy Duty Equipment Mechanics).
 
Mgeni rasmi katika mahafali hayo yaliyofanyika leo Ijumaa Mei 16,2025 alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro.
 
Akizungumza, Kitinga amewataka wahitimu hao kujisajili katika vikundi ili kunufaika na mikopo ya halmashauri, akisisitiza kuwa fedha zipo kwa ajili yao.“Wanafunzi wanaosoma chuo wapewe mafunzo ya namna ya kusajili vikundi na waunde vikundi ili kupata fedha za mikopo inayotolewa katika halmashauri. Pesa ipo Halmashauri! Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi, kazi ni kwenu kujiunga kwenye vikundi,” amesema Kitinga.
 
Aidha, amewataka wazazi na walezi kuendelea kupeleka watoto wao VETA ili wapate ujuzi, akibainisha kuwa hakuna kozi za wanaume au wanawake pekee, kwani fursa zinatolewa kwa usawa kwa wote.
Kitinga amewahimiza wahitimu na vijana kwa ujumla kuwa mstari wa mbele katika kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani, huku akiwataka kuwakataa wale wanaohubiri siasa za chuki na mgawanyiko.
 
“Nchi hii ni tulivu chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tuilinde amani yetu, tusikubali kugawanywa kwa misingi ya kisiasa,” amesisitiza.
 
VETA Yazidi Kuandaa Nguvu Kazi Yenye Ujuzi
 
Mkuu wa Chuo cha VETA Shinyanga, Mwl. Abraham Richard Mbughuni, amesema kuwa chuo hicho kimeendelea kutekeleza dira, dhima na malengo ya mamlaka hiyo kila mwaka. 
 
Tangu kuanzishwa kwake, chuo kimeweza kudahili na kutoa wahitimu wengi wa kozi za muda mrefu, ambao wamejiajiri, wameajiri wenzao au wameajiriwa kwenye taasisi mbalimbali za umma na binafsi.
 
“Kufuatia maagizo ya serikali, VETA Shinyanga kimefanikiwa kusajili mafundi wapatao 1,553 waliopata ujuzi nje ya mfumo rasmi katika mkoa wa Shinyanga. Lengo ni kuwatambua rasmi, kuwafanyia tathmini na kuwapatia vyeti,” amesema Mwl. Mbughuni.
 
Aidha, ametumia fursa hiyo kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuiwezesha VETA, akisema taasisi hiyo ni msingi wa mageuzi ya uchumi kupitia ujuzi.
Mafanikio na Changamoto Chuoni
 
Msajili wa VETA Shinyanga, Rashid Hamis Ntahigiye, akisoma taarifa kuhusu mafunzo katika chuo hicho, amesema kwa sasa chuo kina jumla ya wanafunzi 575 wa kozi ndefu—wavulana 378 na wasichana 197. Kwa upande wa kozi fupi, wanafunzi waliodahiliwa kuanzia Januari 2024 hadi leo ni 887.
 
Akitaja mafanikio, amesema kuwa wahitimu wengi wamefanikiwa kupata ajira au kuanzisha biashara binafsi.
 
Hata hivyo, changamoto kadhaa zinaendelea kukikabili chuo, zikiwemo: Ukosefu wa kituo maalum cha afya kwa ajili ya wanachuo, Uchakavu u wa vifaa vya TEHAMA (kompyuta na mitambo), Uharibifu wa uzio wa chuo na ukosefu wa usafiri wa uhakika kwa jumuia ya chuo.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga yaliyofanyika leo Mei 16,2025- Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Mkuu wa Chuo cha VETA Shinyanga, Mwl. Abraham Richard Mbughuni akizungumza kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Mkuu wa Chuo cha VETA Shinyanga, Mwl. Abraham Richard Mbughuni akizungumza kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Mkuu wa Chuo cha VETA Shinyanga, Mwl. Abraham Richard Mbughuni akizungumza kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Msajili wa VETA Shinyanga, Rashid Hamis Ntahigiye, akisoma taarifa kuhusu mafunzo katika chuo hicho kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Msajili wa VETA Shinyanga, Rashid Hamis Ntahigiye, akisoma taarifa kuhusu mafunzo katika chuo hicho kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Wahitimu wakisoma risala kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Wahitihimu wakiingia ukumbini kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Wahitihimu wakicheza wakati wa Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Kambi ya Nyani wakitoa burudani kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Kambi ya Nyani wakitoa burudani kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Kambi ya Nyani wakitoa burudani kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
MC Manyama akizungumza kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Sehemu ya wahitimu wakifuatilia matukio kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Sehemu ya wahitimu wakifuatilia matukio kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Sehemu ya wahitimu wakifuatilia matukio kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Sehemu ya wahitimu wakifuatilia matukio kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Sehemu ya wazazi na wageni waalikwa wakifuatilia matukio kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Sehemu ya wahitimu wakifuatilia matukio kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Wafanyakazi wa VETA wakifuatilia matukio kwenye Mahafali ya 44 ya Wanachuo wa Hatua ya Tatu katika Chuo cha Ufundi Stadi VETA Shinyanga
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika Karakana ya Ukataji Madini Vito katika Chuo cha VETA Shinyanga.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika Karakana ya Ukataji Madini Vito katika Chuo cha VETA Shinyanga.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika Karakana ya Ukataji Madini Vito katika Chuo cha VETA Shinyanga.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika Karakana ya ubunifu, ushonaji na teknolojia ya nguo
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika Karakana ya ubunifu, ushonaji na teknolojia ya nguo
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika Karakana ya umeme
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika Karakana ya umeme
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika moja ya majengo yaliyojengwa na wanachuo cha VETA Shinyanga
Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Said Kitinga akiwa katika chumba kinachotoa Fani ya saluni
na urembo
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

About the author

Alex Sonna